Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hahahahh
Nguo anainunulie mwingine, kuvaa aje aniulize yeye.
Akitaka naye aingie gharama.
Ndo wale wanaume wanaokwambia, ukija kwangu leo, vaa ile nguo ya njano...mschewwww!!!
Wanajua ilikotoka?
hahahahaah nilikumiss kha!hapana kwakweli...mm napenda wale wa kusalimia asbh sana,,,mchana atakuchek tena,,sasa hapo unakuta kasalio kamesoma...tena unaambiwa pls manengelo nenda kula..its time nw.... sijamanisha siku zote..lakn anatia moyo🙂🙂🙂🙂🙂!
kesho yake mtachat tena kidogo atakuambia kale mishikaki umeniambia unapenda sana nyama..kale unywe na wine uwah kurudi hm...hv mtu kama huyu unamchukiaje!
mm sipohapa kuhamasisha ujinga!ila tambueni waanwake tunapenda kujaliwa hisia jamani(hasa mm😉)
wengne kuuutwa mbwembwe...ohh nimewah kuja huko nikalala hotel fulan maarufu!mxiiiiiiiiiiiiiiiiiiieeeeeeeeeeew sasa nikubebe????