Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Pole sana yaan umefumwa na ushahidi kabisa hahaha kwahiyo ukajikana Mzigua90 njo umuone ndg yako huku
Shoga nilitakaga kusutwa kupitia hizi screenshot.
Sema nilipiga samasoti moja hatari sana.
Sa hv hakuna cha ME wala KE....wote wanafiki tu.
Mnatumiana Pm kumbe inatembea kama upele mwilini.
Nimekoma