Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Asa mtu mko conversation ya 7 ila ni salamu tu, mambo, mzima, upo, nambie, shwari...yote ya nini.Kwa hiyo akiwa mchungu unajisemea moyoni...
Hili nalo nwandiko mwenyewe mbaya kama nini...linanitapisha
Aende kwenye mada husika iliyomfanya anijie Pm