wema na hamissa wagombea jina la tz sweetheart
Ama
Lema kahamia ccm,muanze kuongea siasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona kama umepanic ghafla....[emoji30][emoji30]Unasubiri jibu au vp? Mbn kama umewajibia hawa wadada?
Yaani mimi na wewe naona damu zetu haziendani kabisa..... Ni kutibuana sana,ila mimi huwa nakuvumila sana si unajua sisi wanaume ni majalala,hatuchagui taka.
Unajua mpaka nikawaza nikutimbie PM nikuchane. Ila nikakausha tu.Yamekuwa haya tena lini nimekutibua mm jamani
Basi naomba unisamehe
Si unajua hisia. Hivi wewe kweli bibie wakuniambia mimi "Wewe ni Shemale kisha dushe ndio iko active" ?
Acha niendelee kuzitunza txt zako.
Kwaio acheze mbali unaweza mpelekea moto??🙂🙂🙂
Unajua mpaka nikawaza nikutimbie PM nikuchane. Ila nikakausha tu.
Ungekuwa umesema ukweli nisingefika huku. Ila mwanaume mwanaume tu.Unajua tatizo hampendi kuambiwa ukweli
Nakwambia ukweli ili ujiandae kisaikolojia utakapoona dushe lipo active usinikimbie
Tatizo sio kutoa povu ni namna gani ningetumia njia ya kukuelezea jambo,wengine tumejaaliwa busara na upole. Mtoto wa kike si wakushindana nae,kwangu mimi mtoto wa kike huwa namfundisha,na msimamia na kumkanya.Uje pm uanze tu kutoa povu nisingejibu mkuu ungepambana na mapovu yako
Kama hujibu salam unategemea vp maongezi kuendelea?Jadili kilichokuleta pm mkuu kama kuna ajari au kuna mvua kubwa imeua mkoani uko sio unakuja tu kuanzia asubuhi mpaka usiku ni salaaam
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyingine kama mrembo sana haamini anafikiri ya kugoogleEeenh anaomba picha akujue tu yaan yupo pm kwa ajili ya kuomba picha aone ulivyo na hizi sura za baba zetu akatutangaze
Kama hujibu salam unategemea vp maongezi kuendelea?
Tatizo sio kutoa povu ni namna gani ningetumia njia ya kukuelezea jambo,wengine tumejaaliwa busara na upole. Mtoto wa kike si wakushindana nae,kwangu mimi mtoto wa kike huwa namfundisha,na msimamia na kumkanya.
Kwahiyo ungejibu na ungenielewa,sababu najua wapi pa kuanzia.
Ungekuwa umesema ukweli nisingefika huku. Ila mwanaume mwanaume tu.
Ngoja niishie hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyingine kama mrembo sana haamini anafikiri ya kugoogle
Haina noma bibie.Sawa mkuu wangu
Wakati wanawake wa jf ndio hao hao wanaopishana nao njiani wanabaki kudondosha mate kama simba mwenye njaa akimuona nyati aliyenonaEwaaaaaaaa hili neno nalo wanajua wanawake wa jf wabaya yaani hiki ndio nipo akilini mwao
Ktk asilimia kubwa... Hilo halipo sirini,lipo nje wazi ktk mwanga wa juaEwaaaaaaaa hili neno nalo wanajua wanawake wa jf wabaya yaani hiki ndio nipo akilini mwao
Binafsi ningetuma sijui wajumbe wengineMngetuma basi...mngemchamba mtoa mada mpaka ajute
Ktk asilimia kubwa... Hilo halipo sirini,lipo nje wazi ktk mwanga wa jua