Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Yamekuwa haya tena lini nimekutibua mm jamani
Basi naomba unisamehe
Yaani mimi na wewe naona damu zetu haziendani kabisa..... Ni kutibuana sana,ila mimi huwa nakuvumila sana si unajua sisi wanaume ni majalala,hatuchagui taka.
 
Unajua tatizo hampendi kuambiwa ukweli
Nakwambia ukweli ili ujiandae kisaikolojia utakapoona dushe lipo active usinikimbie
Si unajua hisia. Hivi wewe kweli bibie wakuniambia mimi "Wewe ni Shemale kisha dushe ndio iko active" ?

Acha niendelee kuzitunza txt zako.
 
Unajua tatizo hampendi kuambiwa ukweli
Nakwambia ukweli ili ujiandae kisaikolojia utakapoona dushe lipo active usinikimbie
Ungekuwa umesema ukweli nisingefika huku. Ila mwanaume mwanaume tu.

Ngoja niishie hapa.
 
Uje pm uanze tu kutoa povu nisingejibu mkuu ungepambana na mapovu yako
Tatizo sio kutoa povu ni namna gani ningetumia njia ya kukuelezea jambo,wengine tumejaaliwa busara na upole. Mtoto wa kike si wakushindana nae,kwangu mimi mtoto wa kike huwa namfundisha,na msimamia na kumkanya.

Kwahiyo ungejibu na ungenielewa,sababu najua wapi pa kuanzia.
 
Jadili kilichokuleta pm mkuu kama kuna ajari au kuna mvua kubwa imeua mkoani uko sio unakuja tu kuanzia asubuhi mpaka usiku ni salaaam
Kama hujibu salam unategemea vp maongezi kuendelea?
 
Hivi umenielewa au mkuu kama haujanielewa usiniquote salaam salimia mara moja ukija sio ndio salaam kila dakika ukiingia salaam mpaka siku inaisha

Uwe na jioni njema bye
Kama hujibu salam unategemea vp maongezi kuendelea?
 
Sawa mkuu wangu
Tatizo sio kutoa povu ni namna gani ningetumia njia ya kukuelezea jambo,wengine tumejaaliwa busara na upole. Mtoto wa kike si wakushindana nae,kwangu mimi mtoto wa kike huwa namfundisha,na msimamia na kumkanya.

Kwahiyo ungejibu na ungenielewa,sababu najua wapi pa kuanzia.
Ungekuwa umesema ukweli nisingefika huku. Ila mwanaume mwanaume tu.

Ngoja niishie hapa.
 
Back
Top Bottom