grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
I think it's a generation thing .Mambo yalipofikia sio mazuri. Nadhani inahitajika busara ya ziada kufundishana na kuelekezena pasipo kubughudhiana na kutukanana.
Kina dada wa JF mnataka tufanye nini! tutafute mbinu zipi! Mnalalamika tukija PM ni salamu tu salamu tu hamna ya maana.
Sasa swali letu ni mnataka tukija tujadili nini! hali ya hewa! siasa za mashariki ya kati? au hurricane ya Amerika?
Unapotaka kumwambia mtu jambo unaanza na salamu kisha salamu za kina kidogo kisha lengo mahususi. Sasa nyie tumeshindwa kuwaelewa. Mtuambie mnatakaje nasi tufanye hivyo.
au pesa! nitatumaje tupesa twangu bila hata kujuliana hali! namba nitaipataje.
Mwili wangu ni huo kwa avatar huyo ndio mm
Naunga mkono hojaKwa wale ambao, hatujaweza kupitia thread yote kupata majibu, naomba mmoja ajitolee kufanyajumuisho wa nini kimekubaliwa, yaani kama mtaweza kukaa kikao basi mje na majibu yanayojitosheleza.
Natanguliza shukrani.
Mpaka waleo bado nangoja uniambieSasa wewe salamu ya nn.. wewe fika pm toa vocals sio bra2!!!
Huhuhuhu imebidi nicheke kwa sautiKabla ya Yote wanataka uwaombe Radhi kuhusu Mgogoro wa Kiuchumi unaoendelea kati ya USA na UCHINA, kisha utake Radhi kwa mahusiano Mabovu kati ya Israel na Syria..
Em kunywa soda apo kwa mangi ukimaliza ujilipieMkuu, Jf ya leo imekosa maadili na adabu kama siku zile za kitambo.
Humu jf pamekua na utoto na upuuzi wa vijana kuwatweza wadada na hata kufikia hatua ya kuwavua utu wao.
Wadada wengi wamekua waoga, na hawatuamini tena wanaume wa humu jf kwasababu tumekua tukiwatangaza mara tu wa kisha tukubali ama kutupatia mawasiliano yao.
Ebu kwa leo naomba niishie hapa...
Tooobaaaa anauliza umekula nini ????? Anataka kukununulia chakula au????Salaam sio tatizo salimia mara moja basi lakini sio ukiingia ukitoka salaam eiiiish salaam mara 10 kwa siku
Si una ndg vijijini watumie salaam radio free africa au radio one
Achana na wasalaam kuna wale wa maswali maswali mengiii vipi upo, umekula nini, uko wapi eiiish nilivyo mvivu sasa
Hahaaa.Shukrani... Pia natambua namna yako nzuri ya kujitoa kwenye mmojawao.
Kwa wale ambao, hatujaweza kupitia thread yote kupata majibu, naomba mmoja ajitolee kufanyajumuisho wa nini kimekubaliwa, yaani kama mtaweza kukaa kikao basi mje na majibu yanayojitosheleza.
Natanguliza shukrani.
Hahaha had leoHaya mnafuatwa pm mje na majibu hapa.....wacha niende kwenye Uzi wangu wa kubet nitengeneze hela
Kama kawa me nimeshakua teja kabisaaa yaani ili nisibet basi waniibie simuHahaha had leo
Mimi nikipewa hivyo naridhika.
Jaribu kunipatia uone
Kuwatafuna tu.
Hahaha ngoja nije chembaKama kawa me nimeshakua teja kabisaaa yaani ili nisibet basi waniibie simu