Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Mambo yalipofikia sio mazuri. Nadhani inahitajika busara ya ziada kufundishana na kuelekezena pasipo kubughudhiana na kutukanana.

Kina dada wa JF mnataka tufanye nini! tutafute mbinu zipi! Mnalalamika tukija PM ni salamu tu salamu tu hamna ya maana.

Sasa swali letu ni mnataka tukija tujadili nini! hali ya hewa! siasa za mashariki ya kati? au hurricane ya Amerika?

Unapotaka kumwambia mtu jambo unaanza na salamu kisha salamu za kina kidogo kisha lengo mahususi. Sasa nyie tumeshindwa kuwaelewa. Mtuambie mnatakaje nasi tufanye hivyo.

au pesa! nitatumaje tupesa twangu bila hata kujuliana hali! namba nitaipataje.
I think it's a generation thing .
 
Kwa wanaume wote wasiojua haya wala vibaya
20181001_044528.jpg
 
Kwa wale ambao, hatujaweza kupitia thread yote kupata majibu, naomba mmoja ajitolee kufanyajumuisho wa nini kimekubaliwa, yaani kama mtaweza kukaa kikao basi mje na majibu yanayojitosheleza.

Natanguliza shukrani.
 
Mnachosha bhana ukiona hujibiwi huko ujue hujaja kwa usahihi kuna mtu anakuja tu na kutaka kukujua eti nipe contacts mara ntumie picha chaa jamani em tuhurumiane kuna wanawake hatupendi usumbufuu ee
 
Mkuu, Jf ya leo imekosa maadili na adabu kama siku zile za kitambo.
Humu jf pamekua na utoto na upuuzi wa vijana kuwatweza wadada na hata kufikia hatua ya kuwavua utu wao.
Wadada wengi wamekua waoga, na hawatuamini tena wanaume wa humu jf kwasababu tumekua tukiwatangaza mara tu wa kisha tukubali ama kutupatia mawasiliano yao.
Ebu kwa leo naomba niishie hapa...
Em kunywa soda apo kwa mangi ukimaliza ujilipie
 
Salaam sio tatizo salimia mara moja basi lakini sio ukiingia ukitoka salaam eiiiish salaam mara 10 kwa siku

Si una ndg vijijini watumie salaam radio free africa au radio one

Achana na wasalaam kuna wale wa maswali maswali mengiii vipi upo, umekula nini, uko wapi eiiish nilivyo mvivu sasa
Tooobaaaa anauliza umekula nini ????? Anataka kukununulia chakula au????
 
Back
Top Bottom