Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

[emoji23][emoji23][emoji23] kaangalieni kwenye uzi wa forex ule wa kwanza wakati wanaanza mafunzo walikua wanatuma labda wazitoe ila zilikuwepo.

Mimi nina ka ID kamoja tu haka haka
Ushaambiwa jifya moja haliinjiki chungu.
Ule wa Ontario.
Hahahaah......ngoja nikawacheki mahendsam wa Jf
 
Hahaha Coco nitakuja na list
 
Namba utapewa ya wakala. Mawasiliano mengine ni PM tu
 
labda mngewauliza wale wanaume ambao wamewawin wadada huwa wanafanyaje...maana muda km huu anakuja mtu pm anakuambia niambie!uambiwe nn sasa!!!!!
Ha haaa aisee. Mwingine msg ya kwanza tu anakupa namba yake eti umcheck..utamcheck vipi wakati hata hamna mazoea yoyote?
 
labda mngewauliza wale wanaume ambao wamewawin wadada huwa wanafanyaje...maana muda km huu anakuja mtu pm anakuambia niambie!uambiwe nn sasa!!!!!
Hapo unemaliza. Halafu sio wanaume wale wanaoshinda pm za wadada kucheza pata potea wale wanaume walio na mahusiano ya nguvu hata Kama michepuko lakini wanaelewana.
 
Shikamoo mhenga. Ujumbe uwafikie. Tunaogopana huku.
 
Mi bwana madem pm huwa hawanisumbui...namuwekea pale motion ya "MONEY IS BETTER THAN EDUCATION"af nasepaa...ndo wanachopendaa
 
Pleeas..ivo vtu sio vya kuvisema hapa
Ahahaha.. Hivi ndivyo vitu wanawake Wanapenda Mkali.. usijifanye kuzungumza nao vitu serious kila wakati!, John Alexander katika kitabu chake cha How to Become an Alpha Male, Ameelezea Vizuri sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…