Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Hahahahaaa. shikamoo Coco. Nimechukua ujuzi
 
Yiiiih. Story yangu jamani. MTU kaniambia karibu lunch nikamwambia asante. Muda huo huo akatuma na message naomba Namba ya Wakala nikutumie kidogo ya lunch. Wanaume kawa Hawa waishi milele JF
Yaani wabarikiwe mno, mno.
Na wanaume hawa huwa wapo kimya muda wote.
Akina pangu pakavu tia mchuzi sasa....fujo kila majukwaa.
Khaaa!!!!
 
Na ndio maana hawataki kukutana nao sababu utaendaje kukutana na dume mwenzio hali anajua wewe ni ke tena mrembo
 
Tawileee
 
Watu mna maneno ,eti ukifika kwa mfano kwenye pm ya mzigua90 moja kwa moja uanze kumwaga factors for soil formation[emoji1]
Hahahahahaaa. Eeeh. mimi napenda kujifunza ukinikumbusha hayo mavitu nitakua interested kuwasiliana na wewe. Lakini mambo asubuhi mpaka asubuhi hapana. Sema wanaume wajanja wanajua Ndo maana wanajibiwa mpaka Mwisho wa maongezi
 
Hahahahahaaa. Yani unanichekeshaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…