Hahahahaaa. shikamoo Coco. Nimechukua ujuzi🤣🤣🤣 Daby
Unanitamanisha nijaribu hayo ya kufaidi maisha ya kutongozwa na videti tena.
Kwa jinsi nilivyokua na kujua kusaka pesa yangu.. eeeh
Ningefungua uwanja wa kufatiliwa na kutoa nafasi
Mimi kwanza ningependa mwanaume aje na story za current news na za teknolojia miaka hii ya kijiditali.. hapo anakuwa anajua list ya top 5 or 10 ya bidhaaa fulani fulani.. mimi nachagua tu kama tatu tuuu KUANZIA..
Na mimi nimwambie hiki na kile.. halafu akiweka interest kuuliza nataka zawadi gani
Eeeeeeh..
Ndio mtuombe radhi. Aliesababisha maafa ni mwanaume mwenzetu.
YaaaniIla watu tusio na mvuto huwa tunapata tabu sana lol!
Yaani wabarikiwe mno, mno.Yiiiih. Story yangu jamani. MTU kaniambia karibu lunch nikamwambia asante. Muda huo huo akatuma na message naomba Namba ya Wakala nikutumie kidogo ya lunch. Wanaume kawa Hawa waishi milele JF
Na ndio maana hawataki kukutana nao sababu utaendaje kukutana na dume mwenzio hali anajua wewe ni ke tena mremboKwahiyo wanaoweka maneno matamu katika post zao na mbwembwe nyingi ndio hawana mvuto and vicevesa is true?
Kwahiyo ili umjue mtu ni mrembo inabid asiweke maneno matamu kwenye post zake.
Acha uzushi jamaa humu hakuna anayemjua mwenzie kama hamjawah kukutana. Unaweza ona kama mwanamke anapost maneno ya kimcharuko kumbe ni dume mwenzio.
Hata wanaume pia mpo nyuma ya keyboard na wapo wanaojisifu kwa kila hali na wao unawazungumziaje? Usipende kujudge tabia ya mtu usiyemjua kwa maandishi utakuja kutongoza na kuhonga wanaume mwenzio.
Shoga unadhani ningefanyaje unadhani.Hahahahahahaaaaa. Kama nakuona unavyokataa hapo jicho kavuu ila moyo unakusuta
TawileeeLalamiko la wadada lina mantiki kubwa na ni vyema wanaume mkalifanyia kazi. Daby huwezi kumfuata mdada PM from no where eti kwa kuvutiwa tu na avatar au umesikia watu wakidanganyana kuwa yuko hivi na vile.
Kabla ya kumfuata PM msome ili ujue interest zake, then unapomfuata PM anza kuchomekea maneno yanayolandana na interest zake. Hii ni kwasababu binadamu tunatofautiana. Lakini sasa ikiwa utakuwa unagawa tu dozi ya salamu kutwa mbili mara tatu kama panadol inabore!
Hapa sibishi. Tunavumiliana tuAcha halafu wanatuponda ukija kuwaangalia wao utajiona heri ya wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Nani anatumia simu yako kwanza? Huu sio mwandiko wako kabisaWasitutishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilitumwa picha wapo huko kwenye forex wamechooooooka halafu kutwa kutuponda humu[emoji23][emoji23]
Wakati sisi tunawasifia wanatoa hela. Basi watupe sifa yetu tu hata kama wanatudanganyaYaan tunavutia jamani wanatuponda mwenyewe wanatisha zaidi
Salamu zangu ni za kibishoo tuNjoo ila uje na salamu yenye kueleweka.
Salamu za kujaziana server sizitaki
Hahahahahaaa. Eeeh. mimi napenda kujifunza ukinikumbusha hayo mavitu nitakua interested kuwasiliana na wewe. Lakini mambo asubuhi mpaka asubuhi hapana. Sema wanaume wajanja wanajua Ndo maana wanajibiwa mpaka Mwisho wa maongeziWatu mna maneno ,eti ukifika kwa mfano kwenye pm ya mzigua90 moja kwa moja uanze kumwaga factors for soil formation[emoji1]
MmmmhHee,maana ukisema mambo hawataki ,,ukiongelea pesa anakuuliza kwani umeniona mim malaya,
HahahahaaaMimi nikipewa hivyo naridhika.
Jaribu kunipatia uone
Hahahahahaaa. Yani unanichekeshaaMie kuna mwanaume mmoja alinitumia picha Pm.
Mpaka nikahisi ni mbilikimo wa Congo.
Afu jukwaani anavyoponda wanawake sasa...chefuuuuu!!!
Namtazama tu.
Kutwa anajishaua shaua kama nyoka aliyemwagiwa mafuta ya taa.
Ila ni mbovu wa sura mpaka umbo.
Yaani nahisi anaishi huko Tandale/Manzese ndani ndani ila akiwa jukwaani, anaishi Masaki.
Namsubiria siku aingie cha kike
Mchumba hujanywa kweli?Kwa wale ambao, hatujaweza kupitia thread yote kupata majibu, naomba mmoja ajitolee kufanyajumuisho wa nini kimekubaliwa, yaani kama mtaweza kukaa kikao basi mje na majibu yanayojitosheleza.
Natanguliza shukrani.
UmetishaKama kawa me nimeshakua teja kabisaaa yaani ili nisibet basi waniibie simu
Hahahaha haya buanaTayari nimesha kata balimi kama 6 hivi..[emoji12] [emoji12]
Hapo Ndo pagumu sasaaaNashangaa mkuu nawengine tunapenda toa pesa cash sio kwa mi mpesa wala tigo pesa.....