Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Hahahahaaa. shikamoo Coco. Nimechukua ujuzi🤣🤣🤣 Daby
Unanitamanisha nijaribu hayo ya kufaidi maisha ya kutongozwa na videti tena.
Kwa jinsi nilivyokua na kujua kusaka pesa yangu.. eeeh
Ningefungua uwanja wa kufatiliwa na kutoa nafasi
Mimi kwanza ningependa mwanaume aje na story za current news na za teknolojia miaka hii ya kijiditali.. hapo anakuwa anajua list ya top 5 or 10 ya bidhaaa fulani fulani.. mimi nachagua tu kama tatu tuuu KUANZIA..
Na mimi nimwambie hiki na kile.. halafu akiweka interest kuuliza nataka zawadi gani
Eeeeeeh..