Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Watoto wa kike hawajielewi kabisa.
kama nyie tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto wa kike hawajielewi kabisa.
Tunajielewa sana,hasa mimi.kama nyie tu
Acha halafu wanatuponda ukija kuwaangalia wao utajiona heri ya wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Tunajielewa sana,hasa mimi.
Mkuu mbona kama umenikasirikia na kunichamba juu....Kwahiyo wanaoweka maneno matamu katika post zao na mbwembwe nyingi ndio hawana mvuto and vicevesa is true?
Kwahiyo ili umjue mtu ni mrembo inabid asiweke maneno matamu kwenye post zake.
Acha uzushi jamaa humu hakuna anayemjua mwenzie kama hamjawah kukutana. Unaweza ona kama mwanamke anapost maneno ya kimcharuko kumbe ni dume mwenzio.
Hata wanaume pia mpo nyuma ya keyboard na wapo wanaojisifu kwa kila hali na wao unawazungumziaje? Usipende kujudge tabia ya mtu usiyemjua kwa maandishi utakuja kutongoza na kuhonga wanaume mwenzio.
Yap ndo nilitegemea ilo jibu ili nikufanyie muamala upate kula
Na huwa wanachunchwa sana,ili kufidia kutokujiamini kwao ili waonekane wanapendwa huu ni mtihani mkubwa sana tunao uona huko mtaani.Sio jf pekeake ni kila mtandao wa kijamii wenye nature hii... Wadada wasio na muonekano angavu wanapata kujiachia! Kumbuka muonekano hafifu hupunguza sana kujiamini
Kufake ni kukosa kujiamini.hunizidi mm..nipo too open..kufake akuu
He he acha nicheke mieAcha halafu wanatuponda ukija kuwaangalia wao utajiona heri ya wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Wasitutishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilitumwa picha wapo huko kwenye forex wamechooooooka halafu kutwa kutuponda humu[emoji23][emoji23]hahahahaaha kuna 1 mbovvvvvvvvvvuuu wasira atasubiri
Una linganisha muonekano wako na wa jinsia ya kiume..mbona umejishusha sana!? Muoneano kwa mwanaume hauna nafasi ktk sector ya kujiaminiAcha halafu wanatuponda ukija kuwaangalia wao utajiona heri ya wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Cheka tu mama .....sipendi sana mtu atuponde wanawake tusiovutia maana inanichoma mpaka kumoyo[emoji3][emoji3][emoji3]He he acha nicheke mie
Eheegashinaga!
Wasitutishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilitumwa picha wapo huko kwenye forex wamechooooooka halafu kutwa kutuponda humu[emoji23][emoji23]
Kuna binti mmoja aliwahi kunoambia "Hivi Zurri nitapata mume kweli wa kunioa na sura yangu hivi ilivyokuwa mbaya ?"hahahahaaha kuna 1 mbovvvvvvvvvvuuu wasira atasubiri
Wasitutishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilitumwa picha wapo huko kwenye forex wamechooooooka halafu kutwa kutuponda humu[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha kweliWasitutishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilitumwa picha wapo huko kwenye forex wamechooooooka halafu kutwa kutuponda humu[emoji23][emoji23]
Sijakasirika na sijakuchamba. [emoji23][emoji23][emoji23]kwani kuchamba ndio kupo hivyo.Mkuu mbona kama umenikasirikia na kunichamba juu....
Kuna tatizo!?
Najaribu kuchangia hoja iliyopo mezani...hoja inahusu wadada kwann nichangie kwa point zinazohusu wakaka!?
Hahahhahahahunizidi mm..nipo too open..kufake akuu