Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kuna binti mmoja aliwahi kunoambia "Hivi Zurri nitapata mume kweli wa kunioa na sura yangu hivi ilivyokuwa mbaya ?"
Nikamtazama..... Unajua nilimjibu nini ?
ehee
e
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna binti mmoja aliwahi kunoambia "Hivi Zurri nitapata mume kweli wa kunioa na sura yangu hivi ilivyokuwa mbaya ?"
Nikamtazama..... Unajua nilimjibu nini ?
Cheka tu mama .....sipendi sana mtu atuponde wanawake tusiovutia maana inanichoma mpaka kumoyo[emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe sijilinganishi kimuonekano kwa maana ya sura, hapana.Una linganisha muonekano wako na wa jinsia ya kiume..mbona umejishusha sana!? Muoneano kwa mwanaume hauna nafasi ktk sector ya kujiamini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja waje waniseme mpaka nijute[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nakojoaaaaaaaaa
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahahaaha kuna 1 mbovvvvvvvvvvuuu wasira atasubiri
Ha ha ha hahahahah sipendi umbea mm!wakafie kulee
Nikamwambia kwanini usipate ? Mola hakunyimi vyote.ehee
e
Wewe sijilinganishi kimuonekano kwa maana ya sura, hapana.
Ila na nyie wanaume wa humu mmechoka choka so stop kutunyanyasa wanawake wabaya
Nikamwambia kwanini usipate ? Mola hakunyimi vyote.
Ila kwa uzoefu wangu,mabinti wenye sura mbovu wana uchi mtamu sana.
Mkuu huo uc**i unaosema mtamu haupati matumizi ya mara nyingi...hivo wale wamaume wenye nia ya kweli ndio wana pata hayo matunda mazuri...Nikamwambia kwanini usipate ? Mola hakunyimi vyote.
Ila kwa uzoefu wangu,mabinti wenye sura mbovu wana uchi mtamu sana.
Salamu huwa kianzio tu. Ila watoto wa kike hamna wema kabisa. Msipo salimiwa mtakuja tena na kauli "Wanaume wa jf hawana maana yaani wanakurupuka tu kurupu,bila salamu wana anza kueleza shida zao"Sasa wewe salamu ya nn.. wewe fika pm toa vocals sio bra2!!!
Wewe sijilinganishi kimuonekano kwa maana ya sura, hapana.
Ila na nyie wanaume wa humu mmechoka choka so stop kutunyanyasa wanawake wabaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja waje waniseme mpaka nijute
Weka akilino hilo. Hivi hujawahi kukutana na mke ana sura mbovu kuliko mume ?weeeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wana suranzito km Mr IBU
Kaka nasoma comment yako hii mara mbili mbili siielewi,unaweza kuiweka sawa kidogo.Mkuu huo haupati mishkeli nyingi..wale wenye nianya kweli ndio wana pata hayo matunda mazuri...
Weka akilino hilo. Hivi hujawahi kukutana na mke ana sura mbovu kuliko mume ?
Upendo hauishii tu kwenye muonekano wa nje mpaka ndani,Mola akikunyima hiki anakupa kile ili uishi na kufurahia maisha.
Hatari wanawake wenye sura mbaya......
Yaani tukijipiga make up kwa mbali tunatizamika[emoji23][emoji23]Nakazia nakazia yaani bora sisi na ubaya wetu jamani
Tatizo vijana hawajui vitu vizuri. Mimi ni kijana ila kijana yuleeeeeeeeee.........naelewa sana!bora utupe moyo..sio wengne kutuponda...