Mimi sikupi moyo,bali nakupa ukweli na kile kilicho bora.naelewa sana!bora utupe moyo..sio wengne kutuponda...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sikupi moyo,bali nakupa ukweli na kile kilicho bora.naelewa sana!bora utupe moyo..sio wengne kutuponda...
Ila kumponda mwanamke sio kitu kizuri kabisa, sisi wanaume tunatakiwa kuwasifia ninyi sana.Cheka tu mama .....sipendi sana mtu atuponde wanawake tusiovutia maana inanichoma mpaka kumoyo[emoji3][emoji3][emoji3]
Yaani tukijipiga make up kwa mbali tunatizamika[emoji23][emoji23]
Mkuu huo uc**i unaosema mtamu haupati matumizi ya mara nyingi...hivo wale wamaume wenye nia ya kweli ndio wana pata hayo matunda mazuri...
Mkuu nimefanya badiliko ...kdgKaka nasoma comment yako hii mara mbili mbili siielewi,unaweza kuiweka sawa kidogo.
Kabisa inatufanya tujisikie vibaya kwa kweli.Ila kumponda mwanamke sio kitu kizuri kabisa, sisi wanaume tunatakiwa kuwasifia ninyi sana.
Tatizo vijana hawajui vitu vizuri. Mimi ni kijana ila kijana yuleeeeeeeeee.........
Mimi nimeshakutana nao ndio maana nakwambia hivyo.
Yaani ukinyimwa sura basi utakuta una vidole vizuri ajabu au una jasho fulani hivi ukiwa una sex linavutia sana,ili mradi kila mtu afurahie tu maisha.
Kaka ndio huo huo unaopata shida za dunia sababu muhusika anakuwa hajiamini kutokana na kujihisi yeye mbaya,sasa akitongozwa tu hakatai ili ajihisi na yeye anapendwa,kwahiyo zinapata shuruba sema ndio hivyo tena still bado zinakuwa tamu ajabu.Mkuu nimefanya badiliko ...kdg
Watu mna maneno ,eti ukifika kwa mfano kwenye pm ya mzigua90 moja kwa moja uanze kumwaga factors for soil formation[emoji1]
Msifie ukishidwa atleast usimponde ni kosa kubwa kumpondea mwanamke.Kabisa inatufanya tujisikie vibaya kwa kweli.
Kwahiyo kama wewe ni polar usihuzunike jiamini tu,tena amini kwamba una kitu fulani hivi special.sawa!
Kwahiyo kama wewe ni polar usihuzunike jiamini tu,tena amini kwamba una kitu fulani hivi special.
Sasa huuwandiko nao tatizo inaonekana hujiamini mpaka kwenye kuandika."xiwez uzunika mm"
Sasa huuwandiko nao tatizo inaonekana hujiamini mpaka kwenye kuandika.
Hee,maana ukisema mambo hawataki ,,ukiongelea pesa anakuuliza kwani umeniona mim malaya,hahahahaha mbona soil formation..lol
Ila kumponda mwanamke sio kitu kizuri kabisa, sisi wanaume tunatakiwa kuwasifia ninyi sana.
Hee,maana ukisema mambo hawataki ,,ukiongelea pesa anakuuliza kwani umeniona mim malaya,
Mimi nikipewa hivyo naridhika.Sio real love and money, hamjui ni nini mnataka. Mnaweza kupewa vyote hivyo na bado usiridhike.
Ila hao hao wabaya, kutwa kutufungulia thread za kutaka tuwasikilizeKweli Madame na sisi ni kweli ni wabaya wala hatubishi