Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

hahahahaaha kuna 1 mbovvvvvvvvvvuuu wasira atasubiri
Wasitutishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilitumwa picha wapo huko kwenye forex wamechooooooka halafu kutwa kutuponda humu[emoji23][emoji23]
Hebu wawekeni tuwaone bhana.
Kwani sh ngap!!!!
Wamwageni hapa tuwasasambue
 
haaaaaaaaahaahaaaaaaaaa
Mie kuna mwanaume mmoja alinitumia picha Pm.
Mpaka nikahisi ni mbilikimo wa Congo.
Afu jukwaani anavyoponda wanawake sasa...chefuuuuu!!!

Namtazama tu.
Kutwa anajishaua shaua kama nyoka aliyemwagiwa mafuta ya taa.
Ila ni mbovu wa sura mpaka umbo.
Yaani nahisi anaishi huko Tandale/Manzese ndani ndani ila akiwa jukwaani, anaishi Masaki.

Namsubiria siku aingie cha kike
 
Lalamiko la wadada lina mantiki kubwa na ni vyema wanaume mkalifanyia kazi. Daby huwezi kumfuata mdada PM from no where eti kwa kuvutiwa tu na avatar au umesikia watu wakidanganyana kuwa yuko hivi na vile.

Kabla ya kumfuata PM msome ili ujue interest zake, then unapomfuata PM anza kuchomekea maneno yanayolandana na interest zake. Hii ni kwasababu binadamu tunatofautiana. Lakini sasa ikiwa utakuwa unagawa tu dozi ya salamu kutwa mbili mara tatu kama panadol inabore!
Naunga mkono hoja[emoji119][emoji119]
 
Mie kuna mwanaume mmoja alinitumia picha Pm.
Mpaka nikahisi ni mbilikimo wa Congo.
Afu jukwaani anavyoponda wanawake sasa...chefuuuuu!!!

Namtazama tu.
Kutwa anajishaua shaua kama nyoka aliyemwagiwa mafuta ya taa.
Ila ni mbovu wa sura mpaka umbo.
Yaani nahisi anaishi huko Tandale/Manzese ndani ndani ila akiwa jukwaani, anaishi Masaki.

Namsubiria siku aingie cha kike


madame mm nafwariki huku dah! jaman mm nakufa kwa kicheko....dah!eti nyoka aliyemwagiwa mafuta..yaan wanangu wananishantaqa hapa !salute
 
Salaam sio tatizo salimia mara moja basi lakini sio ukiingia ukitoka salaam eiiiish salaam mara 10 kwa siku

Si una ndg vijijini watumie salaam radio free africa au radio one

Achana na wasalaam kuna wale wa maswali maswali mengiii vipi upo, umekula nini, uko wapi eiiish nilivyo mvivu sasa
Umekula ""?
 
Back
Top Bottom