Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Mimi nikipewa hivyo naridhika.
Jaribu kunipatia uone
si shem anakupa mamy😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nikipewa hivyo naridhika.
Jaribu kunipatia uone
Ananipa na naridhika.si shem anakupa mamy😉
hahahahaaha kuna 1 mbovvvvvvvvvvuuu wasira atasubiri
Hebu wawekeni tuwaone bhana.Wasitutishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilitumwa picha wapo huko kwenye forex wamechooooooka halafu kutwa kutuponda humu[emoji23][emoji23]
Hebu wawekeni tuwaone bhana.
Kwani sh ngap!!!!
Wamwageni hapa tuwasasambue
Tukiwapa namba mtume kwanza mpesa sio vimeno vyenu[emoji53][emoji53]
Sawa angalia mpesa yako afta dk 2Sijala Antonio haya nitumie muamala
NakojoooooaaaaWasitutishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilitumwa picha wapo huko kwenye forex wamechooooooka halafu kutwa kutuponda humu[emoji23][emoji23]
Mie kuna mwanaume mmoja alinitumia picha Pm.haaaaaaaaahaahaaaaaaaaa
Naunga mkono hoja[emoji119][emoji119]Lalamiko la wadada lina mantiki kubwa na ni vyema wanaume mkalifanyia kazi. Daby huwezi kumfuata mdada PM from no where eti kwa kuvutiwa tu na avatar au umesikia watu wakidanganyana kuwa yuko hivi na vile.
Kabla ya kumfuata PM msome ili ujue interest zake, then unapomfuata PM anza kuchomekea maneno yanayolandana na interest zake. Hii ni kwasababu binadamu tunatofautiana. Lakini sasa ikiwa utakuwa unagawa tu dozi ya salamu kutwa mbili mara tatu kama panadol inabore!
[emoji23][emoji23][emoji23]Hebu wawekeni tuwaone bhana.
Kwani sh ngap!!!!
Wamwageni hapa tuwasasambue
Wamezidi kutuponda.[emoji23][emoji23][emoji23]
Mie kuna mwanaume mmoja alinitumia picha Pm.
Mpaka nikahisi ni mbilikimo wa Congo.
Afu jukwaani anavyoponda wanawake sasa...chefuuuuu!!!
Namtazama tu.
Kutwa anajishaua shaua kama nyoka aliyemwagiwa mafuta ya taa.
Ila ni mbovu wa sura mpaka umbo.
Yaani nahisi anaishi huko Tandale/Manzese ndani ndani ila akiwa jukwaani, anaishi Masaki.
Namsubiria siku aingie cha kike
Ahhhhmadame mm nafwariki huku dah! jaman mm nakufa kwa kicheko....dah!eti nyoka aliyemwagiwa mafuta..yaan wanangu wananishantaqa hapa !salute
Kwa kweli, labda watakujaTunawasubiri wakuje [emoji16][emoji16][emoji16]
FactMuda nwingine tunawasalimu tu mkuu hatuhitaji mahusiano ya kimapenzi.
Umekula ""?Salaam sio tatizo salimia mara moja basi lakini sio ukiingia ukitoka salaam eiiiish salaam mara 10 kwa siku
Si una ndg vijijini watumie salaam radio free africa au radio one
Achana na wasalaam kuna wale wa maswali maswali mengiii vipi upo, umekula nini, uko wapi eiiish nilivyo mvivu sasa