Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Biashara ipi wakati hata vocha hana uwezo wa kukutumia?hhehehe ova kuna kabiashara hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara ipi wakati hata vocha hana uwezo wa kukutumia?hhehehe ova kuna kabiashara hapo
Hahahahaaha.Hahahahh
Nguo anainunulie mwingine, kuvaa aje aniulize yeye.
Akitaka naye aingie gharama.
Ndo wale wanaume wanaokwambia, ukija kwangu leo, vaa ile nguo ya njano...mschewwww!!!
Wanajua ilikotoka?
Kwanini Kiongozi!
Yiiiih. Story yangu jamani. MTU kaniambia karibu lunch nikamwambia asante. Muda huo huo akatuma na message naomba Namba ya Wakala nikutumie kidogo ya lunch. Wanaume kawa Hawa waishi milele JFMateso mwayataka nyie wenyewe.
Mje Pm mkiwa na sababu maalum.
Hatutaki salamu zenu zilizo ndefu kama mkojo wa mlevi.
Mwanaume rijali anakuja anakuuliza nataka nikutumie pesa ya lunch maana naona unachat sana jukwaani..nenda kale.
Mtu kama huyo hata ukimpa namba angalau wafarijika.
Asa wale wengine sasa.....loooollll!!!!!
Salamu kama tuko nursery school
NaUnGa mKoNo hOjA....[emoji12] [emoji12]Shikamoo mhenga. Ujumbe uwafikie. Tunaogopana huku.
Hahahahahahaaaaa. Kama nakuona unavyokataa hapo jicho kavuu ila moyo unakusutaWeee unakubalije sasa.
Id yangu ila nikakataa.
Ulitaka nikubali?
Nilikataa mbele ya mtuhumiwa nikasema hii I'd nachangia na mtu.
Asa kumbe nini...
Sio salamu zisizo na maana babaHivi mnaposema "Mwanamke anataka attention yako" huwa mna maanisha nini ?
Kweli jamani. Hata MTU asipotuma hela ila ile kujali tu inakufanya umsikilize. Wale wa nipe Namba tuhamie whatsapp kisa umejibu salama wanakeraahahahahaah nilikumiss kha!hapana kwakweli...mm napenda wale wa kusalimia asbh sana,,,mchana atakuchek tena,,sasa hapo unakuta kasalio kamesoma...tena unaambiwa pls manengelo nenda kula..its time nw.... sijamanisha siku zote..lakn anatia moyo🙂🙂🙂🙂🙂!
kesho yake mtachat tena kidogo atakuambia kale mishikaki umeniambia unapenda sana nyama..kale unywe na wine uwah kurudi hm...hv mtu kama huyu unamchukiaje!
mm sipohapa kuhamasisha ujinga!ila tambueni waanwake tunapenda kujaliwa hisia jamani(hasa mm😉)
wengne kuuutwa mbwembwe...ohh nimewah kuja huko nikalala hotel fulan maarufu!mxiiiiiiiiiiiiiiiiiiieeeeeeeeeeew sasa nikubebe????
Mnayo bahati ya mtendeYiiiih. Story yangu jamani. MTU kaniambia karibu lunch nikamwambia asante. Muda huo huo akatuma na message naomba Namba ya Wakala nikutumie kidogo ya lunch. Wanaume kawa Hawa waishi milele JF
Ni wewe bwana acha kujikataaHapana mkuu, nahisi umenifananisha!
Ndio mtuombe radhi. Aliesababisha maafa ni mwanaume mwenzetu.Wengine wameenda mbali zaidi wanataka waombwe radhi kwa tukio la kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere.
Hahahahaaabasi haya nataka nikutumie ya usumbufu
Halaf wanaume wa hivi hata akusalimie mara mia huchoki kumjibuYiiiih. Story yangu jamani. MTU kaniambia karibu lunch nikamwambia asante. Muda huo huo akatuma na message naomba Namba ya Wakala nikutumie kidogo ya lunch. Wanaume kawa Hawa waishi milele JF
Hivi pm iliyofungwa unajuaje? Mwenyewe naingia naangalia ubongo wako unawazaga nini napita kasiAsa anakuringishia ili iweje?
Mshamba tu.
Yaani kuna mijanaume mingine ina sifa sana.
Mie nina kawaida moja nikiona Pm ya mkaka
1. Naenda kwa wall yake kuona thread zake, kama za mavimavi, nauchuna.
2. Nikiona amekuja Pm huku Pm yake iko closed, hanipati.
Afu mwanaume anafungaje Pm..
Hata muda wa kusalimia hamna. Na akija mwenyewe unapata tabasamu moyoni kumjibuHalaf wanaume wa hivi hata akusalimie mara mia huchoki kumjibu
Hahahahaaa. Kweli bahatiMnayo bahati ya mtende
Wameshakwambia salamu hawataki, mbona unaendeleza kero zilezile za Muungano?Mambo mrembo!
Nimeona Kama unanisema sijui kwanini.Kwa kiasi kikubwa wadada wanaojihusisha sana na hii mitandao yenye privacy kubwa...huwa hawana muonekano mzuri kabisa...angalau ktk hyo mitandao wanapata comfort ya kusifiwa wa kua watu wanao interact nao hawawafaham... Na hii ndio sababu mtu hafanyi kitu chochote hatarishi lkn bado ID yake hataki iwe revealed mana watu wakijua muonekano wake ni hafifu basi wata mkimbia na shobo zitaisha.....
Nawasilisha
Hahahahaaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyingine kama mrembo sana haamini anafikiri ya kugoogle