Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Kuna mahali naona nimechapia...

Leta summary mchumba.
Mchumba wamekubaliana mkienda pm msalimie kidogo halafu muende kwenye lengo kuu. Lengo kuu linajumuisha na kuleta mada itakayomshawishi MTU kuendelea kukujibu. Ila IPO mada rahisi kabisa ya Namba ya Wakala. Utafiti unaonyesha hata Kama hutapewa Namba basi pm mahusiano yatakua mazuri.
Nawasilisha
 
Sio pagumu nyie ndo mnaleta ugumu....tunaonana mimi na laki 3 yangu nakuja tunapeana nikiwakilisha na body language na gestures......
Sasa hiyo laki 3 naijiaje wakati tukikutana hata cha kuongea hatuna? Tuzoeane hata nikiijia laki 3 najua Niko salama sitaenda ombwa vingine na hata nikiombwa naweza nikatoa kwa moyo mmoja
 
Hatupigi ila Kama ilivyo mtaani MTU Anakuona anakuelewa. Ingekua twapiga hela si tungekua matajiri sasa
Yawezekana pia mnapiga hela lakini mkawa mna matumizi mabaya. Hilo pia lawezekana yaani mkakosa mipango.

Sisi huwa tunasema "Ukishindwa kupanga,umepanga kushindwa"
 
Mchumba wamekubaliana mkienda pm msalimie kidogo halafu muende kwenye lengo kuu. Lengo kuu linajumuisha na kuleta mada itakayomshawishi MTU kuendelea kukujibu. Ila IPO mada rahisi kabisa ya Namba ya Wakala. Utafiti unaonyesha hata Kama hutapewa Namba basi pm mahusiano yatakua mazuri.
Nawasilisha

Asante, hapo nimekupata bila chenga.

Kuna mtu namlia timing, ngoja nimtengenezee notice za continental drift na plate tectonics kabla ya kumfata PM. Kuna Tsunami pia limetokea Indonesia + earthquake, natafuta points za kudiscuss factors zinazosababisha.
 
Back
Top Bottom