Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Mchumba hujanywa kweli?
Kuna mahali naona nimechapia...
Leta summary mchumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchumba hujanywa kweli?
Good night madame, leo hupiki?Mr. Romantic Good Evening
Sijibu!!ng'ooosawasawa...lakin isiwe too much...wengne wana muda mduchuu wa kuja jf,,we mtu umechoka unakutana na pm sema!🙁😡
Eeeh. Nimepitiwa Leo nimejitaja dume mwenzenuHahaha..! Mkuu kumbe na wewe ni mwanaume!?
Sio pagumu nyie ndo mnaleta ugumu....tunaonana mimi na laki 3 yangu nakuja tunapeana nikiwakilisha na body language na gestures......Hapo Ndo pagumu sasaaa
Sio pagumu nyie ndo mnaleta ugumu....tunaonana mimi na laki 3 yangu nakuja tunapeana nikitumia body language na gestures......Hapo Ndo pagumu sasaaa
Wanakuaga wapole. Hata wakichokoza wanachokoza kiakiliYaani wabarikiwe mno, mno.
Na wanaume hawa huwa wapo kimya muda wote.
Akina pangu pakavu tia mchuzi sasa....fujo kila majukwaa.
Khaaa!!!!
Hahahahahaaa. Hata mie ningekataaShoga unadhani ningefanyaje unadhani.
Mchumba wamekubaliana mkienda pm msalimie kidogo halafu muende kwenye lengo kuu. Lengo kuu linajumuisha na kuleta mada itakayomshawishi MTU kuendelea kukujibu. Ila IPO mada rahisi kabisa ya Namba ya Wakala. Utafiti unaonyesha hata Kama hutapewa Namba basi pm mahusiano yatakua mazuri.Kuna mahali naona nimechapia...
Leta summary mchumba.
Unataka kula nini? Chakula au mpishi?Good night madame, leo hupiki?
Sasa hiyo laki 3 naijiaje wakati tukikutana hata cha kuongea hatuna? Tuzoeane hata nikiijia laki 3 najua Niko salama sitaenda ombwa vingine na hata nikiombwa naweza nikatoa kwa moyo mmojaSio pagumu nyie ndo mnaleta ugumu....tunaonana mimi na laki 3 yangu nakuja tunapeana nikiwakilisha na body language na gestures......
Nakula chakula tu, nikimla mpishi kesho atapika nani?Unataka kula nini? Chakula au mpishi?
Eeeh. Nimepitiwa Leo nimejitaja dume mwenzenu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Njoo ila uje na salamu yenye kueleweka.
Salamu za kujaziana server sizitaki
Sijaelewa. Kwani attention anayohitaji mwanamke toka kwetu ni ipi ?Sio salamu zisizo na maana baba
Inaonekana mnapiga sana hela humu jf.Yiiiih. Story yangu jamani. MTU kaniambia karibu lunch nikamwambia asante. Muda huo huo akatuma na message naomba Namba ya Wakala nikutumie kidogo ya lunch. Wanaume kawa Hawa waishi milele JF
Hahahahaaa. Njoo ule wali na mainiNakula chakula tu, nikimla mpishi kesho atapika nani?
Hatupigi ila Kama ilivyo mtaani MTU Anakuona anakuelewa. Ingekua twapiga hela si tungekua matajiri sasaInaonekana mnapiga sana hela humu jf.
Yawezekana pia mnapiga hela lakini mkawa mna matumizi mabaya. Hilo pia lawezekana yaani mkakosa mipango.Hatupigi ila Kama ilivyo mtaani MTU Anakuona anakuelewa. Ingekua twapiga hela si tungekua matajiri sasa
Mchumba wamekubaliana mkienda pm msalimie kidogo halafu muende kwenye lengo kuu. Lengo kuu linajumuisha na kuleta mada itakayomshawishi MTU kuendelea kukujibu. Ila IPO mada rahisi kabisa ya Namba ya Wakala. Utafiti unaonyesha hata Kama hutapewa Namba basi pm mahusiano yatakua mazuri.
Nawasilisha