Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Yawezekana pia mnapiga hela lakini mkawa mna matumizi mabaya. Hilo pia lawezekana yaani mkakosa mipango.

Sisi huwa tunasema "Ukishindwa kupanga,umepanga kushindwa"
Kwako hela ni kiasi gani? Sababu MTU kukupa laki au laki 2 au elfu 50 matumizi yake ya maana yapi sasa? Au unadhani wanatoaga million mkuu?
 
Asante, hapo nimekupata bila chenga.

Kuna mtu namlia timing, ngoja nimtengenezee notice za continental drift na plate tectonics kabla ya kumfata PM. Kuna Tsunami pia limetokea Indonesia + earthquake, natafuta points za kudiscuss factors zinazosababisha.
Hahahahahaaa. Umenikumbusha Topic ya Earthquake Kama sijakosea. Factor moja wapo ya Tsunami ni movement of tectonic plates. Topic yangu ya kula marks za bure za Physic ilikua
 
Kwako hela ni kiasi gani? Sababu MTU kukupa laki au laki 2 au elfu 50 matumizi yake ya maana yapi sasa? Au unadhani wanatoaga million mkuu?
Swali zuri. Hela ni ile yenye kukidhi haja na ziada. Kwahiyo Haina kiwango maalumu,hata kama ni elfu kumi kama ina kidhi haja na ziada,hiyo ni hela unatakiwa kuipangia mkakati.

Nipo.........
 
Salaam sio tatizo salimia mara moja basi lakini sio ukiingia ukitoka salaam eiiiish salaam mara 10 kwa siku

Si una ndg vijijini watumie salaam radio free africa au radio one

Achana na wasalaam kuna wale wa maswali maswali mengiii vipi upo, umekula nini, uko wapi eiiish nilivyo mvivu sasa
Hahahahaha.
 
Swali zuri. Hela ni ile yenye kukidhi haja na ziada. Kwahiyo Haina kiwango maalumu,hata kama ni elfu kumi kama ina kidhi haja na ziada,hiyo ni hela unatakiwa kuipangia mkakati.

Nipo.........
Mkakati ni Kama hela ya lunch inaenda lunch. Hela ya wine sijui JD inaenda kwenye matumizi yake. Unataka MTU akinipa elfu 50 ya lunch nikaichezee Biko au nikampe mwarabu kwenye betting?
 
Mateso mwayataka nyie wenyewe.
Mje Pm mkiwa na sababu maalum.
Hatutaki salamu zenu zilizo ndefu kama mkojo wa mlevi.

Mwanaume rijali anakuja anakuuliza nataka nikutumie pesa ya lunch maana naona unachat sana jukwaani..nenda kale.
Mtu kama huyo hata ukimpa namba angalau wafarijika.
Asa wale wengine sasa.....loooollll!!!!!
Salamu kama tuko nursery school
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkakati ni Kama hela ya lunch inaenda lunch. Hela ya wine sijui JD inaenda kwenye matumizi yake. Unataka MTU akinipa elfu 50 ya lunch nikaichezee Biko au nikampe mwarabu kwenye betting?
Kwanini uishi kwa kubahatisha kujishughulisha na bahati nasibu.

Rejea comment ya juu,kisha itafakari vyema upime kwa kujikadiria mwenyewe,hiyo nimekupa kanuni ya ushindi.

Nikisema mikakati ujue nazungumzia ushindi,ushindi unaenda sanjari na kujizuia na kufanya yale ya msingi.

Narudi............
 
Hahahahahaaa. Umenikumbusha Topic ya Earthquake Kama sijakosea. Factor moja wapo ya Tsunami ni movement of tectonic plates. Topic yangu ya kula marks za bure za Physic ilikua

Umeona sasa tulishaanza kuongea lugha moja, hayo madude tukiwa shule nilikuwa nayaelewa kweli.

Kwenye continental drifts kuna Gondwanaland, hili jina nilikuwa nimekariri hata bila kuelewa, yaani nikawa mpaka nawapa watu hilo jina.
 
Umeona eeeee
Tumewachoka.

Ndo mana Pm zinafungwa.
Wanawake tunatakiwa mtujali, chezeni na hisia zetu.

Kuna mtu nachat nae mwaka wa 2 huu....ila hata pesa ya bando hajui naipata wapi.
Siku mita itasoma namba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hawa wanawake wanataka HELA hakuna ambae anataka maneno tupu,mambo yamebadilika

Usiku mwema!!
 
Kwanini uishi kwa kubahatisha kujishughulisha na bahati nasibu.

Rejea comment ya juu,kisha itafakari vyema upime kwa kujikadiria mwenyewe,hiyo nimekupa kanuni ya ushindi.

Nikisema mikakati ujue nazungumzia ushindi,ushindi unaenda sanjari na kujizuia na kufanya yale ya msingi.

Narudi............
Nimetoa mfano kwamba nimepewa hela nikale lunch ulitaka niipeleke wapi. Ya msingi ni makusudio ya pesa husika.
 
Salaam sio tatizo salimia mara moja basi lakini sio ukiingia ukitoka salaam eiiiish salaam mara 10 kwa siku

Si una ndg vijijini watumie salaam radio free africa au radio one

Achana na wasalaam kuna wale wa maswali maswali mengiii vipi upo, umekula nini, uko wapi eiiish nilivyo mvivu sasa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nimetoa mfano kwamba nimepewa hela nikale lunch ulitaka niipeleke wapi. Ya msingi ni makusudio ya pesa husika.
Mfano niliuelewa vyema,ndio maana nikasema haya niliyo yasema.

Ina maana ukipewa elfu 50 ya lunch ndio ukale yote lunch ?
 
Mie kuna mwanaume mmoja alinitumia picha Pm.
Mpaka nikahisi ni mbilikimo wa Congo.
Afu jukwaani anavyoponda wanawake sasa...chefuuuuu!!!

Namtazama tu.
Kutwa anajishaua shaua kama nyoka aliyemwagiwa mafuta ya taa.
Ila ni mbovu wa sura mpaka umbo.
Yaani nahisi anaishi huko Tandale/Manzese ndani ndani ila akiwa jukwaani, anaishi Masaki.

Namsubiria siku aingie cha kike
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom