Kina Hilda Newton na Devotha Minja waanza kukinyemelea kiti cha Halima Mdee Bawacha

Kina Hilda Newton na Devotha Minja waanza kukinyemelea kiti cha Halima Mdee Bawacha

Mkuu tusiwafungie mlango hawa wasaliti kama watakuwa tayari kuomba msamaha na pia kuikana rushwa ya viti maalum walivyohongwa na maccm, vinginevyo ni wa KUFUKUZA TU hawa.
Mkuu BAK, kati yao wote sijaona aliyejutia, na badala yake ndio wanazidi kukaza shingo kukichimba chama; halafu unazungumzia "msamaha", Erythro, naomba msaada hapa tafadhali.

Nitashangaa sana kwa hawa watu kusamehewa na kurudishwa ndani ya chama.
 
Ndiyo mjue COVID19 kwamba usaliti haulipi. Rafiki yako Mama Mdee ndiyo kishapigwa chini sasa mjiandae rasmi wasaliti nyinyi mnaenda wapi kuendeleza usaliti wenu.

ACT Wasaliti kwa Zitto au maccm kwa wahuni, wezi, mafisadi na wauaji maccm. Vinginevyo msamaha wenu unakaribishwa ili mrudishwe kundini.

Wakaungane na waunga juhudi walionunuliwa kwa Kodi zetu huku wanafunzi wanakaa chini na kukosa vyoo.Wakaanzishe chama chao cha usaliti party wamchukue tumbili,juakali,dogo janja,nk
 
Tayari katika hilo kundi kuna mfarakano mkubwa kwani baadhi wanataka sana kurudi kundini na kukubali makosa yao. Kwanini hawa wafungiwe mlango kabisa na ilhali wako tayari KUTUBU!? 😳
Mkuu BAK, kati yao wote sijaona aliyejutia, na badala yake ndio wanazidi kukaza shingo kukichimba chama; halafu unazungumzia "msamaha", Erythro, naomba msaada hapa tafadhali.

Nitashangaa sana kwa hawa watu kusamehewa na kurudishwa ndani ya chama.
 
Acha Hilda na Devotha wagombee hizo nafasi. Hao akina mzee Halima na wenzake tupa kule...nyqmbafu!
 
Tayari katika hilo kundi kuna mfarakano mkubwa kwani baadhi wanataka sana kurudi kundini na kukubali makosa yao. Kwanini hawa wafungiwe mlango kabisa na ilhali wako tayari KUTUBU!? 😳
Wakitubu na kujutia wareheshwe kundini lkn wapokwe vyeo vyao vyote. Wabakie wanachama wa kawaida. Vinginevyo utter NO!
 
Hilda Newton ana stress za kukatwa nafasi ya ubunge wa viti maalumu, maana niliona kipindi anajipongeza kuwa kapita viti maalumu alibakiza uteuzi tuu,

Njaa na cheo ni vibaya sana wacheni Covid 19 wale maisha bungeni maana M12+ kila mwezi dah ndefu sana
 
Hilda Newton ana stress za kukatwa nafasi ya ubunge wa viti maalumu, maana niliona kipindi anajipongeza kuwa kapita viti maalumu alibakiza uteuzi tuu,

Njaa na cheo ni vibaya sana wacheni Covid 19 wale maisha bungeni maana M12+ kila mwezi dah ndefu sana
 
View attachment 1664064

Mnyukano wa kugombania madaraka ndani ya Chadema sasa umethibitika. Tayari Hilda Newton na Devotha Minja wameanza kukinyemelea kiti cha Halima Mdee Bawacha. Wanafanya kila mbinu kuhakikisha kwamba Mdee na wenzake hawarudi. Wanatumia nguvu kubwa kupamba na kundi la kina Mdee kuliko nguvu ambayo imewahi kutumika kupambana na chama tawala cha CCM.

Juzi 29 Desemba 2020, Hilda Newton aliandika meseji ya twitter ifuatayo: "Aliyewaandikia Barua za rufaa Mzee Halima na wenzake Mungu anamuona yani maelezo yao wote yanafanana cha tofauto ni sahihi tu."



Anachosahau Hilda Newton ni kwamba, hata barua za tuhuma kwenda kwa kina Mdee zote zinafanana isipokuwa sahihi pekee!


Na hapo awali, Devotha Minja aliongoza maandamano ya kuilazimisha Kamati Kuu kuwafukuza kina Mdee. Maandamano hayo yalichukuliwa na kamera kama ifuatavyo:


Kwa hiyo sasa, BAWACHA imemeguka katika sehemu mbili: Bavicha ya Mdee na Bavicha ya kina Hilda. Hii maana yake ni kwamba, sasa Baraza Kuu linayo kazi ya ziada.

Linapaswa kuhakikisha kwamba BAWACHA inasimama kwa kutenda haki bila kuzingatia shinikizo lolote.
Hoja zilizo katika rufaa ya kina Mdee ni nzito.

"Kuwabatiza majina mabaya kina Mdee, kama vile COVID19 na mengine hakusaidii kumaliza tatizo. Badala yake kunazidi kuongeza mpasuko ndani ya Chadema. Kwa hakika mie naona kuwa kina Hilda na Devotha ni hatari kuliko kinachoitwa covid19. Nashauri tangu sasa tuwaite kina Hilda na Devotha covid19+," alisema mwana Chadema mmoja kwenye kundi moja la whatsapp.

Nao wajumbe kadhaa katika kundi jingine la whatsapp wameonekana wakiandika maneno yanayofanana na hayo.

Mmoja anasema:

"Ninachojua kuna kina mama wa Bawacha walitaka kwenda Bungeni ila baada ya majina yao kutokuwemo kwenye list ya Halima, sasa hivi ndio vinara wa kushambulia waliokwenda kuapa kwa hoja eti wamesaliti chama."

Mwingine anaandika hivi:

"Ndio maan nasema haya mambo yaacheni tukutane nao kwenye vikao. Tutaelewana vizuri huko kwenye vikao. Hapa mtararuana bure. Haisaidii."

Mchangiaji wa tatu anasema:

"Katika suala ka kupeleka wabunge wa viti maalum Bawacha hhaikuwa na mpango wa kususia nawaambieni. Haya mengine tumshukuru Mungu nafasi zimekuwa chache. Wamegawanyika na hapo ndipo tulipoponea kama chama. Vinginevyo hawa akina Mama walikuwa wamoja before."

Hii maana yake ni kwamba, kelele za kina Hilda na Devotha ni kama kelele za sungura aliyesusa ndizi mbivu kwa kisingizio kwamba ni mbichi. Alikuwa ameshindwa kukwea na kuzifikia.

Baraza Kuu la Taifa la Chadema litapaswa kuyazingatia haya yote kusudu liweze kuwatendea haki covid19 bila kuwapendelea covid19+.
Kwani kuna kosa kutamani viti ambavyo vimetangazwa kuwa wazi? Mimi sioni namna ambavyo wakina Mdee watarudi kwenye uongozi wa BAWACHA hata wakisamehewa. Kama wanataka uongozi waanzishe BAWACHA yao nje ya CHADEMA. Ila mimi sioni shida kwa barua zao kufafanana. Kinachoonyeshwa ni kuwa wako tayari kufa pamoja. Ambayo sio mbaya. Kama kufukuzwa wafukuzwe wote na kama kusamehewa wasamehewe wote. Mpira uko kwa Baraza. Na ni dhahiri kuwa barua walizoandikiwa zitafanana maana makosa yao yanafanana. Ila hamna lazima ya utetezi wao ufanane maana kila mtu anaweza akawa alifikia uamuzi kwa sababu zake yeye mwenyewe.

Amandla...
 
Kuna wakati watu tuliamini kuwa bila wakina Halima BAWACHA inakufa. Wakina Devotha, Catherine, yule dada wa Zanzibar na Hilda wanathibitisha usemi wa kuwa hamna aliye zaidi ya chama. Ukitoka wako wa kuchukua nafasi yako.

Amandla...
 
Afadhali ya Covid19.
Lakini hao kina Hilda na Devotha ambao ni covid19+ ni hatari zaidi

Wasaliti ni hatari kwa chama; hao wengine watakuwaje hatari kwa chama na hawajakisaliti? Kuwasamehe hao kumi na tisa halafu mkawarudisha chamani mtakuwa mmekiua chama mwanzo mwisho!! Hao wanawake wamekula nyama ya mataga hawawezi kuacha!!!!
 
Back
Top Bottom