Kina nani hawakupinga misaada ya kigeni kabla ili kutaka kujitegemea?

walianzia kumuandama mugabe,wakaja nkuruzinzanwwakaja museven,sasa wamekuja Tz ..hivi na sisi kumbe tuko kundi moja na hawa kina nkuruzinza na museven!!!!!
 
jaman
jaman presida hataki misaada anataka kufanya na cc tuwe donors..hebu kuwen na subira kidg
 
Mzee hawa watu sio wa kuwaendekeza na masharti yao yanabadilika kama kinyonga na kuna wakati hilo la ushoga litakuja kama ilivyokuwa Malawi na Uganda, sijui itakuwaje. Unakumbuka Septemba 2015 walituambiaje?
Ha ha ha ha. Mkuu haya bhana
 
Huko ni kujiamini kupita kiasi mkuu. Tanzania bado inahitaji misaada SANA tu. Tusijipe moyo na kujivika mizuka isiyo na tija.. Wewe bado huuzi chochote nje unaagiza kila kitu mpaka toothpick af unaleta hoja ya kimizuka ya kujitegemea?? smh
 
Hasara inapatikana kwenye biashara dogo.
 
Kujiamini tu kuwa utajitegemea bila mipango inayoonekana hiyo itakuwa kazi bure, suala la Uchumi ni kanuni sio siasa mkuu..

Na mpaka hapa mh raisi amesha feli..... muda utaamua.

Kwani tulikuwa tumefaulu nini tulipokuwa na marais ombaomba? Kanuni gani ya uchumi iliyokiukwa na magufuli? kwani ameshafika? Magufuli ndo kwanza ameanza shughuli.
 
Burkina Fasso waliweza kipindi cha Thomas Sankara,hata sisi tutaweza.Misaada inalemaza,wote wanaolilia misaada wamelemaa akili zao.Ni aibu watu wazima kulilia misaada
 
Hapa kama vile uelewi kuhusu katiba ya Znz!! Mahakama haina mamlaka ya kuhoji lolote litakalo amriwa na tume.

Duh sasa tatizo liko wapi? kwani sheria ya tume imetungwa mbinguni? Miaka mitano tangu 2010 kina Seif hawakuona tatizo hilo kama wale wa UKAWA ambavyo hawakuona tatizo la sheria ya uchaguzi hadi uchaguzi ulipofika?
 
Kwani tulikuwa tumefaulu nini tulipokuwa na marais ombaomba? Kanuni gani ya uchumi iliyokiukwa na magufuli? kwani ameshafika? Magufuli ndo kwanza ameanza shughuli.

Usiulinganishe uzembe wa awamu zilizopita na uzembe wa awamu hii ya sasa, wote wanaweza kuwa na uzembe lakini matokeo ya uzembe kwa awamu moja kati ya hizo yana utaofauti tena utofauti mkubwa tu.

Kauli za jumla jumla za raisi Magufuli dhidi ya wanene wa dunia hii zita tugharimu, unapoongea jambo flani uwe umejipanga. Habari ya kutukana mamba kabla ya kuvuka mto itatugharimu.
 
I also like the part that the Usa ambassador is treat like any other ambassador.I am sure "they" don't like it.

Of course.. ukishakuwa mkubwa na ndio unatoa hela lazima uwe na ujiko fulani. Sasa ule ujiko ukiondoleewa ndio inakuwa shida kidogo... Fikiria Rais wa Vietnam amekuja na hakupokelewa na Rais mwenyewe... na watu wakawa offended - wengine though...
 
Huko ni kujiamini kupita kiasi mkuu. Tanzania bado inahitaji misaada SANA tu. Tusijipe moyo na kujivika mizuka isiyo na tija.. Wewe bado huuzi chochote nje unaagiza kila kitu mpaka toothpick af unaleta hoja ya kimizuka ya kujitegemea?? smh

Mbona ni kama watu hamtaki hata kusoma tunachosema; hatujasema misaada haiitajiki...
 

Huu ni ugonjwa mkubwa kabisa wa kutokujiamini...
 

Jamani hakuna waombaji humu?
Huyu mtu anahitaji kuombewa!
 
Mwanakijiji
You can't eat your cake and have it. Kubali tu Sikuhizi unauona ukweli nusunusu
 
Huko ni kujiamini kupita kiasi mkuu. Tanzania bado inahitaji misaada SANA tu. Tusijipe moyo na kujivika mizuka isiyo na tija.. Wewe bado huuzi chochote nje unaagiza kila kitu mpaka toothpick af unaleta hoja ya kimizuka ya kujitegemea?? smh

Huyo mpumbavu mwanakijiji yuko us. Anaongea nadharia tu. Hana hisia jua linawakaje huku uwanjani.
 
Huu ni ugonjwa mkubwa kabisa wa kutokujiamini...

Unawezaje tu kujiamini wakati huna silaha!!?. Mfumo wenyewe wa Serikali ni mmbovu sana, umewekeza kwenye matumizi makubwa ya anasa kuliko kuwekeza katika maendeleo.. Habari za kulindana na kukilinda chama ndio zimetufikisha ktk hali hii ya Ufisadi ulio kithiri na hakuna hatua zozote kali zinazo chukuliwa..

Hata kama tunge kusanya kiasi gani kama hatuna nidhamu ktk matumizi hiyo ni kazi bure, yaliyo fanyika Zanzibar kwa uchaguzi(uchafuzi) wa marudio ni moja ya mfano mmojawapo wa ufujaji mmbaya aa mabilioni ya walipa kodi....
 
Its a wake up call kwa kweli.
Ni mda wa kusimama sisi kama sisi maana misaada at the age of 55 ni aibu ni sawa na mtoto ambaye bado anakaa kwa wazazi wake kwa umri huo.
 
Mkuu ningependa kupata mawazo yako binafsi

Hili la mahakama nitalizungumzia baada ya maoni yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…