Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Nachukia kupewa misaada ( ingawa ukweli wake si misaada maana masharti yake mengi huwa ni ya kuikandamiza nchi husika ama huletwa kama kilainishi kabla ya kuweka miradi mbalimbali isiyo na tija kwa taifa )...
Mikopo nayo siyo mizuri sana kwa kuwa huwekewa mipaka katika matumizi yake lakini
Katika jicho jingine mikopo sio mibaya sana kama nchi itajizatiti katika kuitumia vyema ili tuwe na uwezo wa kuilipa na hii ni kupitia katika uwekezaji ambao huleta faida kama viwanda ama kilimo..
Tatizo letu kubwa huwa tunaitumia misaada aidha kwa kuyalisha matumbo ya wenye serikali yao ama kuwekeza katika vitu visivyoleta faida sana hivyo, huishia kuwa mrundikano wa madeni...
Rasilimali zisitudanganye sana kama hatuzitumii kama fursa.tuzione na tuzitumie kama fursa kwanza kwa kubadili mitazamo yetu katika uchakarikaji wetu NA hapo ndipo tutaweza kusimama wenyewe
** TANZANIA KWANZA **
Mikopo nayo siyo mizuri sana kwa kuwa huwekewa mipaka katika matumizi yake lakini
Katika jicho jingine mikopo sio mibaya sana kama nchi itajizatiti katika kuitumia vyema ili tuwe na uwezo wa kuilipa na hii ni kupitia katika uwekezaji ambao huleta faida kama viwanda ama kilimo..
Tatizo letu kubwa huwa tunaitumia misaada aidha kwa kuyalisha matumbo ya wenye serikali yao ama kuwekeza katika vitu visivyoleta faida sana hivyo, huishia kuwa mrundikano wa madeni...
Rasilimali zisitudanganye sana kama hatuzitumii kama fursa.tuzione na tuzitumie kama fursa kwanza kwa kubadili mitazamo yetu katika uchakarikaji wetu NA hapo ndipo tutaweza kusimama wenyewe
** TANZANIA KWANZA **