Kina nani hawakupinga misaada ya kigeni kabla ili kutaka kujitegemea?

Kina nani hawakupinga misaada ya kigeni kabla ili kutaka kujitegemea?

Hoja siyo kuwa na misaada ya kigeni au kutokuwa nayo. Ni wazo zuri kujitegemea ndiyo maana chama kilichopo madarakani kilipoondoa Azimio la Arusha kinyemela - Azimio lililofafanua hatua kwa hatua tunavyoweza kuwa taifa linalojitegemea, wenye uoni wa mbali walipiga kelele. Hatuna sababu ya kuwa wategemezi wakati tuna hazina kubwa ya utajiri. Vietnam walikuja hapa kujifunza kilimo cha Korosho wametuacha. Nchi tulizopigania kuzikomboa kisiasa zimetuacha kiuchumi. Hapa kuna tatizo la uongozi na siasa safi. Watu na ardhi tunavyo. Kinachoshangaza ni pale mtu anapokosa siasa safi (ya kidemokrasia) na mikakati sahihi ya kuitoa nchi katika umaskini (uongozi bora) na kisha kuadhibiwa kwa kukosa vitu hivyo, na kuanza na badala ya kujisahihisha kudhani kuwa atatumia mwanya huo kutushawishi tusitegemee misaada ya nje. Tunapoangalia uwezekano wa kujitegemea (si kwa hasira kwa kuwa tumenyimwa misaada kwa sababu ambazo zingezuilika), tujitathmini tutaendeleza aina hii ya utawala usiozingatia sheria kwa maslahi ya nani? Hakuna ubaya wowote kujielekeza katika kujitegemea huku tukidumisha mahusiano mazuri na waliopiga hatua za maendeleo na tukijisahihisha kwa tabia zinazoonwa na wenzetu na zinazolalamikiwa na watu wetu kuwa si za kistaarabu. Tusifumbie macho ukweli.
 
Hichi kizee mpaka kinakeraaaa! Achana na mambo ya misaada hebu njoo na uzi ujibu hoja za mcc wewe kama Mzee Mwanakijiji unasemaje kuhusu sababu walizotoa Mcc achana na hizi pu mb a za msaada wenye uelewa tunaelewa other wise utuambie uko kwenye paylol ya chama mnaimba same song!


Ukikereka una move on tu; kwani tuko hapa kulea watoto sisi?
 
Swala ni waTanzania kua pamoja na kutambua tutapitia kipindi kigumu... ila mbeleni tutasimama... kama wote tutakua na lengo kuu la kutaka tz iwe nchi inayojitemea.
 
Bado hatujakataa kwa kadiri ya kwamba kuna watu bado wanaamini hatuwezi kukataa au hatupaswi kukataa. Sijui kama umesoma tamko la upinzani; bado wapo watu - madarakani na katika upinzani - wanaamini kabisa kuwa hatupaswi kukataa misaada ya kigeni ya aina ambayo tunapewa sasa.
Mimi Kama Mimi binafsi nasema tukatae yote Kabisa Kabisa! Halafu tujipange! Even though tunadaiwa pesa nyingi Ila tukifumba macho Na kujikakamua tunaweza kusonga bila msaada ingawa tutasimama Kwa Muda!
 
Gamba, Tatizo ni kuwa tunataka kuaminishwa kuwa kwa vile wapinzani wamedai basi ni kweli. Kama mantiq unayofuata ni kweli basi wakati ule ule wao wangeenda hata mahakamani kupinga kufutwa kwa uchaguzi wakipinga madaraka ya Jecha; hawakwenda na wao hawakushtakiwa... siasa za Zanzibar hizo.
Mkuu hapa kuna hoja

Jambo lisilozungumzwa ni kuhusu sheria na taratibu zetu. Hili ndilo wengine tunalisimamia

Hatusimamii aliyeshinda na aliyeshindwa. Tunahoji tarataibu nzima kama zilitoa haki

Nitakuuliza maswali machache ya ukorofi

1. Ni nani anayelalamika kuhusu kurugwa kwa uchaguzi?
2. Je, ni kweli Jecha alichukuliwa na 'vyombo' au si kweli?
3. Je, kuna kumbu kumbu za kikao cha tume kuhusu kufutwa uchaguzi?
4. Je, ni dai au madai gani yaliyoelezwa na tume a.k.a Jecha?
5. Sheria gani ya ZNZ inayosema tume inaweza kufuta uchaguzi wote?
6. Ni sharia gani ya ZNZ inayoeleza kuhusu uchaguzi wa marudio?

Hapa hatuongeleI CUF, CCM au UKAWA. Tunaongelea tu taratibu ziliztumika
 
Namkubali sana huyu mchambuzi mm mwanakijiji ana uzalendo mwingi sana ndani yake na ana ubongo wa aina yake. Endelea kuandika mzee tupo tinaokusoma kimya kimya na kukuelewa. Hakuna atae tulazimisha tukupuuze wanajisumbua sisi ni watu waxima tuna akili timamu tunaweza kuoanisha mambo. Big up kwako.
 
Mkuu hapa kuna hoja

Jambo lisilozungumzwa ni kuhusu sheria na taratibu zetu. Hili ndilo wengine tunalisimamia

Hatusimamii aliyeshinda na aliyeshindwa. Tunahoji tarataibu nzima kama zilitoa haki

Nitakuuliza maswali machache ya ukorofi

1. Ni nani anayelalamika kuhusu kurugwa kwa uchaguzi?
2. Je, ni kweli Jecha alichukuliwa na 'vyombo' au si kweli?
3. Je, kuna kumbu kumbu za kikao cha tume kuhusu kufutwa uchaguzi?
4. Je, ni dai au madai gani yaliyoelezwa na tume a.k.a Jecha?
5. Sheria gani ya ZNZ inayosema tume inaweza kufuta uchaguzi wote?
6. Ni sharia gani ya ZNZ inayoeleza kuhusu uchaguzi wa marudio?

Hapa hatuongeleI CUF, CCM au UKAWA. Tunaongelea tu taratibu ziliztumika


Nguruvi, maswali yako ni mazuri kweli kweli; haya yalikuwa ni maswali yaliyotakiwa kuamuliwa na Mahakama. Mimi naweza kutoa mawazo yangu lakini siyo majibu hasa. Sasa kama unataka mawazo tu yangu basi naweza kukupa lakini kama unataka hasa majibu; sina uwezo huo kwani itahitaji niwe na resource za kutosha kuweza kujibu maswali hayo na yanayotokana na hayo.

Kwanini maswali haya hayakupelekwa mahakamani ili tupate majibu? Well, kwa vile hakuna mtu aliyeenda mahakamani kutaka majibu mazito ya maswali haya kwani yana implication yake ni wazi kuwa Jecha alikuwa na madaraka aliyokuwa nayo, aliyoyasema ndiyo yaliyvokuwa na uamuzi wake ndivyo ulivyopaswa kuwa (ukishakubali sababu zake). Kwanini CUF au kina Fatma Karume hawakwenda mahakamani kutaka haya yapatiwe majibu? CUF ina wanasheria wengi - bara na visiwani na wapo wengine kutoka katika ushirika wao wa UKAWA kwanini hawakutaka Mahakama iamue hoja hizi ulizozitoa? Na mimi nimebakia na maswali.
 
Jamani, hivi kweli tunaamini sababu zilizotolewa zinatosha kuchukua uamuzi huo mkubwa. Au tunashindwa hata kuona mambo katika context? Hivi kama Serikali iliona kweli kuna ushahidi wa kutosha wa kuvuruga uchaguzi walitakiwa wafanye nini - hili hakuna watu wanajibu; tunaambiwa tu 'wamtangaze mshindi'. Suala la Cybercrime law kwa mtu yeyote anajua kabisa kuwa siyo sheria kali kuko ile ya Patriotic Act ya Wamarekani. Tena kwa kiasi kikubwa mengine tumeyapata kutoka kwa hawa hawa. Kama kweli hiyo ilikuwa ni hoja yao ya kupinga cybercrime law kwanini hawakusitisha misaada wakati ule wnegine tumeanza kampeni ya kuipinga sheria hiyo? Kwanini hawakusitisha misaada 'KABLA' ya Uchaguzi Mkuu kwani Sheria hiyo ilitiwa saini na kuanza kutumika KABLA ya uchaguzi? Kwanini iwe mbaya sana Baada ya Uchaguzi wa marudio wa Zanzibar?

Kweli kabisa hamuoni hili au ni kuwa ndugu zangu hamtaki kuona kwa sababu kama ulivyosema sympathy kwa Seif?
Mwanakijiji unarudi kule kule.Kwa nini hatukuikataa na kuibeza misaada kabla ya kunyimwa?
Pia Mwanakijiji uchaguzi unaharibika Pemba unafuta uchaguzi wote wa nchi nzima hata hilo nawe hukuliona?
Tungekuwa na uwezo tungejitegemea kwa kila kitu lakini hilo haliwezekani na nabidi kwa miaka mingi ijayo tutegemee misaada na hili ni pana kwani linahusisha tabia,mila na taratibu zetu.Sisi ni watu wa kuridhika haraka na hili litachukua muda muda kulirekebisha,hivyo si jambo la kuamua leo.Nyerere alisema ujamaa na kujitegemea na akajenga viwanda,empoer vijiji,somesha watu lakini leo tumezidiwa na Thailand.Kujitegemea ni jambo linalotakiwa lianzie ndani ya mioyo ya watu.

Jamani, hivi kweli tunaamini sababu zilizotolewa zinatosha kuchukua uamuzi huo mkubwa. Au tunashindwa hata kuona mambo katika context? Hivi kama Serikali iliona kweli kuna ushahidi wa kutosha wa kuvuruga uchaguzi walitakiwa wafanye nini - hili hakuna watu wanajibu; tunaambiwa tu 'wamtangaze mshindi'. Suala la Cybercrime law kwa mtu yeyote anajua kabisa kuwa siyo sheria kali kuko ile ya Patriotic Act ya Wamarekani. Tena kwa kiasi kikubwa mengine tumeyapata kutoka kwa hawa hawa. Kama kweli hiyo ilikuwa ni hoja yao ya kupinga cybercrime law kwanini hawakusitisha misaada wakati ule wnegine tumeanza kampeni ya kuipinga sheria hiyo? Kwanini hawakusitisha misaada 'KABLA' ya Uchaguzi Mkuu kwani Sheria hiyo ilitiwa saini na kuanza kutumika KABLA ya uchaguzi? Kwanini iwe mbaya sana Baada ya Uchaguzi wa marudio wa Zanzibar?

Kweli kabisa hamuoni hili au ni kuwa ndugu zangu hamtaki kuona kwa sababu kama ulivyosema sympathy kwa Seif?
 
Nguruvi, maswali yako ni mazuri kweli kweli; haya yalikuwa ni maswali yaliyotakiwa kuamuliwa na Mahakama. Mimi naweza kutoa mawazo yangu lakini siyo majibu hasa. Sasa kama unataka mawazo tu yangu basi naweza kukupa lakini kama unataka hasa majibu; sina uwezo huo kwani itahitaji niwe na resource za kutosha kuweza kujibu maswali hayo na yanayotokana na hayo.

Kwanini maswali haya hayakupelekwa mahakamani ili tupate majibu? Well, kwa vile hakuna mtu aliyeenda mahakamani kutaka majibu mazito ya maswali haya kwani yana implication yake ni wazi kuwa Jecha alikuwa na madaraka aliyokuwa nayo, aliyoyasema ndiyo yaliyvokuwa na uamuzi wake ndivyo ulivyopaswa kuwa (ukishakubali sababu zake). Kwanini CUF au kina Fatma Karume hawakwenda mahakamani kutaka haya yapatiwe majibu? CUF ina wanasheria wengi - bara na visiwani na wapo wengine kutoka katika ushirika wao wa UKAWA kwanini hawakutaka Mahakama iamue hoja hizi ulizozitoa? Na mimi nimebakia na maswali.
Mwanakijiji,Fatma Karume kaingiaje humu?
 
Shida sio misaada, Hoja walizojenga mbona hamzungumzii???? mbona unajitoa ufahamu bure? wewe upo marekani, unaelewa maana ya kukaa na kiza mwezi mzima? acha kufurahisha genge kaka....
Tumejiandaaje kujitegemea kama sio unaongea vitu vya kufikirika? unadhani maisha ni riwaya?
Shida huleta maarifa, haijalishi umejiandaa au haujajiandaa, MCC imesitishwa sasa ukaa tu sababu haujajiandaa? Acha ujinga wa KINYUMBU
 
Nguruvi, maswali yako ni mazuri kweli kweli; haya yalikuwa ni maswali yaliyotakiwa kuamuliwa na Mahakama. Mimi naweza kutoa mawazo yangu lakini siyo majibu hasa. Sasa kama unataka mawazo tu yangu basi naweza kukupa lakini kama unataka hasa majibu; sina uwezo huo kwani itahitaji niwe na resource za kutosha kuweza kujibu maswali hayo na yanayotokana na hayo.

Kwanini maswali haya hayakupelekwa mahakamani ili tupate majibu? Well, kwa vile hakuna mtu aliyeenda mahakamani kutaka majibu mazito ya maswali haya kwani yana implication yake ni wazi kuwa Jecha alikuwa na madaraka aliyokuwa nayo, aliyoyasema ndiyo yaliyvokuwa na uamuzi wake ndivyo ulivyopaswa kuwa (ukishakubali sababu zake). Kwanini CUF au kina Fatma Karume hawakwenda mahakamani kutaka haya yapatiwe majibu? CUF ina wanasheria wengi - bara na visiwani na wapo wengine kutoka katika ushirika wao wa UKAWA kwanini hawakutaka Mahakama iamue hoja hizi ulizozitoa? Na mimi nimebakia na maswali.

Hapa kama vile uelewi kuhusu katiba ya Znz!! Mahakama haina mamlaka ya kuhoji lolote litakalo amriwa na tume.
 
Jibu hoja za Mcc acha mipasho na kujificha kwenye kichaka cha misaada!
MCC imeshasitishwa , unajibu hoja za nini? Manyumbu Shangilieni kama Mabata yanayonyeshewa, Watanzania wanyonge na Wazalendo tunasonga Mbele na JPM
 
MCC imeshasitishwa , unajibu hoja za nini? Manyumbu Shangilieni kama Mabata yanayonyeshewa, Watanzania wanyonge na Wazalendo tunasonga Mbele na JPM

Nyumbu mama ako! Halafu wewe ni ktk watu walioko kwenye ignored list ya watu wengi humu mi mmoja wapo! Mnatamba sasa lakini kumbuka dunia inazunguka...
 
Kujitegemea ni jambo zuri hakuna mtu yeyote anayependa kuwa ombaomba lakini tatizo ni pale unapotaka kujitegemea baada ya kushindwa masharti yenye maslahi kwa Taifa zima,Tungeamua kama Taifa kukataa misaada bila kusubiri kunyimwa kwa kushindwa kuwa DEMOKRASIA ya ndani ya nchi inayojiita ni yakidemokrasia..Hii ni sawa na kuachana na mwanamke baada ya kuwa kikojozi kukukacha halafu baadae uanze kusema eti ulikuwahumpendi na pia unatakakuwa single ndio maana umemuacha ili hali yeye kakuacha kwasababu ya tabia zako za kukojoa kitandani..nakabla yapo ulikuwa haujawahi kuonyeshe dalili yoyote yakuwa umechoka kuishi naye.
 
Wapuuzi wachache wanaangalia ishu ya kuzuiwa Pesa ya MCC bila Kuangalia sababu za kuzuiwa matrilioni hayo...Ambazo kwa jamii yenye akili ingejadili sababu hizo

Ila kwa sababu watanzania ni wapuuzi......na wanajifanya "eti" wao wanaweza kuizidi marekani...eti wao wanajifanya wana uzalendo ....ambao umekuja baada ya kunyimwa hela

Acheni Unafiki
 
Longolongo kibao lakini hugusi hoja za MCC kwamba.em lete nyuzi zako khs demokrasia na cyba kraim,nyuzi kabla hujawa msaliti

Nchi hii kubadilika inabidi kizazi cha huyu mtoa mada wafe kwanza

hawa ndio watu wamekuwa wapiga porojo miaka yote...Nothing Tangible happened

Ni mjinga na Mpuuzi tu anayeweza kutowekea uzito ishu ya Zanzibar na sharia kandamizi ya Mitandao.....eti kujifanya Tanzania mnaweza saaaaana

CCM ni hovyo sana...Plus hawa Puppets wao wapuuzi
 
Akili za kuanza kujitegemea zinakuja ukiwa unafanya kazi au ukinyimwa misaada kwa sababu ya ukandamizaji wa Demokrasia?
Au kujitegemea kwa matamko tu? kwa strategy zipi? kukusanya kodi za imprtations na mishahara??

ndio hapo utakapowashangaa watanzania
 
Back
Top Bottom