Kina nani hawakupinga misaada ya kigeni kabla ili kutaka kujitegemea?

Kina nani hawakupinga misaada ya kigeni kabla ili kutaka kujitegemea?

Mbona ni kama watu hamtaki hata kusoma tunachosema; hatujasema misaada haiitajiki...

Ni kwa nini wakati huu tu ndio muone hamtaki misaada!!? Kwa nini sasa!?. Au baada ya awamu ya tano kuingia madarakani na hazina nayo imejaa kimiujiza!!? Kwa nini hamsemi ukweli wa uhuni mlio wafanyia wananchi, na sasa wananchi ndio wanalipa gharama za uhuni wenu!? Tunajua ninyi ni wakubwa mtatuumiza kugharamia anasa za maisha yenu, ila ipo siku tu....
 
Unawezaje tu kujiamini wakati huna silaha!!?. Mfumo wenyewe wa Serikali ni mmbovu sana, umewekeza kwenye matumizi makubwa ya anasa kuliko kuwekeza katika maendeleo.. Habari za kulindana na kukilinda chama ndio zimetufikisha ktk hali hii ya Ufisadi ulio kithiri na hakuna hatua zozote kali zinazo chukuliwa..

Hata kama tunge kusanya kiasi gani kama hatuna nidhamu ktk matumizi hiyo ni kazi bure, yaliyo fanyika Zanzibar kwa uchaguzi(uchafuzi) wa marudio ni moja ya mfano mmojawapo wa ufujaji mmbaya aa mabilioni ya walipa kodi....

Misaada ikikatwa itatulazimisha kuamua nini tufanye nini, vipi, na kwanini. Kwa kadiri ya kwamba tunakinga mikono hatufikiri kupanga wala kuchagua. Ndio maana kuna watu wameanza kulalamika ati hela sasa inabidi waanze kuipangia bajeti kwa sababu Magufuli anabana kila kona! Of course!
 
Mwanakijiji
You can't eat your cake and have it. Kubali tu Sikuhizi unauona ukweli nusunusu

I am right 99.99% of the time. Ukichagua upande kinyume na mimi una uwezekano wewe umekosea. Naongeza hasira za wakosoaji wangu tu...
 
Sijui ni kina nani ambao hawakuwahi kuandika kuhusu utegemezi. Mimi si mmoja wao. Msimamo wangu kuhusu misaada ya kigeni haujaibuka sababu ya MCC kusitishwa kama baadhi ya watu wanataka tuamini. Kama kuandika juu ya hili nimeandika sana na tena wazi kabisa. Sijabadilika msimamo wangu. Na wengine wanalizungumzia hili la MCC leo wakati wengine tulilizungumzia miaka sita nyuma! Hili la MCC limenipa tu sababu ya kuendelea na msimamo huo huo niliokuwa nao. Ushahidi wangu upo hapa:

Niliandika hili - STOP FOREIGN AID TO TANZANIA CAMPAIGN - hili ilikuwa Nov 19, 2008. Nikimjibu Mwalimu Augustino kwenye mada hiyo nilihoji hivi "Mwalimu ni kitu gani ambacho sisi wenyewe tunaweza kukifanya kwa uwezo wetu na fedha zetu wenyewe. Unafikiri misaada ya kigeni??? imetusaidia kuendelea na kiwango cha maendeleo kinaakisi misaada tuliyopokea hadi sasa?"

Niliandika hili -ARE WE ADDICTED TO FOREIGN AID? - hii ilikuwa Feb 17, 2009. Nikaandika hivi mle "Alas! May the truth be told, as a nation we can only function at least semi-effectively as long as there is this constant flow of foreign through the veins and capillaries of Tanzania, without which we will collapse like pieces of cookies in a milk jar! We depend on this drug, we beg for it, we long for it, we sing with high pitched voices, screaming and rukarukaring like kids in a candy store. Whenever we are promised that there is some more coming we smile so wide and our eyes get teary with joy! Our desires are stirred like a man tempted by that midnight temptress in the fortress of passion! "

Katika mada iliyoanzishwa na Mzalendo Halisi Cutting Off Aid - A Condition to lift Africa from Poverty - ya Feb 24, 2009 nilichangia na kuhoji ifuatavyo: "najiulizana sana kwamba endapo misaada ya kigeni itasitishwa:

a. tutaendelea kuwa na NGOs nyingi hivi?
b. Je watanzania wanaweza kujitolea fedha zao kufanya kazi za kujitolea?
c. Itakuwaje kwenye misaada ya visima iliyoanzishwa na fedha za wahisani, tutamudu kuiendeleza?
d. Vipi kuhusu miradi mingine inayosapotiwa na wahisani nayo itakuwaje?"


Nikaandika mada nyingine WAFADHILI MMEIDEKEZA TANZANIA, BADO TUNATAKA NYONYO - hii ilikuwa ni mada ya Feb 26, 2009. Niliandika mle jambo hili "Ninachosema ni kuwa, wakati wa kutukatisha kunyonya umefika. Tayari tuna wasomi wa kutosha, tuna raslimali ya kutosha, tuna watu wa kutosha na tuna sababu za kutosha kujitegemea. Lakini zaidi ya yote tunaweza kujitegemea kwa kiasi kikubwa katika kujiletea maendeleo. Hadi hivi sasa ninachokiona ni importation of development ambapo kile tunachokiita "maendeleo" kwa kweli ni vitu tulivyocopy and paste kutoka ng'ambo! Juzi nilimsikia Waziri Mkuu akitaka watu wanunue vitunguu vya Tanzania!!! Yaani kwa maneno mengine Tanzania inaagiza hadi vitunguu kutoka ng'ambo ambayo wenyewe tunaviona ni 'bora'!" Na watu wananituhumu sijaandika kuhusu "kujitegemea"!

Niliandika tena muda si mrefu baadaye hili RAIS MWENYE MAWAZO YA KUOMBAOMBA - Hii ilikuwa Aprili 9, 2009 Nilikuwa nainukuu hotuba ya Rais na nilitanguliza kusema hivi kabla ya hotuba yenyewe "Sehemu ya hotuba ya Rais Kikwete inayothibitisha kuwa hana mawazo ya kuinua hali ya maisha ya watanzania bila ya kukinga mikono kwa nchi matajiri; asilimia 99 ya mambo anayotaka nchi matajiri zifanye kwa Afrika yanaweza kufanywa na Afrika wenyewe!"

Hiyo ni mifano tu ya nilichokisema na kukiandika humu kuhusu fikra zangu juu ya misaada ya Kigeni; kuna tofauti yoyote na nilichosema leo? Na nimeandika vingi vingine kwa mfano,

Niliandika hivi juu ya MCA ambayo ndio ilikuja mwanzo kabla ya kuwa MCC. Ni katika mada ya SYMBION POWER ACQUIRES DOWANS POWER PLANT

"tatizo liko toka mwanzo tulipokubali kuwa sehemu ya hii MCA. Wengi walifikiria kuwa MCA ina lengo la kutupa sisi uwezo na kujenga uwezo wetu wa ndani la hasha. Masharti ya MCA kama yalivyo masharti ya miradi mingine mingi tu ya Wamarekani ni kuwa fedha za walipa kodi wao ni lazima zinufaishe Marekani. Sasa mimi siwezi kuwalaumu kwa hili. Fikiria dola milioni 700 zinaweza kufanya nini Marekani? Kweli tulifikiria Wamarekani watatoa hizo milioni 700 kwa Tanzania bure tu? Kwa undugu gani?"

Na nikaongeza na kusema,

Hatuwezi kuwalaumu. Kama tungekuwa tunataka kweli iwe ni misaada ya kutunufaisha na sisi watawala wetu wangesema mapema kwenye masharti kuwa kwa kila dola moja inayopelekwa Marekani dola nyingine moja ibakie Tanzania. Lakini hatuna sera ya misaada ya kigeni Tanzania hivyo tunakuwa katika huruma ya wale wanaotoa misaada na hatuwezi kuwalaumu. Kwa wananchi wa kawaida kwa kweli hiyo haiwajalishi maana kama serikali yao imeshindwa kutatua tatizo la nishati na Wamarekani kwa kutumia fedha zao, na makampuni yao wanakuja kusaidia why not?

Sasa leo naambiwa ati sijawahi kuandika juu ya hili; na nina uhakika licha ya kuweka rekodi yangu wazi kuwa sijabadilika kama inavyodaiwa wapo wengine wanaweza wasikiri kuwa "kweli mwanakijiji msimamo wako haujabadilika juu ya misaada ya kigeni". Watajaribu kuuelezea kwa kunilazimisha nizungumzie masuala ya Zanzibar kwa mitazamo yao.

Mwaka 2003 - zingatia kuwa nimesema yale yale tangu 2008! niliandika mada iitwayo
Stop unscrupulous Foreign Aid to Tanzania campaign towards 2015. Niliandika hivi mle:
What would happen if we were to initiate such a campaign to demand that foreign aid ought to be halted until a new policy on solicitation of the same is put in place? Unafikiri CCM na serikali yake watafanya nini kampeni hiyo ikianza?

Je wrwe kama Mtanzania utaathirika vipi na usitwishaji wa misaada hiyo? Je kama kuna misaada kweli inahitajika ni ipi na kwa maeneo gani au kwa muda gani?

Unafikiri tunaweza kupiga hatua ya haraka ya maendeleo bila misaada ya kigeni?


Sasa ni kweli nimebadilika? Ni kweli sijazungumzia kuwa huru kutoka misaada ya kigeni? Ni kweli msimamo wangu wa leo unatokana na matukio ya juzi ya uchaguzi? Au ni msimamo unaotokana na kuthibitika katika kanuni ninazozisimamia. Mtu anayesoma anaweza kuamua mwenyewe bila kuongozwa na hisia za kisiasa au kisasi au kutotaka kuwa mkweli au kuogopa kusema "mwanakijiji yuko sahihi" kwa sababu ataonekana anakubaliana na mtu ambaye hakudandia mabadiliko yale feki!

Naendelea kuamini kusitishwa MCC iwe sababu tu ya kutaka kuondoka na misaada hii ya kitegemezi ya kigeni ambayo imetufanya tuwe watu tusiojiamini, wenye mawazo ya kubembeleza na ambao tuko tayari tufanywe lolote ili mradi dawa hii nzito ya kulevya iingie kwenye damu zetu!

Nitaendelea kupinga misaada ya kigeni ya aina ambayo tunapokea sasa hadi tutakapokuwa tayari kuwa na ushirikiano wa kigeni ambao msingi wake ni heshima, utu, kusaidiana na kuinuana. Na kabisa napinga misaada ya kigeni inayoingizwa kwenye bajeti ya nchi moja kwa moja au ile ambayo inakuja nje ya maeneo yale matatu niliyoyaanisha katika ile mada nyingine. Katika hili inawezekana nimebakia "mimi tu, mimi kuwaletea habari"

MMM
Tanzania inayojitegemea inawezekana
 
Huyo mpumbavu mwanakijiji yuko us. Anaongea nadharia tu. Hana hisia jua linawakaje huku uwanjani.
C ndo hapo mkuu? Mtu unashindwa kuwafikiria babu na bibi yako walioko kijijini ambao bado wanatumia vibatari.. Bongo bado tuna safari ndefu sana ya kujitegemea wenyewe kutokana na hili janga la viwanda mfu
 
Ni kweli mkuu ulishasema. Ni kweli pia wengi tulilaani vikali utamaduni wa kuombaomba uliokuwa ukipaliliwa na serikali zilizopita.
Tatizo kuna watu wanajisahaulisha kwa makusudi misimamo yao ya awali. Mbaya zaidi wanalazimisha kila mtu abadilishe misimamo yake ya awali ATI ili tufanane wote.
Toka tulipoletewa yale mabadiliko ya kuzungusha mikono tumekuwa majuha kwelikweli.
 
Misaada ikikatwa itatulazimisha kuamua nini tufanye nini, vipi, na kwanini. Kwa kadiri ya kwamba tunakinga mikono hatufikiri kupanga wala kuchagua. Ndio maana kuna watu wameanza kulalamika ati hela sasa inabidi waanze kuipangia bajeti kwa sababu Magufuli anabana kila kona! Of course!
Kujitegemea ni jambo zuri sana, wengine tulishasema siku nyingi kwanini hatupangi bajeti inayolingana na mahitaji yetu?

Kwanini tunasubiri kutembeza bakuli?

Tulilaani sana utaratibu wa kuzunguka duniani na bakuli badala ya kufikiria nanma ya kujikwamua. Wakasema, ziara za Rais zina manufaa ikiwemo MCC

MM, kuna kitu kinaitwa 'Weaning' kule SUA na Muhimbili watanisaidia.
Weaning si tukio ni hatua. Kinachoonekana tumeifanya tukio.

Kwasababu hatufuati kanuni za 'weaning' jana wametumabia hatutaki misaada, tunaweza wenyewe ,tuwe Wazalendo.

Leo wameacha Uzalendo wanashangilia Japan kachaingia bajeti

Unaona kwanini wengine tumesimama katika uzalendo na si kuburuzwa tu kila asubuhi

Unaona kwanini tunasema MCC hawana hatia.
Tuliomba, wakaweka masharti tukakubali wakamwaga pesa tukashangilia!

Leo tumeshindwa masharti wamegoma na pesa tunasema wanatudhalilisha.

Haya ni kwasababu tunaongozwa tu na watu wasiojua kesho kuna ni!

Wanafeli
 
Kama kweli mi saada si kitu kwetu kwanini iwe habari ya mjini tunaongozwa na viongozi wenye empty mind kiingeleza tu shida utaperi na uhuni umetawara kwa mtu mweusi marekani wa metuunga mkono wanyonge ambao atukupiga kura kwakua haki imekandamizwa kilamtu analijua ilo Tanzania sio ya watu wachache yakwetu wote? Naamini hatufiki popote bira msaada mapato na matumizi vinapishana runakusanya kodi vizur matumizi hayaendani na kodi nipo apa kama mtu ajarudi kupiga mogoti
 
Hivi Kyoma huyu Salim alikosa msaada wakati wa Wahutu na Watusi leo anawezaje kuwa msaada wa Darfur ? Je kama nikisema kaitwa kule kwa sababu wanao waua waafrika wenzetu ni waarabu wenzake wewe utasema ndiyo akili hiyo ???

Ulivyoandika hapo ni kama vile serikali ya magufuli ndio imezikataa pesa za MCC wakati ni kinyume chake.

NI kweli kujitegemea kuzuri lakini kunahitaji maandalizi kusilazimishwe na kukataliwa msaada. Kwa hili la MCC watakaoumia ni wale babu zetu Nanjilinji na kwingineko wanaoutumia vibatari na yule mkulima ambaye nyanya zake zitaozea shambani kwa kukosa usafiri kwa kuwa barabara ni mbovu na si wanasiasa wanaoongea upupu majukwaani kujilisha upepo.
 
Ni kweli mkuu ulishasema. Ni kweli pia wengi tulilaani vikali utamaduni wa kuombaomba uliokuwa ukipaliliwa na serikali zilizopita.
Tatizo kuna watu wanajisahaulisha kwa makusudi misimamo yao ya awali. Mbaya zaidi wanalazimisha kila mtu abadilishe misimamo yake ya awali ATI ili tufanane wote.
Toka tulipoletewa yale mabadiliko ya kuzungusha mikono tumekuwa majuha kwelikweli.
Leo Lowassa akitoka na kusema "misaada inahitajika kweli kweli" wazungusha mikono watadandia kwa haraka kweli; "tunataka misaada tunataka misaada". Sisi wengine ambao tumepinga misaada na tunaendelea kupinga misaada tunaonekana tumebadilika.
 
C ndo hapo mkuu? Mtu unashindwa kuwafikiria babu na bibi yako walioko kijijini ambao bado wanatumia vibatari.. Bongo bado tuna safari ndefu sana ya kujitegemea wenyewe kutokana na hili janga la viwanda mfu
Kwani hao bibi na babu yako wameanza kuishi kijijini mwaka huu? Miaka yote umewafikiria kwa misaada what happened?
 
What happened in Zanzibar? Kilichotokea Zanzibar ni siasa za Zanzibar period. Irrelevant and inconsequential. Mtanitafuta ugomvi bure tu. Zanzibar walitaka kuiba uchaguzi kwa kulazimisha kushinda wakachomolewa kama walivyotaka kujaribu Bara wakawahiwa. Simple as that.
Wacha wee!! Nakuapia kwa jina Mungu aliye hai hata kama wewe ni mfuasi wa shetani basi nakuhakikishia kwa jina la Lucifer nafsi yako haitokaa na amani kamwe mpaka siku mzoga wako unafukiwa shimoni. Pesa imekuharibu wewe na padre mzinzi daktari wa canon law. Mlaaniwe nyinyi na vizazi vyenu vyote.
 
Utajiandaa vipi kujitegemea wakati hata kufikiria kujitegemea hutaki? Utaweza vipi kujiandaa kuacha kunyonya wakati kila nyonyo ikichomolewa unalia "mama kaa chini ninyonye". Well.. ikisitishwa labda tutapata watu wenye akili ya kuona ni vipi tutaweza kujitegemea kwa sababu hatuna 'mjomba' wa kuturushia vijihela...
Kwa hiyo kunyimwa fedha za MCC ndio starter ya kuanza kujitegemea sio ?
 
Leo Lowassa akitoka na kusema "misaada inahitajika kweli kweli" wazungusha mikono watadandia kwa haraka kweli; "tunataka misaada tunataka misaada". Sisi wengine ambao tumepinga misaada na tunaendelea kupinga misaada tunaonekana tumebadilika.
Mkuu
Naona unamuiga Makonda ukidhan utapata u RC
 
Mkuu
Naona unamuiga Makonda ukidhan utapata u RC
Huyo na Dr Mihogo walishalipwa mgao wao tangu mwaka jana, kwahiyo hapo anamtumikia kafiir.

Kwa sasa Mwanakijiji kwakuwa ni msukuma basi na ukabila umemjaa kwahiyo kwa Magufuli ni pot pot na hana dosari, nchi imejaa wanafki hii.
 
I am right 99.99% of the time. Ukichagua upande kinyume na mimi una uwezekano wewe umekosea. Naongeza hasira za wakosoaji wangu tu...
Zamani ulifanikiwa kuziteka akili zetu kwa 100% lakini sasa, watu wanajitambuwa muulize hata njaa kali mwenzako Majid Mjengwa atakueleza.
 
I am right 99.99% of the time. Ukichagua upande kinyume na mimi una uwezekano wewe umekosea. Naongeza hasira za wakosoaji wangu tu...

Duh!

Unamshinda hata Rush ambaye yuko documented to be almost always right 99.7% of the time😀.

rush-limbaugh2.jpg
 
Mkuu Mwanakijiji, don't be disingenuous please! Unafahamu fika (unless you have been infected with the "CCM" disease) kwamba kinachowasukuma Watanzania wengi kufurahia huu uamuzi wa MCC siyo suala la sisi kunyimwa huo msaada. In fact, nadiriki kusema Watanzania wengi wana chuki dhidi ya dhana ya sisi kutegemea misaada - wanachama wa CCM na hata Wapinzani wengi tu. Issue hapa ni sababu za sisi kunyimwa misaada. Be truthful and tell us if you truly believe CCM didn't commit foul in the Zanzibar election saga, and deserve MCC's rulling. Tell us if you really think the Cyber Security law passed by CCM is not undemocratic, to say the least. Come on Brother! You used to be my model!
 
Back
Top Bottom