Kinachoendelea kati ya Russia na Ukraine ndo kitazaa World War III (WW3)

Kinachoendelea kati ya Russia na Ukraine ndo kitazaa World War III (WW3)

Pilipili usiyoila yakuwashia nini kaka? Maana naona kama umeanzisha uzi wa kuomba maoni kuhusu vita ya Russia na Ukraine, sijui hayo maoni yanakusaidia nini kama Mtzee.

Vita ipigwe huko Ukraine wewe unahangaika nayo huku Bongo. Hakuna kitu mtzee yoyote anaweza kufanya kuhusu hiyo vita yet bado kiherehere kuifuatilia badala ya kuhangaikia changamoto za jamii inayokuzunguka. Grow Up!
1. Inaelekea una uelewa mdogo sana wa mambo (Low IQ).

2. Ikitokea vita ya Dunia haiwezi kukuathiri wewe unayekaa madongo kuinama.

3. Unataka kutuambia Vita ya Ukraine na Russia haija athiri uchumi wa Kidunia ikiwemo Tanzania.

4. Unataka kutuambia wewe binafsi vita ya Russia na Ukraine havijaku- athiri au kuathiri mfumo wa maisha yako. Kama ndo hivo huenda unakula ugali wa bure kwa shemeji yako.
 
URUSI amebadili malengo ya hii vita. Awali alitaka kutumia bajeti kubwa kwa muda mfupi kumaliza SMO.
Ukrain mwanzo alionesha kuhimili makali ya urusi kivita ila mpaka Sasa imethibitika kufirisika kijeshi, silaha hata mbinu.
Hali ambayo inapelekea kuendesha vita kupitia misaada ya siraha, vifaa, inteligensia na hata mamluki.

SUPER POWER URUSI
Kupitia operation hii kwanzia mwanzo mpaka Sasa urusi anaonekana ni super power kwa siraha, dhana za kivita, teknologia katika uwanja wa vita.
Amethibitisha kuwa anaweza kupigana vita na NATO kwa hoja kuu mbili

1. Number of troops on battlefield
urusi ame-deploy idadi ndogo sana ya wanajeshi wake ambao constantly wapi vitani. Hii itakupa ratio kubwa sana kati ya namba ya ukrain+mamluki na yeye urusi pamoja na wagners kwenye uwanja wa maambano.

Hiki ni kipimo muhimu sana Cha umahili wa jeshi lako katika vita..... Uimara wa majeshi ya ardhini ya urusi ndio mafanikio yake

2. Matumizi/utegemezi wa siraha wakati wote wa vita.
Tazama mataifa mengi sana yanatoa msaada kupeleka ukrain siraha toka vita imeanza. Lakini mpaka Sasa hakuna taarifa yakuaminika pasina shaka kwamba urusi anapewa msaada toka kwa yeyote zaid ya drone za Irani ambazo zilipelekwa kufanya majaribio na baadae zimepotea.

3. Jambo linguine lakushangaza, urusi yupo vitani mwaka wa pili huu. Uchumi wake Bado upo imara sana. Tazama JUZI tunaambiwa amerudi top 10 ya nchi zenye uchumi wa juu huku akiwa vitani. Hii ni kuonesha kuwa Russia anamizizi isioweza kuteteleka jeshin. Wengi wamepingi takwimu ile ila wao IMF, WB hawajapinga mpaka Leo.

URUSI ANABADILI MALENGO YA SMO
Mwanzo wa hii operation ilikua ni kumaliza mapema hii operation, ila matokeo ya vikwazo na mafanikio makubwa ya biashara ya urusi baada ya vita ndio yamebadili MALENGO ya hii operation.

1. Mlengo mpya wa kisiasa
Putin anataka kutumia vita hii kutetelesha mataifa makubwa mahasimu. Siasa za uingereza, marekani, ujerumani na mataifa mengi yametikisika na hii vita

2. Mlengo wa kiuchumi
Baada ya kuwekewa vikwazo, urusi ndipo uchumi na mauzo yake yakaanza kuteteleka sana, japo baadae ukaibuka isivyo kawaida.
Urusi Sasa anaonesha kuwa vita inamlipa sana yeye na marafiki zake kama vile UCHINA, IRANI, MIDDLE EAST ALLIES, AFRIKA-RUSSIA AGENDA, LATIN AMERICA, na wengine wengi sana
4. Urusi ametambua kuwa, kupitia vita hii ndio kichocheo kizuri Cha Kasi ya kuidhoofisha nguvu ya Dola ya marekani.
Tazama nchi nyingi za ulaya zimeanza kubadili GIA angani kuhusu kuendelea kuisaidia kijeshi ukreni. Wameanza kurumbana kuhusu packages za vikwazo kwa urusi. Ni wao wenyewe kupitia bunge lao wamekili kwamba utekelezwaji wa vikwazo kwa urusi haujafwatwa hata kwa 60% hivyo package mpya itakua ni kuongeza misimamo juu ya utekelezwaji wa vikwazo vilivyokwisha wekwa awali na vipya vichache.

KUHUSU HAYO NA MENGINE MENGI
Tunashawishiwa kuamini kwamba urusi anamizizi migumu sana kijeshi, kiuchumi, inteligensia teknologia katika vita na itakua sahihi kumuita supapawa katika medani za kivita na si uchumi.

NAOMBA KUWASILISHA

Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
 
URUSI amebadili malengo ya hii vita. Awali alitaka kutumia bajeti kubwa kwa muda mfupi kumaliza SMO.
Ukrain mwanzo alionesha kuhimili makali ya urusi kivita ila mpaka Sasa imethibitika kufirisika kijeshi, silaha hata mbinu.
Hali ambayo inapelekea kuendesha vita kupitia misaada ya siraha, vifaa, inteligensia na hata mamluki.

SUPER POWER URUSI
Kupitia operation hii kwanzia mwanzo mpaka Sasa urusi anaonekana ni super power kwa siraha, dhana za kivita, teknologia katika uwanja wa vita.
Amethibitisha kuwa anaweza kupigana vita na NATO kwa hoja kuu mbili

1. Number of troops on battlefield
urusi ame-deploy idadi ndogo sana ya wanajeshi wake ambao constantly wapi vitani. Hii itakupa ratio kubwa sana kati ya namba ya ukrain+mamluki na yeye urusi pamoja na wagners kwenye uwanja wa maambano.

Hiki ni kipimo muhimu sana Cha umahili wa jeshi lako katika vita..... Uimara wa majeshi ya ardhini ya urusi ndio mafanikio yake

2. Matumizi/utegemezi wa siraha wakati wote wa vita.
Tazama mataifa mengi sana yanatoa msaada kupeleka ukrain siraha toka vita imeanza. Lakini mpaka Sasa hakuna taarifa yakuaminika pasina shaka kwamba urusi anapewa msaada toka kwa yeyote zaid ya drone za Irani ambazo zilipelekwa kufanya majaribio na baadae zimepotea.

3. Jambo linguine lakushangaza, urusi yupo vitani mwaka wa pili huu. Uchumi wake Bado upo imara sana. Tazama JUZI tunaambiwa amerudi top 10 ya nchi zenye uchumi wa juu huku akiwa vitani. Hii ni kuonesha kuwa Russia anamizizi isioweza kuteteleka jeshin. Wengi wamepingi takwimu ile ila wao IMF, WB hawajapinga mpaka Leo.

URUSI ANABADILI MALENGO YA SMO
Mwanzo wa hii operation ilikua ni kumaliza mapema hii operation, ila matokeo ya vikwazo na mafanikio makubwa ya biashara ya urusi baada ya vita ndio yamebadili MALENGO ya hii operation.

1. Mlengo mpya wa kisiasa
Putin anataka kutumia vita hii kutetelesha mataifa makubwa mahasimu. Siasa za uingereza, marekani, ujerumani na mataifa mengi yametikisika na hii vita

2. Mlengo wa kiuchumi
Baada ya kuwekewa vikwazo, urusi ndipo uchumi na mauzo yake yakaanza kuteteleka sana, japo baadae ukaibuka isivyo kawaida.
Urusi Sasa anaonesha kuwa vita inamlipa sana yeye na marafiki zake kama vile UCHINA, IRANI, MIDDLE EAST ALLIES, AFRIKA-RUSSIA AGENDA, LATIN AMERICA, na wengine wengi sana
4. Urusi ametambua kuwa, kupitia vita hii ndio kichocheo kizuri Cha Kasi ya kuidhoofisha nguvu ya Dola ya marekani.
Tazama nchi nyingi za ulaya zimeanza kubadili GIA angani kuhusu kuendelea kuisaidia kijeshi ukreni. Wameanza kurumbana kuhusu packages za vikwazo kwa urusi. Ni wao wenyewe kupitia bunge lao wamekili kwamba utekelezwaji wa vikwazo kwa urusi haujafwatwa hata kwa 60% hivyo package mpya itakua ni kuongeza misimamo juu ya utekelezwaji wa vikwazo vilivyokwisha wekwa awali na vipya vichache.

KUHUSU HAYO NA MENGINE MENGI
Tunashawishiwa kuamini kwamba urusi anamizizi migumu sana kijeshi, kiuchumi, inteligensia teknologia katika vita na itakua sahihi kumuita supapawa katika medani za kivita na si uchumi.

NAOMBA KUWASILISHA

Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
Nilipoona maelezo marefu nikajua sasa Hoja/maswali yetu yamepata majibu makini kutoka kwa mchambuzi mahiri aliye na analytical facts. Looo, kila paragraph niliyosoma kufuatilia point za kuchukua sijaambulia kitu. Nimejikuta nimeshika kalamu bila kuandika chochote kwenye notebook yangu.

Huenda umeongozwa na mhemuko wa kishabiki na wa ki propaganda zaidi kuliko uhalisia (facts). Maana hata takwimu moja hujatoa kwa uliyosema pamoja na kwamba umebutua nje ya magoli na hakuna hoja uliyojibu kwa mujibu wa dodoso letu.

Nilichoambulia ni hitimisho lako kuwa Russia ni super power kwa sababu ana mizizi migumu ya kijeshi, kiuchumi na intellijensia. How, hujaeleza. Japo mwisho tena ukajichanganya kwa kusema si kiuchumi. Duuu hapo ukanichanganya zaidi.

Anyway ngoja nikuulize maswali kwa mambo uliyoyasema pengine nitapata kitu kama utajibu. Japo najua hutaweza kujibu maswali haya maana huna facts.

1. Umesema lengo la SMO limebadirika kutoka kutumia bajeti kubwa hadi ndogo. Hebu tueleze bajeti ya mwanzo ilikuwa kiasi gani na sasa ni kiasi gani?

2. Umesema Russia ime deploy wanajeshi kidogo sana ukilinganisha na Ukraine. Hebu tueleze, Russia ime deploy idadi ya wanajeshi wangapi na Ukraine imepeleka wangapi?

3. Unadhani ni kwa nini Russia alifanya kitu kinaitwa mobilization ya wanajeshi 300,000 mwezi September 2022, miezi tisa baada ya kuanza vita?

4. Umesema kuwa kitendo cha Russia kupigana na NATO ndo kimethibitisha kuwa Russia ni super power.
i. Je, NATO imepeleka wanajeshi wangapi Ukraine?.
ii. Je, ukipigana na NATO ndo unakuwa super power?
iii. Je, Libya tayari ni super power kwa sababu USA alisaidia vifaa vya kijeshi kuondoa utawala ule?

5. Umesema Ukraine imefilisika kijeshi, ki-silaha na ki-mbinu. Hebu tueleze, kama ndo hivo mbona hatujasikia kuwa Russia imeshinda vita? Au una maana gani kufilisika kijeshi.

6. Umesema kuwa vita hii imefanya uchumi wa Russia kuwa mkubwa zaidi kuliko awali na kwamba imekuwa ni fursa kwa Russia. Ukaongeza kuwa sasa Russia iko kwenye top 10 kiuchumi.
i. Hebu tupe takwimu za GDP ya Russia kabla ya vita 2022 na GDP ya 2023.
ii. Tupe pia takwimu ni asilimia ngapi uchumi wa Russia umepanda kulinganisha na 2022?
iii. Tupe GDP ya Russia na total GDP ya nchi anazopigana nazo (USA, German, Italy, UK, France, Canada etc) ili tulinganishe kuthibitisha maelezo yako.
iv. Je, Putin mwezi Feb 2023 aliwadanganya wananchi wake kuwa uchumi wa Russia umeshuka sababu ya kuwekewa vikwazo na vita? Nani tumwamini kati yako na Putin?

7. Umesema kuwa nguvu ya dollar ya marekani imepungua nguvu baada ya Russia kuanzisha vita. Hebu tupe takwimu kabla ya vita nguvu ya dollar ilikuwa ngapi na sasa iko ngapi?. Tupe pia takwimu za USD against Ruble kabla ya vita na sasa.

8. Umesema kuwa Urusi vita inamlipa sana na kwamba anafanya biashara kubwa kuliko ilivyokuwa kabla ya vita. i. Hebu tueleze ni biashara gani hiyo ambayo pengine ni mpya ambayo alikuwa hafanyi kabla ya vita.
ii. Kama Russia vita hii inamnufaisha kwa kumpa biashara kubwa kiasi hicho. Ni kwa nini sasa ameiomba China kuishawishi Ukraine ikubali wamalize vita ili hali vita imempa neema kubwa?

Maswali ni mengi lakini kwa leo yanatosha. Hebu tujibu swali moja baada ya lingine kwa takwimu pengine tutakuelewa zaidi.

Ukiona maswali yamekuzidi kimo ruksa kuteleza na kutokea mlango wa uani.
 
Tumejua kupitia wale waliofungwa waliojaribu kuzungumzia negative kwa nchi yao ktk hili sakata.
Uko makini unajua kabisa hoja hujibiwa kwa hoja. Nimeridhika na jibu lako
 
Mbona ushahidi ni wazi warusi we ng I(vijana) wanakimbilia western countries,wengine(matajiri) wamemkimbia Putin
 
Hii Mada Itaisha Kwa Russia Kukimbia Crimea Maana Ndo Vita vilianzia hapo na Ndo Vitaishia Hapo Ndo kauli mbiu ya Vijana Kwenye Mstari Wa Mbele Vitani Alafu Kingine Ogopa Motisha Popote Watu Wenye Motisha Wanajitoa Kwa Nguvu na Jasho Kwa Mazingira Yoyte hayo ndo Maoni Yangu
 
Uko makini unajua kabisa hoja hujibiwa kwa hoja. Nimeridhika na jibu lako
Ahsante sana mkuu!

Pole kwa kazi ngumu ya kutoa elimu nzuri kwa vilaza hasa wanaofurahia huu uvamizi.
 
Hii Mada Itaisha Kwa Russia Kukimbia Crimea Maana Ndo Vita vilianzia hapo na Ndo Vitaishia Hapo Ndo kauli mbiu ya Vijana Kwenye Mstari Wa Mbele Vitani Alafu Kingine Ogopa Motisha Popote Watu Wenye Motisha Wanajitoa Kwa Nguvu na Jasho Kwa Mazingira Yoyte hayo ndo Maoni Yangu
Nimekupata japo hoja yako hujaipanga vizuri. Kwamba;
1. Vita ilianzia Crimea na itaishia Crimea. Kwa hiyo hakuna uezekano wa WW3 kutokea sababu Russia atashindwa vita hii.

2. Motivation ya wanajeshi wa Ukraine ndo itafanya Russia ashindwe vita. Umesema tuogope mtu mwenye hamasa/motivation.
 
Hii Mada Itaisha Kwa Russia Kukimbia Crimea Maana Ndo Vita vilianzia hapo na Ndo Vitaishia Hapo Ndo kauli mbiu ya Vijana Kwenye Mstari Wa Mbele Vitani Alafu Kingine Ogopa Motisha Popote Watu Wenye Motisha Wanajitoa Kwa Nguvu na Jasho Kwa Mazingira Yoyte hayo ndo Maoni Yangu
Nakwambiaje mkuu, Ukraine ikikomboa maeneo yake hata mawili tu, hiyo motisha itakayoinuka sio ya kitoto. Wataona kabisa hata Crimea inawezekana.

Watu waliovamiwa na kuuliwa familia zao usifikiri wanaweza wakaelewa kitu. Familia zilizopoteza watu wao kwa upande Russia ni lazima waichukie serikali ya Putin.

Ni rahisi askari wa Russia kukimbia kwenye mapambano sababu motisho sio kubwa.
 
Brother, at a personal level share hapa hiyo vita imekuathiri nini wewe? Na uongee vitu vinavyo make sense sio utoe sababu za ki propaganda zinazochochewa na wafanyabiashara wa bongo ili wapate faida ya vitu wanavyouza.

Halafu hizi story ni open book. Wewe mwenyewe data unafanya kuokota okota kwenye news platforms na huna uhakika nazo ndio maana umekuja kulia lia huku kuomba wanaume wakufanyie research ili upate hoja za kubishana kijiweni.

Kwaiyo kama unadhani hii mada ni kipimo cha IQ ya mtu, think again, Fool!
Hapo ndo uwezo wako wa kufikiri na kuelewa mambo umeishia. Umetudhibitishia kuwa "Your IQ is very low". Kichwa kikubwa kumbe ndani ni urojo tu.
 
Nakwambiaje mkuu, Ukraine ikikomboa maeneo yake hata mawili tu, hiyo motisha itakayoinuka sio ya kitoto. Wataona kabisa hata Crimea inawezekana.

Watu waliovamiwa na kuuliwa familia zao usifikiri wanaweza wakaelewa kitu. Familia zilizopoteza watu wao kwa upande Russia ni lazima waichukie serikali ya Putin.

Ni rahisi askari wa Russia kukimbia kwenye mapambano sababu motisho sio kubwa.
You have a point
 
Back
Top Bottom