Kinachoendelea kati ya Russia na Ukraine ndo kitazaa World War III (WW3)

Kinachoendelea kati ya Russia na Ukraine ndo kitazaa World War III (WW3)

Analysts wa masuala ya kivita, wanasema uwezo wa kivita wa Urusi ulikuwa exagerated.

Russia alipoivamia Ukraine, hakuma nchi iliyojitokeza kuisaidia Ukraine aina yoyote ya silaha kutokana na hofu ya mataifa mbalimbali juu ya uwezo mkubwa wa kivita wa Russia. Na hakuma nchi hata moja iliyoamininkuwa Ukraine ingetoa upinzani wa kivita kwa Russia.

Ni mpaka pale Ukraine ilipoweza kuizuia Russia kufanikisha mipango yake na kusababisha vifo vingi vya askari wa Urusi, ndipo mataifa mengine wakaona, kumbe inawezekana Ukraine kutoa upinzani kwa Russia. Mataifa mengi yakaanza kutoa misaada mbalimbali ya silaha za kivita kuisaidia Ukraine.

Ukweli vita hii imeianika wazi sana Urusi, na kuonekana kuwa kumbe nguvu ilizokuwa inafikiriwa Urusi inazo, haina kwa kiwango hicho.

Mataifa ya Magharibi yanazidi kuipa silaha Ukraine ili kuilazimisha Urusi kumaliza stock yake ya silaha. Sasa Urusi imelazimika kutumia mpaka silaha zilizotumika wakati wa vita ya pili ya Dunia.

Kwa upande mwingine, uchumi wa Urusi ambao ulikuwa tayari unalegalega, ambao ulifikia hatua mpaka kusaidiwa na mataifa ya Magharibi, sasa lazima utatikisika sana. Mataifa ya Ulaya yanatoa ziada kuisaidia Ukraine, Russia analazimika kutumia kile anachokihitaji sana kwa maendeleo ya wananchi wake. Vijana wasomi na wataalam wa Urusi wanakimbilia nchi za Magharibi kuogopa athari za kiuchumi na kulazimishwa kwenda mstari wa mbele kupigana vita. Haya yote, baada ya muda yatauumiza sana uchumi wa Russia.

Russia kwa sasa nguvu pekee iliyobakia nayo ni makombora ya nuklia, lakini kwa silaha nyingine na uwezo wa kupigana, haina tofauti na mataifa mengi ya Ulaya. Siyo tishio tena kwa nchi yoyote kwenye masuala ya uwe
Sawa
 
Urusi inakwenda kushindwa vita, urais wa Putin unategemea matokeo ya vita hiyo. Very likely atapinduliwa / kuuawa.

Hilo ni miongoni mwa mambo yanayowaumiza vichwa mataifa ya magharibi, Putin wanamjua vizuri, akiondokewa ghafla anaweza kuibuka kiongozi mwingine ambaye ni kichaa zaidi akaikuza vita mpaka kwenye matumizi ya silaha za nyuklia.

Ndio maana hawaipi Ukraine kila kitu, hawataki ishinde kwa kishindo na ghafla kiasi cha kuupasua uongozi wa Putin, wanataka idhoofishe Urusi mpaka ikubali majadiliano ya amani.
Tuliwahi kusema humu ndani, hii vita imekuwa well calculated na Magharibi before and after.

Wanamjua Putin ana Nuclear ila mpaka wakafikia hatua ya kumsapot Ukraine na kutupilia mbali vitisho vya Putin, maana yake kuna namna wameshajua wanamuweza.

NATO ilishasema wameweka bajet for 5 years. Wajinga wakabeza, wakasema kwa nguvu ya Russia, vita haiwezi kumaliza mwezi.

Hakutakuwa na WW III, ila kwa hesabu hizi za NATO, wataidondosha serikali ya mabavu ya Putin na watu wake wa kijamaa.
 
Walikuahidi wapi?Unaweza kuweka source ya habari Yako?Wenzako tumeshawaomba Toka mwaka Jana watupe source lakini wameshindwa na imebaki ni porojo tu za hapa na pale!Hizi propaganda mfu hazibadili chochote uwanja wa mapambano!
Huyo super power wenu kasha feli kitambo mkuu. Hamna kitu mikwara mingi kazi kidogoooooooo!!!!!
 
Tuliwahi kusema humu ndani, hii vita imekuwa well calculated na Magharibi before and after.

Wanamjua Putin ana Nuclear ila mpaka wakafikia hatua ya kumsapot Ukraine na kutupilia mbali vitisho vya Putin, maana yake kuna namna wameshajua wanamuweza.

NATO ilishasema wameweka bajet for 5 years. Wajinga wakabeza, wakasema kwa nguvu ya Russia, vita haiwezi kumaliza mwezi.

Hakutakuwa na WW III, ila kwa hesabu hizi za NATO, wataidondosha serikali ya mabavu ya Putin na watu wake wa kijamaa.
NATO walisema Russia hawezi survive kwenye hii SMO miezi mitatu, vipi tuendelee kuwaamini?.
 
Tuliwahi kusema humu ndani, hii vita imekuwa well calculated na Magharibi before and after.

Wanamjua Putin ana Nuclear ila mpaka wakafikia hatua ya kumsapot Ukraine na kutupilia mbali vitisho vya Putin, maana yake kuna namna wameshajua wanamuweza.

NATO ilishasema wameweka bajet for 5 years. Wajinga wakabeza, wakasema kwa nguvu ya Russia, vita haiwezi kumaliza mwezi.

Hakutakuwa na WW III, ila kwa hesabu hizi za NATO, wataidondosha serikali ya mabavu ya Putin na watu wake wa kijamaa.
Kama wanamuweza si wammalize Sasa kuepusha roho za waukraine zinazopotea Kwa mamia kila siku?
Russia alisema malengo ya SMO lazima yatimie!So hata ikichukua 10 or 20 years ni sawa!
 
1. Kuhesabu idadi ya nchi Russia anazopigana nazo haileti maana sana(It doesn't hold water) kwani kinachoangaliwa hapo ni Objective achievement i.e. umeshinda au umeshindwa vita?
2. Ni kweli Ukraine ni uwanja wa mapambano na uwanja huo aliyeuandaa ni Russia mwenyewe. Kama wajanja waliitumia Ukraine kama chambo, basi Mrusi alimeza chambo. Mrusi kwa bahati mbaya sana hakuzisoma alama za nyakati. Yan Mrusi hawezi kujitoa ufahamu na kudai kwamba hakujua kitakachotokea endapo atatekeleza kile alichokiita ni SMO. Otherwise tukubaliane kwamba Inteligensia yake ni very inferior and rudimentary.
3. Hakuna tena kitisho cha uwezekano wa kuwapo kwa WW111 kwa sababu vita (mapambano) inaelekea ukingoni kwani wapiganaji Warusi wengi hawana usongo/hamu tena na vita hiyo isiyo na malengo. Lakini zaidi wapiganaji wabobezi( Long experienced) fighters walishauawa. Waliopo ni hawa wenye elimu lakini hawana uzoefu kazini. e.g. Hata wababe (Wagners) nao hilo wameliona.
4. Maadui wa Mrusi inaonekana wameongezeka na wamesambaa wapo nje na ndani ya Urusi kwenyewe kitu ambacho kinamchanganya akili na wakati huo huo washirika wake wanasua-sua kutoa misaada e.g. Putin mwenyewe analalamika (hotuba ya tar.09/05/2023) eti watu wake wanataka kumpindua.
China kutomuunga mkono huyu Russia ni moja ya pigo kwa Russia na wale wazee wenye itikadi za miaka ya 60,70 80 na 90.
 
Atumie nuclear hlf uwe mwisho wa vita ? Wazungu sio km ww , kuruhusu mtu atumie nuclear na kumkalia kimya kesho anapiga kwako so urusi akijichanganya tu imekula kwake
UK ilishasema ipo tayari kuweka Nuclear nchini Poland. Na ninaamini mpaka sasa wazungu watakuwa wameshaweka Nukes kadhaa jirani na Russia.

Wazungu huwa hawapuuzii mambo.
 
Nimepitia comments zote naona hakuna comments za maana hasa kwa pro NATO/US.

mtoa mada ungeleta kiini cha vita hii na objectives za Putin au Russia kwa ujumla ili tuone je

1. Urusi imefikia malengo yake?

2. Je ikiisha kwa sasa nani amepoteza?

Jambo la pili naona watu wanazungumzia Urusi kuishiwa silaha sijui kuwa dhaifu. Lakini hakuna anayeweka takwimu zozote kuonesha ni namna gani silaha zao zimepungua?

Jambo la tatu hakuna anayesema combat readiness ya jeshi la Urusi vs wapinzani wake. Hapohapo hakuna anayesema hao wenye nguvu wanazo silaha kiasi (hivyo udhaifu inasemwa ni propaganda).

Kuna wanaosemwa marekani na washirika wanaogopa kutoa silaha nzito kwa Ukraine.... tafsiri ya huo uoga ndio nguvu yenyewe kwa Urusi. Hakuna anayezungumzia.

Vita ni inteligensia kwanza kisha combat readiness na mwisho silaha. Hakuna aliyeonyesha ubora wa intel ya Russia vs NATO/US.

Mwisho mleta mada tahari ulianza na upande mmoja hutapata hoja zenye mizania.

Swali: unaweza kutuambia kwa nini spring counter offensive imesimamishwa hadi sasa na kimsingi haipo tena.

Je unajua kilichoipata NATO main Commanding centre iliyopo Ukraine?

Ni hayo tu
 
Mahaba yako kwa Urusi yanakufanya uufumbie macho ukweli. Jamaa wamechemka, hivyo tunavyo chat hapa majeshi ya Urusi yamenaza kukimbia mji wa Bakhmut.

A super power that can't establish air superiority after one year of war is no super power.
Kama ilivyo desturi yao, hiyo ya kuikimbia Bakhmut wamekana.

Niliwahi kusema humu, kuna wakati majeshi ya Russia yataachia hizo ardhi kwa mkupuo.

Hakuna askari wa Russia anayetamani kufa ktk hii vita. Unapigania nini? Je, vita inaonesha ni matakwa ya Taifa au ya Putin? Morale iko chini kwa askari wa Russia.

Ukraine morale iko juu sababu wanatamani kukomboa ardhi, huku wakikumbuka hasara nzito ya vifo na mali walizopoteza.

Morale yao itaongezeka zaidi endapo wakawa wanakomboa kila eneo lililowahi kutekwa. Hapo wataona everything is possible.
 
Nimepitia comments zote naona hakuna comments za maana hasa kwa pro NATO/US.

mtoa mada ungeleta kiini cha vita hii na objectives za Putin au Russia kwa ujumla ili tuone je

1. Urusi imefikia malengo yake?

2. Je ikiisha kwa sasa nani amepoteza?

Jambo la pili naona watu wanazungumzia Urusi kuishiwa silaha sijui kuwa dhaifu. Lakini hakuna anayeweka takwimu zozote kuonesha ni namna gani silaha zao zimepungua?

Jambo la tatu hakuna anayesema combat readiness ya jeshi la Urusi vs wapinzani wake. Hapohapo hakuna anayesema hao wenye nguvu wanazo silaha kiasi (hivyo udhaifu inasemwa ni propaganda).

Kuna wanaosemwa marekani na washirika wanaogopa kutoa silaha nzito kwa Ukraine.... tafsiri ya huo uoga ndio nguvu yenyewe kwa Urusi. Hakuna anayezungumzia.

Vita ni inteligensia kwanza kisha combat readiness na mwisho silaha. Hakuna aliyeonyesha ubora wa intel ya Russia vs NATO/US.

Mwisho mleta mada tahari ulianza na upande mmoja hutapata hoja zenye mizania.

Swali: unaweza kutuambia kwa nini spring counter offensive imesimamishwa hadi sasa na kimsingi haipo tena.

Je unajua kilichoipata NATO main Commanding centre iliyopo Ukraine?

Ni hayo tu
mkuu umemaliza mjadala ufungwe mengineo ni blaah blaah blaaah .......
THE GREATS RUSSIA [emoji123][emoji123][emoji123]View attachment 2619147
JamiiForums1317920983.jpg
 
Hii vita itamalizwa kwa Russia kufanya mashambulizi makali na ambayo hayajawahi kutokea.

Mashambulizi hayo ya Russia yatasababisha vifo vya askari wengi wa pande zote lakini ni Ukraine ndo wataopotea zaidi.

Vita hii yaonekana itakuwa imeisha mwanzoni mwa Julai au mwanzoni mwa mwezi August 2023.

Itabidi itumike "Wild Card" kwa Poland ambayo itategemea watachukulia vipi ushindi wa Russia, hivyo Poland itaamua kuitangaza Ukraine (Upande wa Magharibi ikiwemo Kyiv) kuwa sehemu yake.

Mimi kwa mawazo yangu ni kwamba kama Ukraine ingekuwa ni nchi kamili bila kutokea USSR na haina support yoyote ya NATO na hila za US ningekuwa niko pamoja nae.

Lakini kwa kuwa ameamua kutumika kwa ajili ya kuidhoofisha Russia na kutishia usalama wa Russia, hapo siiungi mkono Ukraine.

Uharibifu, vifo vya vijana wengi, wake kwa waume na watoto vyote vimebaki akutofaidisha upande wowote.

Hivyo suala ni Russia na Ukraine kuketi na kuchora ramani mpya na kila nchi ikae na ilivyo sasa.

Russia haiwezi kuiachia Crimea ambayo ni US ndo wanoitaka ili wajenge kituo cha kijeshi hapo kwenye Bahari Nyeusi, na Russia haiko tayari kuona hiyo ikitokea.

Pia Russia haiwezi kuachia kituo cha nyuklia cha Zaporizhzhia ambacho kama Ukraine yabaki nacho itakuwa ni tishio kwa usalama wa Russia.
1. Umetoa maelezo mengi kweli, nimejitahidi kusoma kwa makini lakini sijaona mahala popote ulipojibu hoja au maswali niliyouliza hata moja. Kama ni penati zote umebutua nje ya goli.

2. Maelezo uliyotoa yako ki hisia zaidi (Hisia zako) kuliko uhalisia. Sijaona fact(s) yoyote zaidi ya story tamu. Propaganda imekuongoza zaidi kuliko kuongozwa na facts. Mtu akikuomba ushahidi wa uliyoeleza nadhani utatokea mlango wa nyuma na tusijue ulikoelekea.

3. Tunasubiri uje na analysis nzuri itakayojibu maswali ya dodoso kwa facts na evidence kibao. Karibu tena
 
Uzi umejaa hisia tu.mleta Uzi una mapenzi ya upande wa west ila umejificha kichaka Cha karanga....
Kwa hiyo haya ndo majibu yako ya kujibu hoja au maswali yaliyoulizwa.

Tuna safari ndefu sana.
 
Back
Top Bottom