Kinachoendelea kati ya Russia na Ukraine ndo kitazaa World War III (WW3)

Kinachoendelea kati ya Russia na Ukraine ndo kitazaa World War III (WW3)

Russia anauwezo wa kuangamiza Marekani vice versa is also true Kwa Sababu wote wanasilaha za maangamizi.ndo maana hawa jamaa hawawezi kupigana directly.
Ndio ninachomwelekeza huyu jamaa aliyeleta uzi. Hautasikia vita direct kati ya USA vs Russia au USA vs China
 
Kwamb wewe umejua NATO wanamtoa jasho ila warusi waliopo front hawajui kuwa wanapigana na NATO ?
Kiuhalisia NATO iko Vitani pale Ukraine! Unamposikia katibu mkuu wa Nato anasema kama Ukraine atashundwa vita na Russia basi Nato imeshindwa!

Kmanda mkuu pale Pentagon yeye alisema Ukraine ikishindwa basi mfumo wa kidunia utabadilika.

Ulishawahi kuona nchi ikiwa kwenye vita ikakopeswa na mashirika ya kifedha Duniani? Basi Ukraine mwaka jana IMF waliikopesha Ukraine Fedha (July 22, 2022)

unaweza ukakaa kwenye hizo mambo ukapata picha Urusi anapambana na nanj hasa? Unahisi usaidizi wa Nato pale Ukraine ni wakujitolea tu? Hapana wanalinda ufumo wao wa kiutawala duniani, ila naweza kusema hatari ya vita ya 3 Dunia hipo ila siwezi kukuhakikishia kama ikitokea battle hiyo Marekani na Russia basi nchi kama Germany, France, Itary, Spain zitasimama upande wa Marekan! Simaanishi zitasimama kwa Urusi lah! Ila naamini zitamtosa mmarekani, mmarekani atabaki na Muingereza na chawa wengine kama Poland etc
 
Russia anauwezo wa kuangamiza Marekani vice versa is also true Kwa Sababu wote wanasilaha za maangamizi.ndo maana hawa jamaa hawawezi kupigana directly.
You have not laid down the analytical facts supported with evidence. I thought you have facts, rather are merely porojo.
 
You have not laid down the analytical facts supported with evidence. I thought you have facts, rather are merely porojo.
You need to educate yourselfView attachment 2618350
images%20(2).jpg
 
Kiuhalisia NATO iko Vitani pale Ukraine! Unamposikia katibu mkuu wa Nato anasema kama Ukraine atashundwa vita na Russia basi Nato imeshindwa!

Kmanda mkuu pale Pentagon yeye alisema Ukraine ikishindwa basi mfumo wa kidunia utabadilika.

Ulishawahi kuona nchi ikiwa kwenye vita ikakopeswa na mashirika ya kifedha Duniani? Basi Ukraine mwaka jana IMF waliikopesha Ukraine Fedha (July 22, 2022)

unaweza ukakaa kwenye hizo mambo ukapata picha Urusi anapambana na nanj hasa? Unahisi usaidizi wa Nato pale Ukraine ni wakujitolea tu? Hapana wanalinda ufumo wao wa kiutawala duniani, ila naweza kusema hatari ya vita ya 3 Dunia hipo ila siwezi kukuhakikishia kama ikitokea battle hiyo Marekani na Russia basi nchi kama Germany, France, Itary, Spain zitasimama upande wa Marekan! Simaanishi zitasimama kwa Urusi lah! Ila naamini zitamtosa mmarekani, mmarekani atabaki na Muingereza na chawa wengine kama Poland etc

Una ushahidi kwamba wakipigana USA na Russia, nchi kama Germany, France, Italy etc watakuwa upande wa Russia.

Wabongo kwa porojo hamjambo. Mmebarikiwa kuliko waongo wote.
 
Ndio ninachomwelekeza huyu jamaa aliyeleta uzi. Hautasikia vita direct kati ya USA vs Russia au USA vs China
1. Mbona Putin kila mara anaitangazia Dunia kuwa anapigana na West (USA) na siyo Ukraine. Kauli hiyo karudia tena 9/5/2023. Nani tumwamini kati ya wewe na putin?

2. Ni nchi gani yenye mchango mkubwa kwa NATO?

3. Technology inayotumiwa kutengeneza military equipment za NATO ni ya nchi zipi?
 
Una ushahidi kwamba wakipigana USA na Russia, nchi kama Germany, France, Italy etc watakuwa upande wa Russia.

Wabongo kwa porojo hamjambo. Mmebarikiwa kuliko waongo wote.
Hapa tunachoweza kuangalia ni indicators! Kwasasa mataifa ya ulaya yanasukumwa mno na Marekani katika kufanya maamuzi kuliko kutumia uhuru wa kuchagua eidha wafanye au wasifanye! Hiki kitu kinawakera sio kama stor tu! Unahis kauli ya macron kuwa Ulaya sio kibaraka wa Marekan ni mshirika hivo Marekan wasiwapeleke peleke tu inatokana na nn? Angela Merkel pamoja na Macron miaka ya 2018 waliwah kutoa wazo kuwa Ulaya iwe na jeshi lake la muungano lisilo na Marekani wakimaanisha nn? Walienda mbali zaid na kusema jeshi litakalo weza kuikabili Urusi na marekan wakileta uchokozi! Ni indicators tu brother zinaonyesha ulaya kuchoshwa na na mshirika wao Marekani
 
1. Can you share with us the country with the highest Military power fire index in the world.

2. You can also share with us the country with the highest GDP in the world compared to Russia.

Do you know how the two (1 & 2) above relate?
Kuna Aina ya silaha ukiwa nayo hata nchi yenye nguvu kiasi gani haiwezi kukuvamia.
 
Kwa namna Rais Putin anavyokubalika hata akigombea urais wa marekani anachaguliwa kuwa Rais wa taifa la marekani. Wapo wamarekani wengi wanaojitambua ndani ya Marekani.
 
Hapa tunachoweza kuangalia ni indicators! Kwasasa mataifa ya ulaya yanasukumwa mno na Marekani katika kufanya maamuzi kuliko kutumia uhuru wa kuchagua eidha wafanye au wasifanye! Hiki kitu kinawakera sio kama stor tu! Unahis kauli ya macron kuwa Ulaya sio kibaraka wa Marekan ni mshirika hivo Marekan wasiwapeleke peleke tu inatokana na nn? Angela Merkel pamoja na Macron miaka ya 2018 waliwah kutoa wazo kuwa Ulaya iwe na jeshi lake la muungano lisilo na Marekani wakimaanisha nn? Walienda mbali zaid na kusema jeshi litakalo weza kuikabili Urusi na marekan wakileta uchokozi! Ni indicators tu brother zinaonyesha ulaya kuchoshwa na na mshirika wao Marekani
1. Unataka kutuaminisha kuwa nchi za EU zote zinalazimishwa na USA kuisaidia Ukraine. Tunaweza kupata huo ushahidi tafadhari badala ya maneno matupu.

2. Unafahamu kuwa ili nchi ifanye jambo lolote kubwa lazima ipate idhini ya Bunge na Baraza la mawaziri. Je, USA inaenda kuwashinikiza wabunge na mabaraza ya mawaziri wa nchi za EU kufanya maamuzi ya kutoa pesa za walipa kodi wao na vifaa vya kivita kuisaidia Ukraine.?
 
Kuna Aina ya silaha ukiwa nayo hata nchi yenye nguvu kiasi gani haiwezi kukuvamia.
Off the point.

Can you please respond to the questions I asked you about the country with the highest military power index and GDP in the world against Russia, and how the two indicators relate.
 
1. Unataka kutuaminisha kuwa nchi za EU zote zinalazimishwa na USA kuisaidia Ukraine. Tunaweza kupata huo ushahidi tafadhari badala ya maneno matupu.

2. Unafahamu kuwa ili nchi ifanye jambo lolote kubwa lazima ipate idhini ya Bunge na Baraza la mawaziri. Je, USA inaenda kuwashinikiza wabunge na mabaraza ya mawaziri wa nchi za EU kufanya maamuzi ya kutoa pesa za walipa kodi wao na vifaa vya kivita kuisaidia Ukraine.?
Ata wewe huku katika nchi yako ushapokea mashinikizo kibao juu ya kumkataa Russia
 
Analysts wa masuala ya kivita, wanasema uwezo wa kivita wa Urusi ulikuwa exagerated.

Russia alipoivamia Ukraine, hakuma nchi iliyojitokeza kuisaidia Ukraine aina yoyote ya silaha kutokana na hofu ya mataifa mbalimbali juu ya uwezo mkubwa wa kivita wa Russia. Na hakuma nchi hata moja iliyoamininkuwa Ukraine ingetoa upinzani wa kivita kwa Russia.

Ni mpaka pale Ukraine ilipoweza kuizuia Russia kufanikisha mipango yake na kusababisha vifo vingi vya askari wa Urusi, ndipo mataifa mengine wakaona, kumbe inawezekana Ukraine kutoa upinzani kwa Russia. Mataifa mengi yakaanza kutoa misaada mbalimbali ya silaha za kivita kuisaidia Ukraine.

Ukweli vita hii imeianika wazi sana Urusi, na kuonekana kuwa kumbe nguvu ilizokuwa inafikiriwa Urusi inazo, haina kwa kiwango hicho.

Mataifa ya Magharibi yanazidi kuipa silaha Ukraine ili kuilazimisha Urusi kumaliza stock yake ya silaha. Sasa Urusi imelazimika kutumia mpaka silaha zilizotumika wakati wa vita ya pili ya Dunia.

Kwa upande mwingine, uchumi wa Urusi ambao ulikuwa tayari unalegalega, ambao ulifikia hatua mpaka kusaidiwa na mataifa ya Magharibi, sasa lazima utatikisika sana. Mataifa ya Ulaya yanatoa ziada kuisaidia Ukraine, Russia analazimika kutumia kile anachokihitaji sana kwa maendeleo ya wananchi wake. Vijana wasomi na wataalam wa Urusi wanakimbilia nchi za Magharibi kuogopa athari za kiuchumi na kulazimishwa kwenda mstari wa mbele kupigana vita. Haya yote, baada ya muda yatauumiza sana uchumi wa Russia.

Russia kwa sasa nguvu pekee iliyobakia nayo ni makombora ya nuklia, lakini kwa silaha nyingine na uwezo wa kupigana, haina tofauti na mataifa mengi ya Ulaya. Siyo tishio tena kwa nchi yoyote kwenye masuala ya uwezo wa kivita.
Nina wasi wasi na vyanzo vyako vya taarifa hizi unazosema hapa.

Hizi ni taarifa ambazo utazikuta CNN, BBC news, Sky News, DW, na channel zinginezo za mataifa ya magharibi ambazo hushirikiana kupotosha juu ya mambo yanayoendelea huko Ukraine.

Ukitaka kubalance facts tazama RT, tazama CGTN na zingine ni za uarabuni ngumu kuzipata kwenye ving'amuzi vyetu hivi local.

Kimsingi mataifa ya magharibi tokea mwanzo wa hii vita walishaanza kuipa silaha Ukraine na hii ilionekana kwa ushahidi wa silaha nyingi used ambazo zilitoka marekani ambazo zilitoka kwenye maghara yake ya silaha zilizokamwatwa na polisi kwenye matukio mbali mbali.

Hii ilijulikana baada ya Urusi kuzikamata eneo la vita na kutrace history ya license na kukuta nyingi zilishamilikiwa US.


Jambo lingine ufahamu ni kuwa Urusi uchumi wake ni wa kijamaa. Mataifa ya kijamaa huwa hayaathiriwi na maswala ya kibiashara sababu serikali ndio inasimamia uchumi kwa asilimia kubwa na kucontrol mahitaji.

Uchumi wa Urusi ni ngumu sana kupitia mushkeri sababu hata pesa yake haipo sana kwenye soko la Dunia na yeye ana fanya biashara na baadhi ya mataifa ya magharibi sio yote na hata sasa baada ya kuzinguliwa amehamisha ushirika wake wa kibiashara anashirikiana na mataifa ya BRICS na pia mataifa washirika kama ya kiarabu, uturuki etc hivyo hakuna cha kumteteresha.

Marekani ni taifa ambalo nguvu yake anategemea kudhoofu wengine ndipo yeye awe imara. Yaani mfano wake ni kama hapa Tanzania, CCM wanadhoofisha elimu ili raia wawe wajinga wasiweze kuelimika na kuongeza ufahamu, hawapendi raia kukuza mitaji na ndio maana TRA na mamlaka zingine za serikali zipo macho zana kudidimiza ukuaji wa makampuni ya ndani huku ya nje yakija yanafanya kila yanachojisikia kwa uhuru, hawapendi raia waendeleze miundo mbinu ili kila mwaka wa uchaguzi waje na sound zile zile za "tutajenga barabara".

Marekani safari hii amekalia kuti kavu maana ingawa anapigana hii Proxy War na Russia ila anajua kuwa hali yake ni mbaya anahangaika sana na mataifa wameshitukia. Dollar inapungua kwenye uchumi wa Dunia kidogo kidogo sababu inaleta shida sana kwenye chumi za mataifa yanayotaka kukua kiuchumi kama china sababu ya vikwazo vya kipumbavu.

Washirika wa marekani yaani UK, France, Canada, na wengineo hali zao si nzuri kama miaka yote na hii vita inazidi kuwafilisi kiuchumi.

Tazama maandamano ya ufaransa unaona hata hivi vyombo vya magharibi wanaonyesha?

Tafuta watu wanaoishi mataifa ya ulaya na Marekani waulize hali ipoje huko utasikia watakwambia namna hali ni mbaya na wanavyoishi kwa bajeti ya siku hadi siku.
 
Nope, Urusi angekuwa kwenye vita na NATO hata wiki asingemaliza. Anga lote lingefungwa.

Kwa kifupi NATO wameona udhaifu wa Urusi wemeamua kuimaliza indirectly. Wangeamua kuwapa kila kitu Ukraine basi vita ingeshaisha asubuhi na mapema.

Wanaozijia vizuri silaha za NATO wanatambua kuwa Ukraine kapewa basic necessities tu, kikubwa sana anachopewa na intelligence.
Hamna kitu. Nato uwezo wao wa kisilaha hauwezi kumfikia mrussia. Tatizo marekani ana brag sana kuhusu military equipment zake ila Urusi huwezi kuta anaongea au kuonyesha kwa mbwe mbwe utashangaa tu mzigo huo apo uwanjani.

Nadhani ni swala la muda mtaelewa. Sijui huwa mnatazama vyombo gani vya habari.
 
Rasmi leo UK imethibitisha kuipa Ukraine makombola ya Storm Shadow ambayo ni ya masafa marefu.
Soma vizuri alicho kisema Waziri wa ulinzi wa Uingereza - amesema atawapatia Warusi missiles zenye range za ku-cover majimbo ya Ukraine ambayo yametwaliwa/kaliwa na jeshi la Urusi - hakusema ayawapatia missiles ya kushambulia Russian Federation, bila shaka na Zelensky ayapewa masharti hayo, waziri aliongeza kwa kusema kwamba Warusi wana silaha bora na za kisasa kuliko Uingereza, je, sisi watu baki tunaweza kweli kubishana ma watu weledi na wanao ujuwa uwezo wa US/NATO kama hao.
 
Back
Top Bottom