Kinachoendelea kati ya Russia na Ukraine ndo kitazaa World War III (WW3)

Kinachoendelea kati ya Russia na Ukraine ndo kitazaa World War III (WW3)

1. Kuhesabu idadi ya nchi Russia anazopigana nazo haileti maana sana(It doesn't hold water) kwani kinachoangaliwa hapo ni Objective achievement i.e. umeshinda au umeshindwa vita?
2. Ni kweli Ukraine ni uwanja wa mapambano na uwanja huo aliyeuandaa ni Russia mwenyewe. Kama wajanja waliitumia Ukraine kama chambo, basi Mrusi alimeza chambo. Mrusi kwa bahati mbaya sana hakuzisoma alama za nyakati. Yan Mrusi hawezi kujitoa ufahamu na kudai kwamba hakujua kitakachotokea endapo atatekeleza kile alichokiita ni SMO. Otherwise tukubaliane kwamba Inteligensia yake ni very inferior and rudimentary.
3. Hakuna tena kitisho cha uwezekano wa kuwapo kwa WW111 kwa sababu vita (mapambano) inaelekea ukingoni kwani wapiganaji Warusi wengi hawana usongo/hamu tena na vita hiyo isiyo na malengo. Lakini zaidi wapiganaji wabobezi( Long experienced) fighters walishauawa. Waliopo ni hawa wenye elimu lakini hawana uzoefu kazini. e.g. Hata wababe (Wagners) nao hilo wameliona.
4. Maadui wa Mrusi inaonekana wameongezeka na wamesambaa wapo nje na ndani ya Urusi kwenyewe kitu ambacho kinamchanganya akili na wakati huo huo washirika wake wanasua-sua kutoa misaada e.g. Putin mwenyewe analalamika (hotuba ya tar.09/05/2023) eti watu wake wanataka kumpindua.
Hoja zako zimeeleweka murua hujatoka nje ya hoja.

1. Hakuna uwezekano wa WW3 kwa sababu vita iko ukingoni kuisha. Kwamba aliyeanzisha vita (Russia) hana mzuka (motivation) tena. Kwa nyongeza ya hoja yako, pia tulimsikia aliyeanzisha vita (Russia) anaomba mazungumzo ya kumaliza vita. Hivyo uwezekano wa WW3 haupo kwa mantiki hiyo.

2. Kwamba aliyeanzisha vita (Russia) hakujua nguvu ya kijeshi atakayokutana nayo kutoka kwa adui (Ukraine). Kwamba hoja ya u super power imefifishwa na nguvu ya kijeshi aliyokutana nayo sababu ali undermine.

3. Kumpindua supper power si jambo jepesi. Lakini 9/5/2023 Dunia ilitangaziwa na super power (Putin) kuwa anataka kupinduliwa na West na akaongeza kwamba maadui wako ndani ya nchi yake. Hili nalo ninafifisha hoja ya supper power kuitawala Dunia kama tulivyoaminishwa huko nyuma. Kama ni super power hofu hiyo inatoka wapi?
 
Ikitokea hivo Russia atawezaje kutawala maeneo aliyoyachua Zaporizhzhia, Kherson, Luhansk, Donetsk na Crimea màana mikoa yote hiyo inategemea kupata umeme kutoka ZNPP. Una maana ataua Raia wake walioko maeneo hayo na kuondoka zake.

Kwa nini usifikirie kwa upande mwingine kuwa watatumia nukes kuiangamiza Russia kama kulipa kisasi. Kumbuka ZNPP marekani imewekeza na wanatumia technology ya mmarekani.
kumbe mmarekani ana hisa kwenye kile kinu cha nuke..
 
Analysts wa masuala ya kivita, wanasema uwezo wa kivita wa Urusi ulikuwa exagerated.

Russia alipoivamia Ukraine, hakuma nchi iliyojitokeza kuisaidia Ukraine aina yoyote ya silaha kutokana na hofu ya mataifa mbalimbali juu ya uwezo mkubwa wa kivita wa Russia. Na hakuma nchi hata moja iliyoamininkuwa Ukraine ingetoa upinzani wa kivita kwa Russia.

Ni mpaka pale Ukraine ilipoweza kuizuia Russia kufanikisha mipango yake na kusababisha vifo vingi vya askari wa Urusi, ndipo mataifa mengine wakaona, kumbe inawezekana Ukraine kutoa upinzani kwa Russia. Mataifa mengi yakaanza kutoa misaada mbalimbali ya silaha za kivita kuisaidia Ukraine.

Ukweli vita hii imeianika wazi sana Urusi, na kuonekana kuwa kumbe nguvu ilizokuwa inafikiriwa Urusi inazo, haina kwa kiwango hicho.

Mataifa ya Magharibi yanazidi kuipa silaha Ukraine ili kuilazimisha Urusi kumaliza stock yake ya silaha. Sasa Urusi imelazimika kutumia mpaka silaha zilizotumika wakati wa vita ya pili ya Dunia.

Kwa upande mwingine, uchumi wa Urusi ambao ulikuwa tayari unalegalega, ambao ulifikia hatua mpaka kusaidiwa na mataifa ya Magharibi, sasa lazima utatikisika sana. Mataifa ya Ulaya yanatoa ziada kuisaidia Ukraine, Russia analazimika kutumia kile anachokihitaji sana kwa maendeleo ya wananchi wake. Vijana wasomi na wataalam wa Urusi wanakimbilia nchi za Magharibi kuogopa athari za kiuchumi na kulazimishwa kwenda mstari wa mbele kupigana vita. Haya yote, baada ya muda yatauumiza sana uchumi wa Russia.

Russia kwa sasa nguvu pekee iliyobakia nayo ni makombora ya nuklia, lakini kwa silaha nyingine na uwezo wa kupigana, haina tofauti na mataifa mengi ya Ulaya. Siyo tishio tena kwa nchi yoyote kwenye masuala ya uwezo wa kivita.
Wacha-Mbuzi wa jamiiforums hawa. Inaonekana ulikuwa unamsimulia Mtoto wako, ndipo ukajikuta umenogewa kuja JF kutusimulia na sisi.
 
Mkuu wewe russia huijui ungekaa kimya tu ili usionekane mjinga. Marekani peke yake haiwezi kusimama na russia katika uwanja wa medani. Na sijui kama unaelewa kwamba russia haijapeleka mwanajeshi wake hata mmoja ukraine kwenda kupigana, wanaojambisha nato ni wanamgambo tu kama huku kampuni za ulinzi, kule kuna majeshi binafsi na ni untrained cops ndo wanwahangaisha hivo nato. Ujeruman tayari wameshatoa statement ya kupingana na missio na mmarekani kuingia front ukraine, na ujerumani kwa kauli yake niloisikia leo basi hayuko upande wa marekani sababu anamtetea mrusi, na wametamka wazi marekani na nato ndo wanaleta chokochoko russia na wao ndo walilipua bomba la mafuta.
Tangawizi imezidi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wewe russia huijui ungekaa kimya tu ili usionekane mjinga. Marekani peke yake haiwezi kusimama na russia katika uwanja wa medani. Na sijui kama unaelewa kwamba russia haijapeleka mwanajeshi wake hata mmoja ukraine kwenda kupigana, wanaojambisha nato ni wanamgambo tu kama huku kampuni za ulinzi, kule kuna majeshi binafsi na ni untrained cops ndo wanwahangaisha hivo nato. Ujeruman tayari wameshatoa statement ya kupingana na missio na mmarekani kuingia front ukraine, na ujerumani kwa kauli yake niloisikia leo basi hayuko upande wa marekani sababu anamtetea mrusi, na wametamka wazi marekani na nato ndo wanaleta chokochoko russia na wao ndo walilipua bomba la mafuta.
1. Nikubaliane na wewe kuwa mimi ni mjinga na siijui Russia na hata undani wa vita inayoendelea. Ndo maana nikaja na maswali ya dodoso ili ujinga wangu utolewe na unayesema ni mwelevu na unaijua vizuri Russia.

2. Kwa kuwa unaielewa vizuri Russia na pengine hata vita hii vizuri, hebu tujibu hoja zetu zote kwa mtiririko wa maswali tuliyouliza. Tupe uchambuzi na maoni yako kwa maswali yote ili utudhibitishie kuwa kweli unaijua vita hii na Russia ili nasi tujifunze. Uchambuzi wako uje na takwimu badala ya porojo na propaganda itatusaidia kuelewa hoja zako.

3. Tusaidie pia kutupa takwimu zinazoonyesha kuwa Russia hajapeleka wanajeshi wake Ukraine. Ili tuamini picha tunazoziona za Col Generals, Brigadia, Col na captains wakiwa wameuawa wakiwa Ukraine na kuzikwa kwa heshima za kijeshi huko Moscow ni za uongo. Kumbe jeshi la Urusi linazika mgambo tu.

4. Tutafurahi pia ukija na takwimu zinazoonyesha kuwa USA haiwezi Russia kwenye uwanja wa vita. Analysis hiyo tunaisubiri kwa hamu maana itatolewa na mtu anayeijua vizuri Russia na USA. JF members utawakoga kwa uchambuzi wako.

Kama kweli wewe ni mjuzi wa vita hii na unaijua vyema Russia naamini hutapotelea gizani utarudi kujibu hoja zetu.

Nje ya hapo tutaamini unakunywa mataputapu na ulichoandika hukuwa unakielewa.
 
..makombora yanayorushwa na Russia yatakayosababisha ajali ktk mitambo ya umeme wa nyuklia iliyoko Ukraine.

..kwa hali inavyoendelea nadhani ni suala la muda tu kutakuwa na ajali mbaya ya kihistoria Ukraine na ajali hiyo itapelekea vita kusimama / kusitishwa / kuisha.
Narudia tena ingekuwa simple hivyo bas Putin angefanya hivyo awali
 
Very Low IQ mzalendo
Mahaba yako kwa Urusi yanakufanya uufumbie macho ukweli. Jamaa wamechemka, hivyo tunavyo chat hapa majeshi ya Urusi yamenaza kukimbia mji wa Bakhmut.

A super power that can't establish air superiority after one year of war is no super power.
 
Mnapenda udaku , umewai fika front kuona hayo mataifa zaid ya 40 ? Afrika hili bara lina watu wajinga wajinga sana
Idadi ya wajinga ni kubwa sana. Badala ya kujikita kwenye hoja wanaibuka na porojo za kijinga. Ukweli ni kwamba hawana hoja ya kujibu hoja.
 
Russia dhaifu, russia Superpower wa Mchongo yet kaenda kumega eneo la Nchi Nyingine karibia 20%.
Hii nchi iliyomegewa eneo lake kwa sasa inaishi kwa Misaada ya Wanamagharibi yenyewe uwezo wake ulikwisha zamani.

If marekani anaweza peleka misaada worth billions of dollars unadhani unashindwa peleka wanajeshi maelfu kadhaa.

Ni mjinga tu anayeweza amini wale mercenaries ni watu wa kawaida na sio wanajeshi official wa marekani na washirika wake.
Ukiitwa kichaa usinune , hv Ukraine ni level za Urusi ? feb 2022 warusi walikuwa 11km kuingia kyiev ila 2023 ikulu ya urusi inapigwa milipuko ya drones , bado unaisifia urusi yako ya mchongo
 
Ukiitwa kichaa usinune , hv Ukraine ni level za Urusi ? feb 2022 warusi walikuwa 11km kuingia kyiev ila 2023 ikulu ya urusi inapigwa milipuko ya drones , bado unaisifia urusi yako ya mchongo
Unamuuliza nani hili swali?
 
Ukiitwa kichaa usinune , hv Ukraine ni level za Urusi ? feb 2022 warusi walikuwa 11km kuingia kyiev ila 2023 ikulu ya urusi inapigwa milipuko ya drones , bado unaisifia urusi yako ya mchongo
Msululu wa vifaru na makombora viliyeyuka kama barafu. Hatujaona maandamano ya vifaru tena Ukraine 😂😂😂
 
Changamoto kubwa iliyopo kwenye hii battle ya Ukraine na Russia ni propaganda nyiiingi kuliko uhalisia

Ndio maana huwa nasema iko siku anaepigika atatoa tu mlio halisi

Haya maneno ya Urusi dhaifu sijui nini kwa mwenye akili timamu hawezi kuyatamka.Urusi angekuwa kaonekana dhaifu hadi sasa NATO wangekuwa wameshaenda kumchapa.

Mifano iko mingi tu ya nchi zilizoonekana dhaifu na zikaenda kupigwa na NATO.

Jiulize tu Urusi kawekewa vikwazo ambavyo hakuna nchi duniani inaweza kuwekewa na ikatoboa hadi sasa bila kuona milio mingi lakini bado wanaendesha vita na NATO hawajaenda kumpiga.Kabla haujanijibu jiulize tu je vile vikwazo akiwekewa France,England,Germany n.k je hadi sasa wangekuwa wanaendesha Vita na wanashikilia maeneo ya adui yao.
Mkuu kwa jinsi wamagharibi walivo na .n..y..e..g.. mshindo, kama mrusi ni dhaifu basi kwa sasa mda mrefu wangeshakiwasha na kuondoka,ila mzee hii ngoma nzito mana juzi wenyewe wamekili kuzidi kuitenga urusi ni kujiumiza wenyewe,
 
Back
Top Bottom