Kinachoendelea kati ya Russia na Ukraine ndo kitazaa World War III (WW3)

Kinachoendelea kati ya Russia na Ukraine ndo kitazaa World War III (WW3)

Analysts wa masuala ya kivita, wanasema uwezo wa kivita wa Urusi ulikuwa exagerated.

Russia alipoivamia Ukraine, hakuma nchi iliyojitokeza kuisaidia Ukraine aina yoyote ya silaha kutokana na hofu ya mataifa mbalimbali juu ya uwezo mkubwa wa kivita wa Russia. Na hakuma nchi hata moja iliyoamininkuwa Ukraine ingetoa upinzani wa kivita kwa Russia.

Ni mpaka pale Ukraine ilipoweza kuizuia Russia kufanikisha mipango yake na kusababisha vifo vingi vya askari wa Urusi, ndipo mataifa mengine wakaona, kumbe inawezekana Ukraine kutoa upinzani kwa Russia. Mataifa mengi yakaanza kutoa misaada mbalimbali ya silaha za kivita kuisaidia Ukraine.

Ukweli vita hii imeianika wazi sana Urusi, na kuonekana kuwa kumbe nguvu ilizokuwa inafikiriwa Urusi inazo, haina kwa kiwango hicho.

Mataifa ya Magharibi yanazidi kuipa silaha Ukraine ili kuilazimisha Urusi kumaliza stock yake ya silaha. Sasa Urusi imelazimika kutumia mpaka silaha zilizotumika wakati wa vita ya pili ya Dunia.

Kwa upande mwingine, uchumi wa Urusi ambao ulikuwa tayari unalegalega, ambao ulifikia hatua mpaka kusaidiwa na mataifa ya Magharibi, sasa lazima utatikisika sana. Mataifa ya Ulaya yanatoa ziada kuisaidia Ukraine, Russia analazimika kutumia kile anachokihitaji sana kwa maendeleo ya wananchi wake. Vijana wasomi na wataalam wa Urusi wanakimbilia nchi za Magharibi kuogopa athari za kiuchumi na kulazimishwa kwenda mstari wa mbele kupigana vita. Haya yote, baada ya muda yatauumiza sana uchumi wa Russia.

Russia kwa sasa nguvu pekee iliyobakia nayo ni makombora ya nuklia, lakini kwa silaha nyingine na uwezo wa kupigana, haina tofauti na mataifa mengi ya Ulaya. Siyo tishio tena kwa nchi yoyote kwenye masuala ya uwezo wa kivita.
Kama urusi Hana hizo nguvu wamarekani wamvamie tuone basi.
 
Kwanza kinu kikubwa cha nuclear kipo chini ya warusi Kwa hiyo hawawezi kushambulia sehemu ambayo IPO Chini yake labda Ukraine washambulie hicho kinu.
Ukraine wanaweza kweli kuangamiza mali yao na wananchi wake. Watapata wapi umeme wakimtoa Russia
 
Ukraine hajamtoa jasho, sema NATO wanamtoa jasho. Ofopa mtu anapigana na mataifa zaidi ya 30 mda mmoja.
Hebu tusaidie kujibu maswali ambayo tumeuliza moja baada ya lingine ili utuelimishe zaidi.
 
Analysts wa masuala ya kivita, wanasema uwezo wa kivita wa Urusi ulikuwa exagerated.

Russia alipoivamia Ukraine, hakuma nchi iliyojitokeza kuisaidia Ukraine aina yoyote ya silaha kutokana na hofu ya mataifa mbalimbali juu ya uwezo mkubwa wa kivita wa Russia. Na hakuma nchi hata moja iliyoamininkuwa Ukraine ingetoa upinzani wa kivita kwa Russia.

Ni mpaka pale Ukraine ilipoweza kuizuia Russia kufanikisha mipango yake na kusababisha vifo vingi vya askari wa Urusi, ndipo mataifa mengine wakaona, kumbe inawezekana Ukraine kutoa upinzani kwa Russia. Mataifa mengi yakaanza kutoa misaada mbalimbali ya silaha za kivita kuisaidia Ukraine.

Ukweli vita hii imeianika wazi sana Urusi, na kuonekana kuwa kumbe nguvu ilizokuwa inafikiriwa Urusi inazo, haina kwa kiwango hicho.

Mataifa ya Magharibi yanazidi kuipa silaha Ukraine ili kuilazimisha Urusi kumaliza stock yake ya silaha. Sasa Urusi imelazimika kutumia mpaka silaha zilizotumika wakati wa vita ya pili ya Dunia.

Kwa upande mwingine, uchumi wa Urusi ambao ulikuwa tayari unalegalega, ambao ulifikia hatua mpaka kusaidiwa na mataifa ya Magharibi, sasa lazima utatikisika sana. Mataifa ya Ulaya yanatoa ziada kuisaidia Ukraine, Russia analazimika kutumia kile anachokihitaji sana kwa maendeleo ya wananchi wake. Vijana wasomi na wataalam wa Urusi wanakimbilia nchi za Magharibi kuogopa athari za kiuchumi na kulazimishwa kwenda mstari wa mbele kupigana vita. Haya yote, baada ya muda yatauumiza sana uchumi wa Russia.

Russia kwa sasa nguvu pekee iliyobakia nayo ni makombora ya nuklia, lakini kwa silaha nyingine na uwezo wa kupigana, haina tofauti na mataifa mengi ya Ulaya. Siyo tishio tena kwa nchi yoyote kwenye masuala ya uwezo wa kivita.
Asante sana, umeeleweka.
1. Umekuwa wa kwanza kujikita kwenye hoja iliyo mezani na umeweka maoni yako vizuri ambayo imetoa majibu kwa baadhi ya maswali ya dodoso.

2. Ukipata muda tupe maoni yako kwa maswali yaliyobaki utuelimishe zaidi
 
Weka statistics tukuamini kuwa urusi kaishiwa silaha kama huna nyamaza Tu Kwa Sababu utakuwa huna tofauti na mbwatukaji.
Hebu weka jazba na ukereketwa pembeni. Nimesema personalities (personal attack) si mahala pake kwenye mada iliyopo mezani.

Hebu tupe analysis yako kwa mtiririko wa maswali tuliyohoji ili watu waone hoja yako. Tumekupa platform ili utupe maoni yako ya kichambuzi japo kwa maswali hata mawili tu
 
Ukraine hajamtoa jasho, sema NATO wanamtoa jasho. Ofopa mtu anapigana na mataifa zaidi ya 30 mda mmoja.
Nope, Urusi angekuwa kwenye vita na NATO hata wiki asingemaliza. Anga lote lingefungwa.

Kwa kifupi NATO wameona udhaifu wa Urusi wemeamua kuimaliza indirectly. Wangeamua kuwapa kila kitu Ukraine basi vita ingeshaisha asubuhi na mapema.

Wanaozijia vizuri silaha za NATO wanatambua kuwa Ukraine kapewa basic necessities tu, kikubwa sana anachopewa na intelligence.
 
Russia dhaifu, russia Superpower wa Mchongo yet kaenda kumega eneo la Nchi Nyingine karibia 20%.
Hii nchi iliyomegewa eneo lake kwa sasa inaishi kwa Misaada ya Wanamagharibi yenyewe uwezo wake ulikwisha zamani.

If marekani anaweza peleka misaada worth billions of dollars unadhani unashindwa peleka wanajeshi maelfu kadhaa.

Ni mjinga tu anayeweza amini wale mercenaries ni watu wa kawaida na sio wanajeshi official wa marekani na washirika wake.
1. Binafsi nimeshindwa kujua hoja yako ni nini hasa kwa kuzingatia hoja zilizopo mezani. Unaweza ukatupa maoni yako kwa kujibu maswali yetu.

2. Kwa mbali naona una hoja ya super power wa mchongo. Tupe ufafanuzi kwa nini siyo real super power kama ilivyodhaniwa, weka nyama utuelimishe zaidi.
 
Hebu fafanua vizuri. Why will be end of Putin and Putinism?
Urusi inakwenda kushindwa vita, urais wa Putin unategemea matokeo ya vita hiyo. Very likely atapinduliwa / kuuawa.

Hilo ni miongoni mwa mambo yanayowaumiza vichwa mataifa ya magharibi, Putin wanamjua vizuri, akiondokewa ghafla anaweza kuibuka kiongozi mwingine ambaye ni kichaa zaidi akaikuza vita mpaka kwenye matumizi ya silaha za nyuklia.

Ndio maana hawaipi Ukraine kila kitu, hawataki ishinde kwa kishindo na ghafla kiasi cha kuupasua uongozi wa Putin, wanataka idhoofishe Urusi mpaka ikubali majadiliano ya amani.
 
Nope, Urusi angekuwa kwenye vita na NATO hata wiki asingemaliza. Anga lote lingefungwa.

Kwa kifupi NATO wameona udhaifu wa Urusi wemeamua kuimaliza indirectly. Wangeamua kuwapa kila kitu Ukraine basi vita ingeshaisha asubuhi na mapema.

Wanaozijia vizuri silaha za NATO wanatambua kuwa Ukraine kapewa basic necessities tu, kikubwa sana anachopewa na intelligence.
Na kwenye vita intelligence data ndio kila kitu..

So inatosha kusema NATO au mataifa 30 yanapambana na Mrusi pale Ukraine.
 
Nope, Urusi angekuwa kwenye vita na NATO hata wiki asingemaliza. Anga lote lingefungwa.

Kwa kifupi NATO wameona udhaifu wa Urusi wemeamua kuimaliza indirectly. Wangeamua kuwapa kila kitu Ukraine basi vita ingeshaisha asubuhi na mapema.

Wanaozijia vizuri silaha za NATO wanatambua kuwa Ukraine kapewa basic necessities tu, kikubwa sana anachopewa na intelligence.
Kama nimekuelewa vizuri una maana kuwa;
1. Kwa hoja yako ni kwamba Russia hawezi kupigana na NATO na USA akashinda vita au kuitawala dunia.

2. NATO na USA wana silaha nzito kuzidi Russia.

3. NATO na USA wana military intelligence kubwa kuliko Rusia

Kwenye hoja hizi ungezipa nyama kutuelimisha zaidi ingependeza.
 
Urusi inakwenda kushindwa vita, urais wa Putin unategemea matokeo ya vita hiyo. Very likely atapinduliwa / kuuawa.

Hilo ni miongoni mwa mambo yanayowaumiza vichwa mataifa ya magharibi, Putin wanamjua vizuri, akiondokewa ghafla anaweza kuibuka kiongozi mwingine ambaye ni kichaa zaidi akaikuza vita mpaka kwenye matumizi ya silaha za nyuklia.

Ndio maana hawaipi Ukraine kila kitu, hawataki ishinde kwa kishindo na ghafla kiasi cha kuupasua uongozi wa Putin, wanataka idhoofishe Urusi mpaka ikubali majadiliano ya amani.
Hoja yako nimeielewa na una hoja.
1. Kwamba NATO na USA hawataki kumaliza vita hii mapema ili wamdhoofishe kwanza Russia kiuchumi na military power taratibu.

2. Kwamba, USA na NATO hawataki kumpa Ukraine silaha nzito. Ukiwa unamaanisha kuwa USA na NATO wana silaha nzito kuliko Russia.

3. Hili la Putin kupinduliwa huenda ndo maana 9/5/2023 iliitangazia dunia kuwa anataka kupinduliwa na west akiwa na maana ya USA.
 
..makombora yanayorushwa na Russia yatakayosababisha ajali ktk mitambo ya umeme wa nyuklia iliyoko Ukraine.

..kwa hali inavyoendelea nadhani ni suala la muda tu kutakuwa na ajali mbaya ya kihistoria Ukraine na ajali hiyo itapelekea vita kusimama / kusitishwa / kuisha.
Sio jambo geni fuatilia mkasa wa Chernobyl.

 
Hafadhali Ukrain ina serikali imejipanga.
Lakini Afghanistan imewapa kichapo marekani mpaka wamekimbia wenyewe🤣🤣
 
Kwanza kinu kikubwa cha nuclear kipo chini ya warusi Kwa hiyo hawawezi kushambulia sehemu ambayo IPO Chini yake labda Ukraine washambulie hicho kinu.

..kinu kikubwa kiko mikononi mwa Urusi na unasema kiko salama.

..je, vinu vilivyoko ktk mikono ya ukraine viko salama kiasi gani?
 
Back
Top Bottom