Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Ukiongea kwa fact kama picha na source itapendeza zaidiMsululu wa vifaru na makombora viliyeyuka kama barafu. Hatujaona maandamano ya vifaru tena Ukraine 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiongea kwa fact kama picha na source itapendeza zaidiMsululu wa vifaru na makombora viliyeyuka kama barafu. Hatujaona maandamano ya vifaru tena Ukraine 😂😂😂
💯🤝Mkuu kwa jinsi wamagharibi walivo na .n..y..e..g.. mshindo, kama mrusi ni dhaifu basi kwa sasa mda mrefu wangeshakiwasha na kuondoka,ila mzee hii ngoma nzito mana juzi wenyewe wamekili kuzidi kuitenga urusi ni kujiumiza wenyewe,
Marekani na Ukraine wenyewe walishakataa kuwa hawatagusa ardhi ya Russia530 KM,mrusi akae mkao wa kupakuliwa!sasa ukraine ana uwezo wa kupiga deep behind enemy line.
naona umeamua kufichua ujinga wako wa kuficha ulikuwa upande gani ....Msululu wa vifaru na makombora viliyeyuka kama barafu. Hatujaona maandamano ya vifaru tena Ukraine [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe umeyaona tena maandamano ya vifaru kama ule msululu wa kuekekea Kiev. Hebu tupia picha hapa tafadhariUkiongea kwa fact kama picha na source itapendeza zaidi
Wewe ndo umesema hivyo hebu tuonyeshe hizo picha tuone. Mnaongea kwa mihemko sana bila factWewe umeyaona tena maandamano ya vifaru kama ule msululu wa kuekekea Kiev. Hebu tupia picha hapa tafadhari
SI KWELIHakuna uwezekano wa WW3 kwa sababu vita iko ukingoni kuisha. Kwamba aliyeanzisha vita (Russia) hana mzuka (motivation) tena
mkuu una hekma sanaTuondoe kwanza personalities (personal attack) na jazba.
Hebu tusaidie kujibu dodoso la maswali tuliyouliza kwa kuwa umesema unauelewa vizuri sana huu mzozo na pengine hatima yake. Ukijibu kwa mtiririko wa maswali itapendeza kutoa uelewa zaidi.
Unaandika vitu gani mkuu? Hebu ficha ujinga wakoWaliamini kuwa Russia ni super power na kwamba ina uwezo wa kupiga nchi zote ikiwemo marekani.
naona umeamua kufichua ujinga wako wa kuficha ulikuwa upande gani ....
Acha uongo Russia haijawahi kuwa superpower na hili neno superpower sio tu kwenye nguvu za kijeshi kama wengi mnavyolitumia lina maana pana hadi kiuchumi.utakuwa mwanzo wa Marekani kupigwa na kusambaratishwa na super power aitwaye Russia.
WhySI KWELI
We kasome mtandaoni
Andika Sensor USA Ukraine utaletewa taarifa
Kama ni vita vingepiganwa miaka ya Cold War lakini haikutokea kilichoiangusha Soviet Union ni kuporomoka kwa uchumi na mbinu za kijasusi za NATO.Pro Russia na hata viongozi wa Russia waliamini kuwa Russia ina uwezo wa kumpiga Marekani kwa makombora yake anayoyaitwa Intercontinental Ballistic missiles, Hypersonic missiles na Nuclear missiles
Maandiko yameshamtaja Marekani na Uingereza ndo mfalme wa mwisho kuitawala dunia. Kusema Russia kuitawala dunia ni kupingana na maandiko na haitatokeaNi kweli Russia ana uwezo wa Kuipiga Marekani na nchi zingine Duniani na pengine kuitawala Dunia.
Atumie nuclear hlf uwe mwisho wa vita ? Wazungu sio km ww , kuruhusu mtu atumie nuclear na kumkalia kimya kesho anapiga kwako so urusi akijichanganya tu imekula kwake
Wewe naona kichwa chako kimejaa ujinga. Kwa nini umeshindwa ku quote hoja nzima una quote kakipande kwa lengo la kupotosha hoja.Unaandika vitu gani mkuu? Hebu ficha ujinga wako
Hautakuja kusikia haya mataifa makubwa yakiingia frontline kupigana siku hizi vita ya mataifa makubwa ni ya kiuchumi na teknolojia
Russia anauwezo wa kuangamiza Marekani vice versa is also true Kwa Sababu wote wanasilaha za maangamizi.ndo maana hawa jamaa hawawezi kupigana directly.Hebu tusaidie kutueleza kwa nini unasema Russia ana uwezo kuzidi marekani. Hebu jaribu kurudi kwenye hoja ili ueleweke zaidi. Jikite kwenye hoja. Hoja hujibiwa kwa hoja siyo kejeli.
Hakuna taifa ambalo anga lake liko na air defense system kwa 100%Ni kweli Russia and air defense systems za hatari kuliko marekani na nchi yoyote duniani na kwamba anga lake liko salama hakuna kitu cha kupenya kwenye anga lake?
Habari ndio hiyoWewe naona kichwa chako kimejaa ujinga. Kwa nini umeshindwa ku quote hoja nzima una quote kakipande kwa lengo la kupotosha hoja.
Usingekuwa mjinga na mpumbavu angejikita kujibu hoja badala ya matusi. This show the level of stupidity you have.