Uchaguzi 2020 Kinachoendelea kwenye kampeni za CHADEMA ni kueneza chuki dhidi ya Magufuli na sio kunadi Sera na Ilani ya chama chao

Jiwe akiwasema wapinzani sio kesi
Wapinzan wakimsema Magufuli kesi
 
Kama aliyempiga risasi angekuwa amekamatwa na sheria kufuata mkondo wake Lissu si angekosa la kusema? Sasa ulitaka aongelee wapi wakati mikutano iluzuiwa for 5 years?? Kunywa maji ya limau roho itatulia jombaaa
 

Narudia tena, hiyo October hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Hizo tuhuma za Lisu kuhusu jiwe, hata uandike kitabu cha page 500 bado ukweli ndio huo huo anaousema Lisu fullstop.
 
Nadhani unavyoona hayo ndio yana msingi, basi enenda ukamshauri mgombea wako. Tumechoka na vihoja vya washauri wachawi
 
Nashangaa na mie hapo sasa, huyu kada mtiifu wa mataga ana haha vibaya, kuogopa kukosa buku 7 lol.
 
Yetu macho, kama shambulio la watu wabaya litambeba Lissu huku akieneza chuki.

Hamtaki kuambiwa ukweli, mkiambiwa mapungufu ya Utawala wenu mnasema watu wanaeneza chuki!!!
Je sio kweli kuwa JIWE alisem aliwavunjia nyumba watu wa Kimara bila fidia kwasababu hawakumpigia kura ; lakini akatoa amri wasukuma wale wa Mwanza wasivunjiwe kwasababu walimpigia kura.? Je Jiwe hakuwatukana watu wa Bukoba baada ya tetemeko na kutopeleka michango iliyotolewa kuwasaidia?
 
Tena commander in Chief mwenye askari wasiojua kulenga shabaha, yaani kumuua mtu mmoja wanapoteza risasi 30 na bado wanakosa[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km mazuri vileeh, daaah GOD only
 
Acha kulialia unapoambiwa ukweli. Kwani una ahadi ya kujengewa daraja la baharini huko?
 
 
Ndio nini sasa? Mtu anamtuhumu mkuu wa nchi kwa kumshambulia kwa risasi anataka nini huyu?
Maswali kaulizwa mwingine, unahangaika wee, kwan vipi unateseka?
Halafu cha ajabu hutoi hayo majibu kumsaidia huyo unae msujudia unabaki kubweka tu hapa poleeee.
 
Sikiliza Cangu wa Malunde, pale Mwanza Tundu Lissu alikuwa anajibu mapigo baada ya mgombea wa CCM kumkejeli kwamba aache kugombea na atampa kazi ndogo ndogo kwa kuwa anampenda Lissu. Eti hana tatizo naye. Kutokana na yaliyompata Lissu miaka 3 iliyopita, alijibu kama alivyojibu. Fikiria ungekuwa wewe. Wakati mwingine tuvae ngozi ya binadamu na si ya fisi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…