Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Jiwe akiwasema wapinzani sio kesiMe nafikiri washauri wake hawako vizuri au hautaki urais?? Kapewa hiyo nafasi ili amrushie maneno mwenzie???
Kwa stail hii no kazi sana nafikiri Chadema ijikite zaidi kwenye kueneza Sera na sio kushambulia na mikoa hii ndo muhimu sanaaaa jamaa likienda huko linamwaga sumu wanasahau yote ya nyuma
Chama kilicho hai kitapitisha makalai ya kupembulia ili kuchangisha pesa? Chadema ipo hoi bin taaban.Huyuhuyu alisema Chadema kimekufa
Nadhani iko nafasi ya kushitakiwa kwa kosa lingine la uchochezi [emoji1]Yetu macho, kama shambulio la watu wabaya litambeba Lissu huku akieneza chuki.
Makamanda mmekata pumziHata yeye angemuandikia aliyoyasema anuani yake si anayo?
Kwa kuiba kura, na wale wabunge wa viti maalum waliopita bila kupingwa [emoji23] [emoji23]October mnaweza kutoka na mbunge mmoja tu.
Kama hakuna uchaguzi wa haki sasa mgombea wa Chadema anashiriki kutafuta nini? Kudhurula mikoani kuonyesha jazba na chuki zake huku akiomba michango ya wananchi ambao anadai hawana kitu mifukoni? Acha kuleta hoja za kitoto.
Ubaya gani unaousemea kuzua uongo na kuongea kwa jazba. Kuna kipindi alidai kuna watu wametumwa wamuue kwa sumu.Hujui hizi ni tuhuma nzito,ambazo hazina ukweli.
Nadhani unavyoona hayo ndio yana msingi, basi enenda ukamshauri mgombea wako. Tumechoka na vihoja vya washauri wachawiJaduong hivi kampeni za Cdm ya Dk Slaa 2010 unaweza kulinganisha na hizi za leo? Ok anatetea wavuvi kuwa wanaonewa ina maana anataka uvuvi haramu uruhusiwe? Anataka sheria ya uvuvi isifuatwe?
Suala la ajira ni suala gumu. Anadhani serikali inaweza kuajiri wananchi wake wote? Hata Ccm wanatambua hilo ndio maana wanasisitiza watu kujiajiri. Nenda Nigeria mtu ana Phd lakini mama ntilie. Na hao ni wengi tu.
Nashangaa na mie hapo sasa, huyu kada mtiifu wa mataga ana haha vibaya, kuogopa kukosa buku 7 lol.Si amejenga fly over, ameleta ajira million 6, ameboresha maslahi ya watumishi, ameleta umeme kila kona, amejenga hospital za kutosha sasa ni Mtanzania gani ataweza kueneza chuki dhidi ya mtu huyu ambaye watumishi wa umma, wakulima na wafanyabiashara wanampenda sana?
Hivi walimu si ni watumishi wa umma, sasa wanahusishwa vipi na siasa.Hakika mkuu.View attachment 1556134
Yetu macho, kama shambulio la watu wabaya litambeba Lissu huku akieneza chuki.
Huna hoja lazima ufunge bakuli hilo dada changu.Nakuignore.
Wewe na wenzio mtakuja julikana tu. Bado kitambo kidogo tu. Huwezi kumwaga damu ya mtu hivihivi na ukabaki salama. AMENAnajua yeye na ujinga wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km mazuri vileeh, daaah GOD onlyTena commander in Chief mwenye askari wasiojua kulenga shabaha, yaani kumuua mtu mmoja wanapoteza risasi 30 na bado wanakosa[emoji23][emoji23]
Acha kulialia unapoambiwa ukweli. Kwani una ahadi ya kujengewa daraja la baharini huko?Alafu hili la kusema eti Ccm inafanya maendeleo ya vitu na sio watu ni aibu kubwa sana. Kwani Hospital ya mkoa ya Musoma ambayo ilikwama kwa miaka 30 ni kwa ajili ya mbuzi? Mimi nipo Segese Tambalale watu wanamshangaa sana huyu mtu wenu. Anasifia wakoloni kuwa walijenga barabara! Hajui kuwa walikuwa wanatunyonya?
Wananchi wengi walitegemea kuwa kampeni zikianza tushudie na kusikia kuwa watatutalia vipi kero zetu.
Mfano tulitarajia kusikia kuwa pamoja na haya mambo makubwa yanayotekelezwa na Ccm na serikali yake wao wangeweza kufanya mazuri zaidi ya hiki kinachofanywa.Mfano tulitegea tusikie kuwa sekta ya afya, elimu na miundo mbinu imeimarishwa na Ccm. Je wao wapinzani watafanya nini zaidi kuperfom zaidi ya kinachofanywa na Ccm sasa hivi?
Hii inadhihirisha wazi kuwa hawa wapinzani hawapo tayari kuchukua dola kama watawala na hawana uwezo wa kutawala bali wamezunguka kueneza chuki na vinyongo walivyonavyo mioyoni mwao. Na hili linatupa mashaka huenda wakiwa na nafasi ya kutawala hawatatekeleza kama Ccm inavyofanya na hata kama wakipata nafasi watatuibia mali zetu za umma na kunedeleza ufisadi.
Nimemsikiliza mgombea wa Chadema akiwa Mwanza anaongea kwa jazba na chuki akiwaaminisha wananchi kuwa rais Magufuli ndio alitoa amri ya yeye kupigwa risasi. Na hii ni kwa sababu alikuwa akipinga jitahada za JPM kulinda rasilimali za watanzania. Na ameyasema haya baad ya kumsikia rais na ambaye ni mkuu wa nchi kuwa anampenda na asipoteze muda kufanya kampeni,bali atulie na atapewa kikazi kidogo cha kufanya. Mimi binafsi najua JPM ni mtu wa utani na huenda alikuwa anamtania tu huyu mgombea wa Chadema.
Lakini mgombea wa Chadema wa urais ameongea maneno makali sana akionyesha dhahiri kuwa ana chuki na JPM na amethibitisha kwa wananchi kuwa JPM alitoa amri ya yeye kupigwa risasi. Hii sio picha nzuri na wala sio sula linalofaa. Mgombea wa Chadema kama anauhakika kuwa JPM alitoa amri ili ashambuliwe anatakiwa afuate taratibu za kisheria na kwa sababu yeye ni mwanasheria anafahamu fika Mahakama kuu inayo mamlaka ya kulazimisha vyombo husika vikalishughulikia suala lake.Lakini pale wananchi wanapojazana ili wasikie utawasaidia vipi kutatua kero zao alafu unabaki kueneza chuki hii haisadii chama chake wala yeye mwenyewe.
Badala yake watu watachoka hizi hadithi zake za kupigwa risasi na October ikifika wataambulia mbunge mmoja tu.
Maswali kaulizwa mwingine, unahangaika wee, kwan vipi unateseka?Ndio nini sasa? Mtu anamtuhumu mkuu wa nchi kwa kumshambulia kwa risasi anataka nini huyu?
Sawa kaeni na chama chenu cha maTRAChama kilicho hai kitapitisha makalai ya kupembulia ili kuchangisha pesa? Chadema ipo hoi bin taaban.