Uchaguzi 2020 Kinachoendelea kwenye kampeni za CHADEMA ni kueneza chuki dhidi ya Magufuli na sio kunadi Sera na Ilani ya chama chao

Uchaguzi 2020 Kinachoendelea kwenye kampeni za CHADEMA ni kueneza chuki dhidi ya Magufuli na sio kunadi Sera na Ilani ya chama chao

Tumia common sense kabla ya kuandika. Godwin Mollel anafahamu ukweli
Kama anafahamu ukweli Serikali yako imechukua hatua gani we MAKOTA? Inamaana tuna GENGE LA WAHUNI TU wanaotawala bila ya kuchukua hatua zozote dhidi ya MAHARAMIA NA UFEDHULI unaoendelea hapa nchini? Kama ni hivyo, MITANO YA GENGE LA WAHUNI INATOSHA, tuchague wengine sasa..
 
Mimi binafsi najua JPM ni mtu wa utani na huenda alikuwa anamtania tu huyu mgombea wa Chadema.
Kwahiyo hisia zako binafsi ndiyo za watanzania wote? Ndiyo hisia za Lisu pia?

Hata ufanye vipi John ndiye aliyeamuru Lisu kupigwa risasi. Watanzania wanajua, dunia inajua na Mungu anajua.

Ndiyo maana alikataza kampeni za kumchangia, kumuombea, kumlipia matibabu na mengine mengi. Tumechoka huyu John. Mungu ampe zawadi kama ya Nkurunziza tu.
 
Lissu hataacha kumnanga hadi hapo aliyetaka kumuua ajulikane.

machoni mwa umma hakuna msaada wa wasiojulikana wala mapolisi, ndiyo maana mgombea wa CCM kanywea sana tangu Lissu ametinga nchini. ule ukali na ubabe tuliouzoea kwishnei.

machoni mwa umma Lissu ndiye baba lao, kamanda wa ardhi na anga.

kwa jinsi kiongozi wenu alivyonywea mbele ya Lissu hadi jana kumpelelea "love letter" hadharani, MATAGA ndiyo mtambue sasa kuwa nchi hii bosi si rais bali ni sisi wananchi!
 
Utakuwa mjinga hasa kama huwezi kuongelea haki na uhuru wa watu. Hakuna kinachozidi hayo.

Unajenga barabara, hospitali, madaraja, reli n.k. kwaajili ya nani? Ni kwaajili ya watu. Kama unawaonea watu, unawateka, unawatesa, unawabambikia kesi, unawabagua, unawapendelea baadhi, unawaua au kuwapoteza, au wengine kuwashambulia kwa risasi, hivyo vitu unavyotengeneza vitakuwa na msaada gani kwao?

Kwa mfano leo hii ukaenda kwenye familia ya watu wenye akili timamu, ukawauliza, mnataka nini - niwaletee maji mpaka hapa nyumbani halafu mmoha kati yenu apotee au niwaache muendelee kutemvea kilometa moha kufuata maji lakini ninyi nyote muendelee kuishi kwa uhuru wenu, unatarajia kupata jibu gani?

Wapinzani wapo sahihi sana. Wanaongelea zaidi juu ya uhuru na haki za watu. Sasa huwezi kuongelea kurejesha haki na uhuru wa watu bila ya kumtaja aliyewapokonya. Na kwa udhahiri kabisa, serikali ya awamu hii ndiyo iliyopokonya haki na uhuru wa watu. Ndiyo iliyotunga sheria gandamizi. Ndiyo iliyowafanya viongozi kuwa na kiburi cha ajabu cha madaraka ambacho hakijawahi kushuhudiwa.
 
Chagu, Mimi mwenyewe nilikuepo kwenye mkutano huo. Lissu alilizungumzia jambo hilo kidogo tena mwishoni. Na alikuwa anajibu hoja ya mh aliyitoa Ikungi. Nanukuu :
"Kama kweli ananipenda aseme walionipiga risasi zile zote ni akina nani ?, Kama kweli ananipenda aseme kwanini walizuia matibabu yangu !! Na kama kweli ananipenda aseme ni kwanini walinifukuza kazi yangu (ubunge) ". Sasa hapo chuki imeenezwa wapi ?!
 
Ukichagua chadema Tanzania itakuwa ya mataahira,,,,,.

Akili kumkichwa,,,.


Taahira asili yake ni

Haoni jema/zuri
Ukimpa ukweli anakujibu kwa jazba na matusi juu
Chuki ndio nguzo kuu ya kuishi duniani.
Akiambiwa kula pumba atakula anasahau kuwa yeye sio kuku.
 
Ule UHUNU NA UFEDHULI wa kuamuru Lissu achapwe zile mvua za risasi tena kwa kutumia SILAHA ZA KIVITA, lazima usemwe ili usije kujirudia tena. Na muda wa kusema maovu yote ni sasa, wewe unataka yasemwe lini?
Tena ni muhimu sana Lisu ayanene kwa kauli thabiti maovu yaliyotamalaki awamu hii, kisha aseme yatakavyosahihishwa. Uovu ni lazima usemwe kwa nguvu zote ili ufahamike kwa wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unajuaje hakuwa na kosa? Jamhuri nayo ingekata rufaa? Mambo ya kesi yaache wewe. Mwambie Lissu atuambie na chama chake watafanya mazuri zaidi ya haya wanayofanya CCM? Au wataanza kugwana pesa za umma kama mlivyogawana za ruzuku?
Ule UHUNU NA UFEDHULI wa kuamuru Lissu achapwe zile mvua za risasi tena kwa kutumia SILAHA ZA KIVITA, lazima usemwe ili usije kujirudia tena. Na muda wa kusema maovu yote ni sasa, wewe unataka yasemwe lini?
 
Ule UHUNU NA UFEDHULI wa kuamuru Lissu achapwe zile mvua za risasi tena kwa kutumia SILAHA ZA KIVITA, lazima usemwe ili usije kujirudia tena. Na muda wa kusema maovu yote ni sasa, wewe unataka yasemwe lini?


Basi sawa mkuu
 
Lisu kaza uzi na ongeza volume mbona tunakuelewa? acha waweweseke
Mbona hatujawahi sikia amri kwa vyombo vya dola kuwaska na kuwafikisha mahakamani wahusika wa shambulio lake? mnapovunja wenzenu miguu,kubambikia kesi na kuwasoteshs mahabusu na jela huwa sio kueneza chuki? Mwambieni mwenyekiti ajibu hoja za Lisu,hotuba yake ilimlenga nani?
 
Hiyo Ni historia, huwezi amua ya kesho bila kujua historia,

Lazima watu wajue mabaya ya ccm ili. Waamue kesho ya chadema

Mfano lissu kasema magufuli hajawahi kuwa mtetezi wa wa wanyonge

akakumbusha wakati ule wachimbaji wadogo walipofukiwa kwenye mashimo, magufuli alikuwepo na alikaa kimya
 
Chadema oktoba watapigwa mchana kweupe hata kama mgombea wao ameweka beberu wake amsemee mambo yake
 
Back
Top Bottom