Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Na hayo ndio yanfanya Lisu na chadema waeneze chuki!Si amejenga fly over, ameleta ajira million 6, ameboresha maslahi ya watumishi, ameleta umeme kila kona, amejenga hospital za kutosha sasa ni Mtanzania gani ataweza kueneza chuki dhidi ya mtu huyu ambaye watumishi wa umma, wakulima na wafanyabiashara wanampenda sana ?
Oktoba tutamrudisha kwa beberu wake amsterdam