Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hivi jana hapo Ikungi ni nani alianza kumzungumzia Lissu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhusus suala la dereva dpp wa tanzania alitakiwa kumuandikia dpp wa ubelgiji akimuomba kumuhoji dereva atoe taarifa na hiyo ni kwa mujibu wa sheria ya proceeds of crime actKwani inakuaje Tundu asijue taratibu za kisheria?
Wakati serikali ilipokua inashughulikia swala lake la kupigwa risasi akiwa kwenye matibabu nyie hamkumbuki alifanya nini? Alitafutwa dereva kusaidia upelelezi hakupatikana na badala yake Tundu mwenyewe akaanza kupita BBC, al jeezera, Dutchweller na kwingine kuwaambia amepigwa risasi na Magufuli na kwamba Tanzania sio sehemu salama huku akijua kabisa utaratibu wa shauri likiwa kwenye upelelezi.
Najiuliza kama anamjua aliyempiga risasi kwanini hadi sasa hajamfungulia kesi?
Na kilichomshawishi kurudi sehemu ambayo sio salama ni nini?
Kupigwa risasi Tundu iliniumiza kama ilivyowaumiza wananchi wengi lakini kusema kwamba rais Magufuli alihusika ni mawazo hafifu sana sababu kwa mamlaka aliyo nayo rais kama mtu ametenda makosa ziko njia njia nyingi za kudeal nae sio risasi
Jaduong hivi kampeni za Cdm ya Dk Slaa 2010 unaweza kulinganisha na hizi za leo? Ok anatetea wavuvi kuwa wanaonewa ina maana anataka uvuvi haramu uruhusiwe? Anataka sheria ya uvuvi isifuatwe?Chagu, furaha ya mtu hainunuliwi wala kulazimishwa. Mwanzoni wafuasi wa Ccm mlidai kuwa Cdm imekufa. Hii ni baada ya kuwafika bei baadhi yao na wengine mamluki mliowatuma humo. Lakini wananchi wamewaprove wrong . Kuwa Cdm ipo na ipo mioyoni mwao.
Hiki ni kipindi cha campaign, mwacheni kila mgombea ajinadi kwa njia anayoiona ni sahihi kwake. Lissu jana amezungumza almost 40 minutes na alizungumzia matatizo ya watu wa kanda ya ziwa eg. Kilimo cha pamba, matatizo ya wavuvi kufirisiwa na kuchomewa mali zao, ajira kwa vijana nk. Na alitumia kama dk 3 kuzungumzia mambo ya kupigwa kwake risasi. So acha watu waombwe kura.
Ungelaumu vyombo vya matangazo ningekuelewa
Ndio utapata furaha sanaOctober mnaweza kutoka na mbunge mmoja tu.
Mbona kama machozi yanakulenga.Ndio utapata furaha sana
DPP anajua zaidi yetuKuhusus suala la dereva dpp wa tanzania alitakiwa kumuandikia dpp wa ubelgiji akimuomba kumuhoji dereva atoe taarifa na hiyo ni kwa mujibu wa sheria ya proceeds of crime act
Nani afunguliwe kesi?
Ndio nini sasa? Mtu anamtuhumu mkuu wa nchi kwa kumshambulia kwa risasi anataka nini huyu?Uzi wowote ukimgusa Lissu unapanda fasta, ukitaka udode ongelea wengine
Mgombea kumwambia mgombea mwingine ajitoe kwa ahadi ya kupewa ajira ndogondogo ni kipengele namba ngapi kwenye Sera za CCM?Me nafikiri washauri wake hawako vizuri au hautaki urais?? Kapewa hiyo nafasi ili amrushie maneno mwenzie???
Kwa stail hii no kazi sana nafikiri Chadema ijikite zaidi kwenye kueneza Sera na sio kushambulia na mikoa hii ndo muhimu sanaaaa jamaa likienda huko linamwaga sumu wanasahau yote ya nyuma
Maneno yote yameisha? Huyo Lissu mwenyewe ametoka Belgium kafika Singida anashangaa mataa ya barabarani na traffick lights anadhani yupo bado Belgium.Siasa ni game of advantages. Kumbuka Polepole aliwaita wapinzani ni kama virusi vya Korona. Raisi JPM alilokuwa Kilwa, Kilosa alivyoongea kuhusu Wapinzani n.k
Tatizo ni kwamba CCM mlimaliza maneno yote kwenye Miaka mitano.
Hawa mliwazuia sasa maneno yao wanayo kwa kuwa hawakuwa na pa kuyasemea.
Sasa mmewaruhusu na wao ndio wanayatoa.
Kamwambia ajitoe au asipoteze muda?Mgombea kumwambia mgombea mwingine ajitoe kwa ahadi ya kupewa ajira ndogondogo ni kipengele namba ngapi kwenye Sera za CCM?