Uchaguzi 2020 Kinachoendelea kwenye kampeni za CHADEMA ni kueneza chuki dhidi ya Magufuli na sio kunadi Sera na Ilani ya chama chao

Uchaguzi 2020 Kinachoendelea kwenye kampeni za CHADEMA ni kueneza chuki dhidi ya Magufuli na sio kunadi Sera na Ilani ya chama chao

Ni jambo la Busara Mwenyekiti mwenyewe kaulizwa tu na Lissu jana furahisha kaona kula miwa Nzega ni muhimu kuliko kujibu maswali ya wananchi
Maswali gani hayo? Kwani JPM alikuwepo kwenye tukio? Kwani aliwatuma? Na kama Lissu anasema walitumwa na JPM basi achukue hatua stahiki. Sio kulialia kwenye majukwaa. Watu watamchagua huyo huyo anaewaungia kununua miwa.
 
Maswali gani hayo? Kwani JPM alikuwepo kwenye tukio? Kwani aliwatuma? Na kama Lissu anasema walitumwa na JPM basi achukue hatua stahiki. Sio kulialia kwenye majukwaa. Watu watamchagua huyo huyo anaewaungia kununua miwa.
Juzi alienda hadi kwa Sirro yeye Dereva wake,kumbuka huko nyuma walikuwa wanasema Dereva ndio shahidi muhimu sasa hata mahojiano hakuna inaonyesha kabisa hawakufikiria kama Lissu atarudi Nchini AIBU! AIBU! AIBU!
 
Maswali gani hayo? Kwani JPM alikuwepo kwenye tukio? Kwani aliwatuma? Na kama Lissu anasema walitumwa na JPM basi achukue hatua stahiki. Sio kulialia kwenye majukwaa. Watu watamchagua huyo huyo anaewaungia kununua miwa.
Una ile Video ya Mb wa Nzega alivyokuwa analia na hata kutishia kuuacha Ubunge wa Nzega kwa kubakwa na kuwataja watu maalum wa Magufuli huku Ndugai akicheeeka hapohapo Zitto Kabwe akaomba ufafanuzi kidole kinapointi sehemu moja tu
 
Wananchi wengi walitegemea kuwa kampeni zikianza tushudie na kusikia kuwa watatutalia vipi kero zetu.

Mfano tulitarajia kusikia kuwa pamoja na haya mambo makubwa yanayotekelezwa na Ccm na serikali yake wao wangeweza kufanya mazuri zaidi ya hiki kinachofanywa.Mfano tulitegea tusikie kuwa sekta ya afya, elimu na miundo mbinu imeimarishwa na Ccm. Je wao wapinzani watafanya nini zaidi kuperfom zaidi ya kinachofanywa na Ccm sasa hivi?

Hii inadhihirisha wazi kuwa hawa wapinzani hawapo tayari kuchukua dola kama watawala na hawana uwezo wa kutawala bali wamezunguka kueneza chuki na vinyongo walivyonavyo mioyoni mwao. Na hili linatupa mashaka huenda wakiwa na nafasi ya kutawala hawatatekeleza kama Ccm inavyofanya na hata kama wakipata nafasi watatuibia mali zetu za umma na kunedeleza ufisadi.

Nimemsikiliza mgombea wa Chadema akiwa Mwanza anaongea kwa jazba na chuki akiwaaminisha wananchi kuwa rais Magufuli ndio alitoa amri ya yeye kupigwa risasi. Na hii ni kwa sababu alikuwa akipinga jitahada za JPM kulinda rasilimali za watanzania. Na ameyasema haya baad ya kumsikia rais na ambaye ni mkuu wa nchi kuwa anampenda na asipoteze muda kufanya kampeni,bali atulie na atapewa kikazi kidogo cha kufanya. Mimi binafsi najua JPM ni mtu wa utani na huenda alikuwa anamtania tu huyu mgombea wa Chadema.

Lakini mgombea wa Chadema wa urais ameongea maneno makali sana akionyesha dhahiri kuwa ana chuki na JPM na amethibitisha kwa wananchi kuwa JPM alitoa amri ya yeye kupigwa risasi. Hii sio picha nzuri na wala sio sula linalofaa. Mgombea wa Chadema kama anauhakika kuwa JPM alitoa amri ili ashambuliwe anatakiwa afuate taratibu za kisheria na kwa sababu yeye ni mwanasheria anafahamu fika Mahakama kuu inayo mamlaka ya kulazimisha vyombo husika vikalishughulikia suala lake.Lakini pale wananchi wanapojazana ili wasikie utawasaidia vipi kutatua kero zao alafu unabaki kueneza chuki hii haisadii chama chake wala yeye mwenyewe.

Badala yake watu watachoka hizi hadithi zake za kupigwa risasi na October ikifika wataambulia mbunge mmoja tu.
Vipi kama lissu na yeye amemtania Magu?wewe umethibitishaje kuwa ana jazba?
 
Wananchi wengi walitegemea kuwa kampeni zikianza tushudie na kusikia kuwa watatutalia vipi kero zetu.

Mfano tulitarajia kusikia kuwa pamoja na haya mambo makubwa yanayotekelezwa na Ccm na serikali yake wao wangeweza kufanya mazuri zaidi ya hiki kinachofanywa.Mfano tulitegea tusikie kuwa sekta ya afya, elimu na miundo mbinu imeimarishwa na Ccm. Je wao wapinzani watafanya nini zaidi kuperfom zaidi ya kinachofanywa na Ccm sasa hivi?

Hii inadhihirisha wazi kuwa hawa wapinzani hawapo tayari kuchukua dola kama watawala na hawana uwezo wa kutawala bali wamezunguka kueneza chuki na vinyongo walivyonavyo mioyoni mwao. Na hili linatupa mashaka huenda wakiwa na nafasi ya kutawala hawatatekeleza kama Ccm inavyofanya na hata kama wakipata nafasi watatuibia mali zetu za umma na kunedeleza ufisadi.

Nimemsikiliza mgombea wa Chadema akiwa Mwanza anaongea kwa jazba na chuki akiwaaminisha wananchi kuwa rais Magufuli ndio alitoa amri ya yeye kupigwa risasi. Na hii ni kwa sababu alikuwa akipinga jitahada za JPM kulinda rasilimali za watanzania. Na ameyasema haya baad ya kumsikia rais na ambaye ni mkuu wa nchi kuwa anampenda na asipoteze muda kufanya kampeni,bali atulie na atapewa kikazi kidogo cha kufanya. Mimi binafsi najua JPM ni mtu wa utani na huenda alikuwa anamtania tu huyu mgombea wa Chadema.

Lakini mgombea wa Chadema wa urais ameongea maneno makali sana akionyesha dhahiri kuwa ana chuki na JPM na amethibitisha kwa wananchi kuwa JPM alitoa amri ya yeye kupigwa risasi. Hii sio picha nzuri na wala sio sula linalofaa. Mgombea wa Chadema kama anauhakika kuwa JPM alitoa amri ili ashambuliwe anatakiwa afuate taratibu za kisheria na kwa sababu yeye ni mwanasheria anafahamu fika Mahakama kuu inayo mamlaka ya kulazimisha vyombo husika vikalishughulikia suala lake.Lakini pale wananchi wanapojazana ili wasikie utawasaidia vipi kutatua kero zao alafu unabaki kueneza chuki hii haisadii chama chake wala yeye mwenyewe.

Badala yake watu watachoka hizi hadithi zake za kupigwa risasi na October ikifika wataambulia mbunge mmoja tu.
Kwani CCM wanavyosema Raisi ametoa hela za kufanya hili, kufanya yale wewe huoni??????

Kuna shida gani Chadema wakimsema magufuli wakati Ccm nao wanasema ni magufuli kafanya na sio serikali wala chama?????

Punguani wa Lumumba wewe!!!
 
Sera mbadala nilitegemea itoke chadema sasa muda wote anaongelea kupigwa risasi tu .kwakweli anatumia muda mwingi kuongelea risasi zake sasa huyu agenda yake kubwa i ipi
 
Yetu macho, kama shambulio la watu wabaya litambeba Lissu huku akieneza chuki.

Anachokisema Lisu ni ukweli, unashauri aende mahakamani, ni mahakama gani inaweza kushughulikia suala linaloweza kumtia hatiani rais? Kulikuwa na ripoti ya bunge kuhusu shambulio lake, mbona haijawahi kusomwa mpaka leo? Chini ya rais huyu hakuna uchaguzi wa haki, ni vipi utake kuonyesha kuwa matokeo yake yatatokana na kampeni za ukweli anaousema Lisu? Ubaya usipoongewa kila mara ni kutoa nafasi ya ubaya zaidi kufanywa.
 
Wananchi wengi walitegemea kuwa kampeni zikianza tushudie na kusikia kuwa watatutalia vipi kero zetu.

Mfano tulitarajia kusikia kuwa pamoja na haya mambo makubwa yanayotekelezwa na Ccm na serikali yake wao wangeweza kufanya mazuri zaidi ya hiki kinachofanywa.Mfano tulitegea tusikie kuwa sekta ya afya, elimu na miundo mbinu imeimarishwa na Ccm. Je wao wapinzani watafanya nini zaidi kuperfom zaidi ya kinachofanywa na Ccm sasa hivi?

Hii inadhihirisha wazi kuwa hawa wapinzani hawapo tayari kuchukua dola kama watawala na hawana uwezo wa kutawala bali wamezunguka kueneza chuki na vinyongo walivyonavyo mioyoni mwao. Na hili linatupa mashaka huenda wakiwa na nafasi ya kutawala hawatatekeleza kama Ccm inavyofanya na hata kama wakipata nafasi watatuibia mali zetu za umma na kunedeleza ufisadi.

Nimemsikiliza mgombea wa Chadema akiwa Mwanza anaongea kwa jazba na chuki akiwaaminisha wananchi kuwa rais Magufuli ndio alitoa amri ya yeye kupigwa risasi. Na hii ni kwa sababu alikuwa akipinga jitahada za JPM kulinda rasilimali za watanzania. Na ameyasema haya baad ya kumsikia rais na ambaye ni mkuu wa nchi kuwa anampenda na asipoteze muda kufanya kampeni,bali atulie na atapewa kikazi kidogo cha kufanya. Mimi binafsi najua JPM ni mtu wa utani na huenda alikuwa anamtania tu huyu mgombea wa Chadema.

Lakini mgombea wa Chadema wa urais ameongea maneno makali sana akionyesha dhahiri kuwa ana chuki na JPM na amethibitisha kwa wananchi kuwa JPM alitoa amri ya yeye kupigwa risasi. Hii sio picha nzuri na wala sio sula linalofaa. Mgombea wa Chadema kama anauhakika kuwa JPM alitoa amri ili ashambuliwe anatakiwa afuate taratibu za kisheria na kwa sababu yeye ni mwanasheria anafahamu fika Mahakama kuu inayo mamlaka ya kulazimisha vyombo husika vikalishughulikia suala lake.Lakini pale wananchi wanapojazana ili wasikie utawasaidia vipi kutatua kero zao alafu unabaki kueneza chuki hii haisadii chama chake wala yeye mwenyewe.

Badala yake watu watachoka hizi hadithi zake za kupigwa risasi na October ikifika wataambulia mbunge mmoja tu.
Tunampa na yeye aonje machungu ya dhambi Ile aliyotutendea Tarh 7/9/2017, hatuwezi kusamehe Uhalifu mkubwa kiasi hicho
 
Ni kweli, ila sio kwa kura, bali ni kwa maagizo ya huyo huyo unayesema Lisu anamsema. Kama anapenda utani, awapelekee hao wanaomsujudia, Lisu hataki utani wake.
Huyuhuyu alisema Chadema kimekufa
 
Anachokisema Lisu ni ukweli, unashauri aende mahakamani, ni mahakama gani inaweza kushughulikia suala linaloweza kumtia hatiani rais? Kulikuwa na ripoti ya bunge kuhusu shambulio lake, mbona haijawahi kusomwa mpaka leo? Chini ya rais huyu hakuna uchaguzi wa haki, ni vipi utake kuonyesha kuwa matokeo yake yatatokana na kampeni za ukweli anaousema Lisu? Ubaya usipoongewa kila mara ni kutoa nafasi ya ubaya zaidi kufanywa.
Kama hakuna uchaguzi wa haki sasa mgombea wa Chadema anashiriki kutafuta nini? Kudhurula mikoani kuonyesha jazba na chuki zake huku akiomba michango ya wananchi ambao anadai hawana kitu mifukoni? Acha kuleta hoja za kitoto.
Ubaya gani unaousemea kuzua uongo na kuongea kwa jazba. Kuna kipindi alidai kuna watu wametumwa wamuue kwa sumu.Hujui hizi ni tuhuma nzito,ambazo hazina ukweli.
 
Una ile Video ya Mb wa Nzega alivyokuwa analia na hata kutishia kuuacha Ubunge wa Nzega kwa kubakwa na kuwataja watu maalum wa Magufuli huku Ndugai akicheeeka hapohapo Zitto Kabwe akaomba ufafanuzi kidole kinapointi sehemu moja tu
Kidole kinapoint wapi?
 
Back
Top Bottom