inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ndiyo Anza na ukoo wako kufuata uzombi wa kitanzaniakwani mimi sio mbongo mzee baba..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo Anza na ukoo wako kufuata uzombi wa kitanzaniakwani mimi sio mbongo mzee baba..
Polisi wa kibongo kwa mkong'oto ni balaa😂😂 Only in Kenya
Pumbavu! Hizo ni dalili za mwanamke malaya!Wanasiasa viumbe wa ajabu. Usikute hapo kinatafutwa ni kama mambo ya Tanzania na Mbowe yaani wameshindana kwenye rushwa basi Raila kasema msipo nipa mzigo nalianzisha ila baada ya kulamba asali kama akina mbowe basi kila kitu swafii
Unaifahamu nguvu ya Raila Odinga kweli? William Ruto ndiyo ana uwezo wa kumuua? Kama alishindwa Daniel Arap Moi, basi futa kabisa kichwani mwako jambo hilo kutokea.Sasa anakaribia kupata kifo badala ya uraisi.Kifo cha kijinga katika umri wa uzee.
Shuleni kwenu amfundishwi maana ya utandawazi kijana ku Google tu ume shindwa ....mna valisha police vitengeKenyan soldiers
![]()
Tanzanian Soldiers
![]()
Heeheee. Sare gani mbovu hapo.
Sasa hiyo ndio nzuri kushinda ya Kenya? 🤣 🤣Shuleni kwenu amfundishwi maana ya utandawazi kijana ku Google tu ume shindwa ....mna valisha police vitenge View attachment 2559461View attachment 2559462
Baada ya Ruto kupinga ushoga kwa kujifichia kwenye kivuli cha mahakamani huku akiwa tayari ashalamba pesa za mashoga, naona wamemuinulia Odinga, kwa kumuonyesha saver ya mchakato mzima wa wizi wa kura, mashoga wapo nyuma ya Odinga kuhakikisha Ruto anatoka madarakani Ili Odinga achukue waruhushu ushoga Kenya.
Odinga kula pesa zao ukishapata tu kiti jifichie kwenye mahakama kuukataa ushoga utaleta laana Kenya.
Ana chuki sana huyo jamaa.Punguza uongo
Sasa ni nini hii mna vaaSasa hiyo ndio nzuri kushinda ya Kenya? [emoji1787] [emoji1787]
Raila anatafuta 'new hand shake' itakayomuhakikishia tu ulaji.
Vyombo vya habari Kenya wanarusha live kila kitu. Tanzania media zetu ni kama TBC tu!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Leta sale za police kenya halafu fananisha na tzSasa hiyo ndio nzuri kushinda ya Kenya? 🤣 🤣
Rudia kusoma ulicho andika labda kama umefanya masahihisho.kwani mi kuna sehemu nimeandika kabila la Wajaruo ?
Anapotosha sana.Ana chuki sana huyo jamaa.
Police wa Tz wana sare za ovyo sana bradhee.Leta sale za police kenya halafu fananisha na tz