Kinachoendelea Maandamano Nchini Kenya, Machi 20, 2023
JanguKamaJangu umeshindwa kuweka updates za mada yako mkuu!.

Nilitegemea umeweka hata live link kutoka eneo la tukio mwishoe na wewe unasoma na unasikilizia tunaotoa comments.




UPDATE:
Mzee bado ana dhamira hasa ya kufanya maandamano namuona yupo front line pamoja na njia zote kufungwa kuelekea Ilulu, anafanya mawasiliano na watu wake mpaka anapata njia mbadala.

Kuna sehemu unaona kabisa askali wanamuangalia na hawafanyi chochote but anaingia ndani ya gari ndipo wanapuliza moshi wa kuwasha macho 😂!.

Kuna umbwa moja imesema odinga kajificha.
 
Kenyan soldiers
2GSCJ4V24ZKGXMQOOM4YTMHS3I.jpg


Tanzanian Soldiers
00480831:f48b4e19c621601ce224568f6b420a81:arc614x376:w614:us1.jpg


Heeheee. Sare gani mbovu hapo.
Hebu usitie aibu bwana hao wa Chini ni JKT.Unalinganisha mapera na mafenesi [emoji3][emoji3]
 
Mkuu hongera Sana kwa hii" post" yako, nimeipenda Sana.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Ni jambo lenye kutazamisha sana, maana sasa tuna katiba, ambayo wengi wana imani kwamba siyo nzuri. Lkn pamoja na mapungufu yake, ni kiwango kidogo sana ambacho tunaifuata. Twaweza sema, compliance Ni ndogo sana. Sasa swali langu ni kama katiba mpya itabadili pia mtazamo wa viongozi wetu kuwa na utamaduni wa kuheshimu katiba.
 
Kuna mmoja kule kwenye jukwaa la kilimo kasema bei huko kenya imeshuka. Asa sijajua kuwa haju
 
Eti wamebeba masufulia, mabakuki na vijiko Sasa sijui wale chakula alicholima nani 🤣🤣

Piga spana hao mda wa kuandamana wangeenda shamba..

Bado Tanzania Kuna wale wajinga utasikia mahindi bei Juu,kalime wewe uuze bei chini unataka nani akulimie upange bei
Ukisema ivyo unakosea,serikali wanatakiwa wadhibiti bei kwenye biashara zote
 
Yani wenzetu unga umepanda kidogo tuu wameamua kuingia road wabongoo unga umedouble price..mchelee juu..mafuta juu yani labda kitu hakujapanda bei ni DHAMBI tu bongoo lakini sasa TUPO KAMA MAKONDOOO VILE. yani hii nchi ni tupate RAIS wa kutuonea huruma tu ilaa wananchi hakuna wakuongea kitu wala kunyanyua mdomoo hayupo achilia mbali kuingia road maana hiyo ndo HAITA KUJA KUTOKEA MILELE
Jikusanye na wazazi wako,ndugu,jamaa muingie barabarani
 
wewe umesikia kenya MKIKUYU NA MKAMBA unga wanauziwa bei tofauti??? kwamba ukienda sokoni kununua mchele unaulizwa kabila?? yani watu kama wew ndo wanadhirisha wabongo hatujitambui kabisaa.. UGUMU wa maisha hauchagui kabila wala dini.
Ukitafuta waandamanaji humo utakuta ni wale waliompigia kura raila
 
Hivi Polisi wa Kenya ndio wajeda wa Kenya, ufafanuzi please
 
Back
Top Bottom