Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Nguvu ya umma haijawahi kushindwa,kama wakisema enough is enough.Wanakumbuka ahadi za Ruto kipindi cha uchaguzi. Unga ndo unazidi kupanda bei.Kuna polisi wamepewa kibano mpaka wamekimbia kujificha.