Kinachoendelea Maandamano Nchini Kenya, Machi 20, 2023
Wewe ndiye hujaelewa. Kama huko Kuna regularator why na kwenye chakula wasiwepo ili kulinda raia wake ama hujui serikali na sawa na baba mwenye nyumba kila kitu anaweka limit ama umeongea kiaushabiki.
Wanasema biashara Ni huru so waruhusu sukari ya nje ijae ndani tununue kilo 1500-2000 ili na hivi vya ndani vizalishe kuleta ushindani.

Why nauli ya hiace iwepo 500 Mana wafanyabiashara waachiwe wawe huru kujiwekea wanayotaka. Mana tupo kwenye ubepari.

Nchi Ni karibia zote ama nyingi huwa wanazuia chakula kisitoke ama kinachoingia wanakicheki Kama kina ubora kwa maisha ya afya ya watu wake. Sema huku njaa waziri anaweza ruhusu chakula kibaya kisa akapigwa mlungula
Acha utoto wewe,nimeshakwambia Hilo swali lako linajiniwa na SoMo la economics,kasome mambo ya elasticity of demand na welfare economics..

Hunilipi kuanza kukufundisha kama huna Cha kuongea pita huko.
 
Hawa waliokulia Ikulu na nyumba za Serikali,mitoto ya viongozi wastaafu inamvurugia nchi Ruto..........ili aonekane hawezi kazi
 
Acha utoto wewe,nimeshakwambia Hilo swali lako linajiniwa na SoMo la economics,kasome mambo ya elasticity of demand na welfare economics..

Hunilipi kuanza kukufundisha kama huna Cha kuongea pita huko.
Si umeona umeanza kupata emotional pains tayari.
So iyo elasticity of demand and supply ndio ime determine kuwa chakula kiuzwe nje ama Nini. So Kuna zero, positive or negative elasticity kwenye chakula. Uchumi Sina haja ya kusoma Mana uchumi kila mahala na sehemu yangu ya maisha na sijakuomba ama kukuambia unifundishwe.

Yaani nakuona unatoka kwenye rational to irrational brain.
Kama ilivyo behavioral economics or financial unafanya decision kwa cognitive dissonance
 
Wakenya 1.8 million wanaendelea ma juhudi zao za kuongia Ikulu "kwa amani". Nairobi imechafuka kweli kweli.
 
[emoji41]kwaiyo leo mnalala mna endelea kesho au mna kesha
 
Wanasiasa viumbe wa ajabu. Usikute hapo kinatafutwa ni kama mambo ya Tanzania na Mbowe yaani wameshindana kwenye rushwa basi Raila kasema msipo nipa mzigo nalianzisha ila baada ya kulamba asali kama akina mbowe basi kila kitu swafii
Mbowe anaingiaje hapa
Tuliza mshono utumbuliwe
 
Back
Top Bottom