Kinachoendelea Maandamano Nchini Kenya, Machi 20, 2023
Eneo gani hili la tukio
Labda ni kuwekee na picha za wanaume waliodhamiria:

FrqRMejWcAM_Etm.jpeg


Raila ana hoja si bure.

Cc: vijana wa hovyo
 
Eti wamebeba masufulia, mabakuki na vijiko Sasa sijui wale chakula alicholima nani 🤣🤣

Piga spana hao mda wa kuandamana wangeenda shamba..

Bado Tanzania Kuna wale wajinga utasikia mahindi bei Juu,kalime wewe uuze bei chini unataka nani akulimie upange bei?
Naona umeandika kihisia mno na ukaona upo sahihi.
Jiulize haya maswali Basi kabla ya ego yako kukuongoza mkuu;
1-why mafuta yanapangwa Bei na Sumatra ama umeme?
2- why nauli zinapangwa na mamlaka husika za serikali
3- why sukari ya nje hairusiwi Kuingia ndani na kuuzwa ilete ushindani Mana biashara Ni ushindani na Ni biashara pia.
4-niendelee ama umepata mwanga tayari
 
Naona umeandika kihisia mno na ukaona upo sahihi.
Jiulize haya maswali Basi kabla ya ego yako kukuongoza mkuu;
1-why mafuta yanapangwa Bei na Sumatra ama umeme?
2- why nauli zinapangwa na mamlaka husika za serikali
3- why sukari ya nje hairusiwi Kuingia ndani na kuuzwa ilete ushindani Mana biashara Ni ushindani na Ni biashara pia.
4-niendelee ama umepata mwanga tayari
Kwa sababu mafuta yanauzwa na wachache so cartels are there so regulators lazima.

Nauli hivyo hivyo,Kuna chama Cha Wenye Ushawishi

Sukari ya Nje inaruhusuwa Kwa Kiasi kile ambacho hatuwezi kuzalisha.
 
Wenzio ukute sio kwamba wana njaa ya chakula kama wewe bali lengo kufikisha ujumbe kwa serikali juu ya mfumko wa bei.

Maandamano yana jumbe tofauti tofauti usikariri mkuu.
Mkuu, hiyo ni njaa ya kawaida, Kenya ni njaa tangu wapate uhuru wao, huko Turkana watu wanakufa kwa njaa huko Turkana na Samburu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwa sababu mafuta yanauzwa na wachache so cartels are there so regulators lazima.

Nauli hivyo hivyo,Kuna chama Cha Wenye Ushawishi

Sukari ya Nje inaruhusuwa Kwa Kiasi kile ambacho hatuwezi kuzalisha.
Bado upo emotionally why irusiwe partial na sio totally.
Pia why regulators iwepo,na why wawepo waingizaji wachache wa mafuta na sio wengi
 
Chadema wanacho sahau ni kitu kimoja tu, kwamba kuwa na katiba nzuri nijambo moja, lakini utamaduni wa kuheshimu katiba na sheria kwa ujumla (ambalo ni jambo la msingi sana kuliko kuwa na katiba au sheria nzuri) ni jambo lingine.
Mkuu hongera Sana kwa hii" post" yako, nimeipenda Sana.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kasome economics utaelewa Sina mda wa kufundisha mtu hapa.
Wewe ndiye hujaelewa. Kama huko Kuna regularator why na kwenye chakula wasiwepo ili kulinda raia wake ama hujui serikali na sawa na baba mwenye nyumba kila kitu anaweka limit ama umeongea kiaushabiki.
Wanasema biashara Ni huru so waruhusu sukari ya nje ijae ndani tununue kilo 1500-2000 ili na hivi vya ndani vizalishe kuleta ushindani.

Why nauli ya hiace iwepo 500 Mana wafanyabiashara waachiwe wawe huru kujiwekea wanayotaka. Mana tupo kwenye ubepari.

Nchi Ni karibia zote ama nyingi huwa wanazuia chakula kisitoke ama kinachoingia wanakicheki Kama kina ubora kwa maisha ya afya ya watu wake. Sema huku njaa waziri anaweza ruhusu chakula kibaya kisa akapigwa mlungula
 
Back
Top Bottom