Kinachoendelea Maandamano Nchini Kenya, Machi 20, 2023
Chadema wanacho sahau ni kitu kimoja tu, kwamba kuwa na katiba nzuri nijambo moja, lakini utamaduni wa kuheshimu katiba na sheria kwa ujumla (ambalo ni jambo la msingi sana kuliko kuwa na katiba au sheria nzuri) ni jambo lingine.
Akina Lissu walikuwa wanausifia utawala wa Kenya lakini naona hivi sasa wameufyata😂😂
 
NjaaKenya.jpeg

Ila njaa mbaya, ona wanaume wazima akina Nicxie at al wanalilia chakula huku wakiwa na sufuria na masahani.

CC: Magonjwa Mtambuka
joto la jiwe
 
Africa vijana wanakufa kwa Mambo ambayo hayana Maana Kabisa Politicians can never change the life situations of someone else ,
Politicians Wana uwezo mkubwa wa kubadilisha maisha Yako, kwa sababu wao ndo watunga sera, wao ndo wamepanga ushuru na Kodi zote ambazo zinaweza kuwa nafuu au mzigo kwako. Mataifa yote duniani yanaendeshwa na wanasiasa, matajiri na viongozi wa dini, Hakuna taifa lilowahi kufanikiwa pasipo kuwa na support ya hayo makundi matatu.
 
Kwani viti vya maseneta, wabunge na asilimia alizopata Raila Odinga kwa katiba yao Ruto hawezi kwani kutengeneza serikali ya mseto?
 
Kenya: Polisi wakataa maandamano ya wafuasi wa Odinga
Wakati Kiongozi wa Azimio la Umoja, Raila Odinga akiitisha maandamano makubwa leo Machi 20, 2023 kwa kile alichodai kuna mfumuko mkubwa wa bei na gharama za maisha kupanda, Jeshi la Polisi limezuia maandamano likisema maombi yamechelewa.

Pamoja na tamko hilo la Polisi, waandamanaji wamedai kuwa kila kitu kitaendelea na wanatarajiwa kuingia mtaani kuandamana kama walivyopanga.

Aidha, katika madai yake mengine kuelekea maandamano hayo, Odinga anadai aliibiwa kura katika uchaguzi wa Urais uliomuingiza madarakani Rais William Ruto Mwaka 2022

-----------------------
Kenya police ban cost-of-living protest by opposition
Kenya's police on Sunday banned the opposition from holding a protest over inflation, saying requests for the demonstrations were filed too late, but organisers vowed to go ahead with the rallies.

Raila Odinga, leader of the Azimio la Umoja party, had called for Monday's demonstration in Nairobi over soaring inflation, which in February reached 9.2 percent year-on-year in the East African nation.

Odinga also claims that last year's tight presidential election was "stolen" from him, denouncing the government of President William Ruto as "illegitimate".

Nairobi police chief Adamson Bungei said on Sunday that police received requests to hold two demonstrations only late on Saturday and early on Sunday, when normally three days' notice is required for public rallies.

"For public safety, neither has been granted," he said at a press conference in the capital.

Organisers had planned to march near the State House, the presidential palace.

"I want to underline some areas such as State House where we have heard people planning to invade or visit is covered by the laws of Kenya that it is a restricted area for unauthorised persons," Bungei said.

But Odinga vowed that the gathering would go ahead.

"I want Kenyans to come out in large numbers and show the displeasure of what is happening in our country," he told his supporters Sunday.

Ruto for his part warned that "you are not going to threaten us with ultimatums and chaos and impunity."

"We will not allow that," he said, calling on Odinga to act in a "legal and constitutional manner."

According to official results from the August presidential vote, Odinga lost to Ruto by around 233,000 votes, one of the closest margins in the country's history.

Odinga, who was running for the fifth time to lead the country, rejected the results, calling them fraudulent.

The Supreme Court has dismissed his appeals, with its judges giving a unanimous judgement in favour of Ruto, finding there was no evidence for Odinga's accusations.

Source: The Independent

KENYA: POLISI WAFUNGA NJIA YA KWENDA IKULU
Askari Polisi wamefunga njia ambayo inaelekea Ikulu Jijini #Nairobi kutokana na sintofahamu kuhusu #maandamano na tayari kumeripotiwa purukushani kati ya waandamanaji na Polisi.

Kutokana na tishio la maandamano, biashara nyingi zimefungwa maeneo mengi huku baadhi ya waandamanaji wakikamatwa.

=======


Police presence at Jeevanjee Gardens, no civilians allowed inside the usually busy garden.

---
VIONGOZI WA UPINZANI WAKAMATWA, RAIA APIGWA RISASI
Seneta wa Kilifi, Stewart Madzayo pamoja na Wabunge Amina Mnyazi na Ken Chonga, wanaripotiwa kushikiliwa na Polisi kwa kushiriki maandamano ya kuipinga Serikali katika Mji Mkuu, Nairobi

Hadi hivi sasa Raia kadhaa wanaripotiwa kushikiliwa huku mmoja akiripotiwa kupigwa risasi na Polisi, karibu na eneo la Kibera, ambapo amewahishwa Hospitali
MKUU WAKIKUJIBU UJE NIKO NAKUNYWA RUBISI
 
Hahaha juzi kati hapa ngo ya mbowe ilishabikia hahaha baada ya ruto kusema eti atayalinda maandamano. Hebu wayaitishw hapa bongo wapate kichapo cha mbwa koko
 
Ila wenzetu Kenya wapo mbali sana. Naangalia K24 mahojiano watu wanafunguka bila woga. Hii hapa Tanzania hata hii ya Samia huwezi kufunguka namna hiyo kwanza media zenyewe zitakuzimia mic

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kipind CUF ipo kwenye ubora wake tulikua tunayashuhudia hayo


Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
JanguKamaJangu umeshindwa kuweka updates za mada yako mkuu!.

Nilitegemea umeweka hata live link kutoka eneo la tukio mwishoe na wewe unasoma na unasikilizia tunaotoa comments.




UPDATE:
Mzee bado ana dhamira hasa ya kufanya maandamano namuona yupo front line pamoja na njia zote kufungwa kuelekea Ikulu, anafanya mawasiliano na watu wake mpaka anapata njia mbadala.

Kuna sehemu unaona kabisa askali wanamuangalia na hawafanyi chochote but anaingia ndani ya gari ndipo wanapuliza moshi wa kuwasha macho 😂!.
 
Wenzio ukute sio kwamba wana njaa ya chakula kama wewe bali lengo kufikisha ujumbe kwa serikali juu ya mfumko wa bei.

Maandamano yana jumbe tofauti tofauti usikariri mkuu.

kawaulize wakenya, wenyewe watakuambia.
 
Kwa kifupi mzee RAO kafanikiwa na ambaye anaweza kupinga ni hivi, huyu mzee yupo front line mwenyewe na cha kushangaza hao askali they're close to him.

Na jambo lingine ile kutangaza mapumziko miji yote inaonekana ipo kimya watu wanakula long weekend.

Ile polisi kupiga watu na kuua haikupaswa kufanywa na polisi sababu ni dosari kisiasa kwa Rais aliyepo so inaweza kuwa si mafanikio ya pande zote japo mmoja inam_boost.

Rais alipaswa kutoka nje (on media) na kuongea jambo na siyo kujifungia ndani na familia yake!.
 
Back
Top Bottom