Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba 7Peleka jukwaa husika hapa sio mahali pake
Hahaha.....!Mbowe mlimkosa risasi pale Kinondoni Mkwajuni umeshasahau bwashee, tatizo uzee..
Tunisia nafatilia sioniAfrika kusini EFF nao wamewasha moto
Mto uko wapiTuliambiwa katiba mpya ya Kenya unazuia mizozo ndani ya Kenya sio kama huku kwetu
Leo chama cha azimio imekiwasha katikati ya jiji la Nairobi ni mabomu ya machozi na risasi zikilia
USSR
Nogesha na vipichapicha brazaTuliambiwa katiba mpya ya Kenya unazuia mizozo ndani ya Kenya sio kama huku kwetu
Leo chama cha azimio imekiwasha katikati ya jiji la Nairobi ni mabomu ya machozi na risasi zikilia
USSR
Hakuna kabila duniani linaloitwa wajaruo.Wajaruo nawakubali kwa kujitoa muhanga ngoja tuone leo nini kita happen
Tena mpaka alifungwaMbowe mlimkosa risasi pale Kinondoni Mkwajuni umeshasahau bwashee, tatizo uzee..
Umeshapanic!
Siasa ni Sayansi
Wassira: Bila Serikali 2 hakuna Katiba Mpya 🤣🤣
Wassira ndio anaongoza maridhiano kwa niaba ya Mwenyekiti wa CCM hakwepeki!Sijapanic kabisa. Naomba utafute rejea nyingine sio wassira.