Kinachoendelea Maandamano Nchini Kenya, Machi 20, 2023
Wanasiasa viumbe wa ajabu. Usikute hapo kinatafutwa ni kama mambo ya Tanzania na Mbowe yaani wameshindana kwenye rushwa basi Raila kasema msipo nipa mzigo nalianzisha ila baada ya kulamba asali kama akina mbowe basi kila kitu swafii

Asali gani ya kumlambisha Odinga?
Odinga hana njaa. Odinga na wajaluo wenzake wanataka urais, pesa wanazo tena nyingi sana.
 
🤩🤩🤩

Naona kuna Maji ya Washawasha ya kutosha na mabomu ya machozi

Katiba yao nzuri sana!
Eti wamebeba masufulia, mabakuki na vijiko Sasa sijui wale chakula alicholima nani 🤣🤣

Piga spana hao mda wa kuandamana wangeenda shamba..

Bado Tanzania Kuna wale wajinga utasikia mahindi bei Juu,kalime wewe uuze bei chini unataka nani akulimie upange bei?
 
Eti wamebeba masufulia, mabakuki na vijiko Sasa sijui wale chakula alicholima nani 🤣🤣

Piga spana hao mda wa kuandamana wangeenda shamba..

Bado Tanzania Kuna wale wajinga utasikia mahindi bei Juu,kalime wewe uuze bei chini unataka nani akulimie upange bei?
Makamanda wa Ufipa St ni Waoga hawawezi kuandamana!
 
Eti wamebeba masufulia,mabakuki na vijiko Sasa sijui wale chakula alicholima nani 🤣🤣

Piga spana hao mda wa kuandamana wangeenda shamba..

Bado Tanzania Kuna wale wajinga utasikia mahindi bei Juu,kalime wewe uuze bei chini unataka nani akulimie upange bei?
kwani maana ya mgawanyiko wa kazi ni nini?kama wote wataenda shamba nani atafanya kazi zingine.hiyo ni myopic thinking.
 
Huyu mzee ananguvu sana na aheshimiwe bila yeye kenya isingekua hapa
 
Wanasiasa viumbe wa ajabu. Usikute hapo kinatafutwa ni kama mambo ya Tanzania na Mbowe yaani wameshindana kwenye rushwa basi Raila kasema msipo nipa mzigo nalianzisha ila baada ya kulamba asali kama akina mbowe basi kila kitu swafii
Odinga hana njaa kama tunavofikilia
 
Eti wamebeba masufulia,mabakuki na vijiko Sasa sijui wale chakula alicholima nani [emoji1787][emoji1787]

Piga spana hao mda wa kuandamana wangeenda shamba..

Bado Tanzania Kuna wale wajinga utasikia mahindi bei Juu,kalime wewe uuze bei chini unataka nani akulimie upange bei?
Mfumuko wa bei Saazingine husababishwa na maamuzi ya kisiasa.

Watu wakilalamika ungabei juu kuwaambia wakalime ni upuuzi, Sukari ikipanda bei mbona hamuwaambii wakalime miwa ama wakajenge viwandavyao.
 
Sio hivyo unavyofikiri,mbona wakubwa wa Dunia wapo kimya wangeshaongea kama wangekuwa against
Kwani Raila ameanza Leo hii tabia yake?, zaidi ya miaka arubaini Raila analeta fujo huko Kenya, na kabla ya yeye, baba yake mzazi alikua akifanya hivyohivyo.

Tusipende Sana kuwapa umaarufu na uwezo wazungu na sisi wenyewe kujiona kwamba hatuna uwezo juu ya maisha yetu.

Kabla ya kuja wazungu na wakoloni kutawala bara la Afrika, kulikua na vita vingi miongoni mwa kabila, Koo na jamii nyingi za Afrika zikipigana zenyewe kwa wenyewe, lakini siku hizi Kila vita ikitokea Afrika basi lazima tuwahusishe au kuwalalamikia wazungu, huku ni kujishusha na kujidhalilisha Sana.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Eti wamebeba masufulia, mabakuki na vijiko Sasa sijui wale chakula alicholima nani 🤣🤣

Piga spana hao mda wa kuandamana wangeenda shamba..

Bado Tanzania Kuna wale wajinga utasikia mahindi bei Juu,kalime wewe uuze bei chini unataka nani akulimie upange bei?

Wewe Kama muoga kaa ndani, waache wenye udhubutu wafanye maandamano. Mambo yanatokea Kenya ila unawashwa wewe.
 
Siasa za Afrika Mashariki zinafanana sana

Jana Raila alisema atakuwepo Uwanja wa kuanziaa maandamano saa 12:00 asubuhi tayari kuwaongoza Wafuasi wake kuelekea Ikulu lakini hadi sasa saa 6 hii hajatokea

Ni Wamachinga na Bodaboda ndio wanarandaranda na kukamatwa na polisi

Nafuatilia hapa Citizen TV yaani Ruto kama Magufuli kabisa na huyu Raila ndiye Mwamba Mbowe

Kwa kifupi ni Shujaa vs Mwamba!
 
Bora hata Kenya polisi wametoa sababu ya kwanini maandamano ni haramu. Tanzania polisi wanakuambia atakaye andamana atapigwa na kuchaakaa. Nchi ya hovyo kweli.
 
Siasa za Afrika Mashariki zinafanana sana

Jana Raila alisema atakuwepo Uwanja wa kuanziaa maandamano saa 12:00 asubuhi tayari kuwaongoza Wafuasi wake kuelekea Ikulu lakini hadi sasa saa 6 hii hajatokea

Ni Wamachinga na Bodaboda ndio wanarandaranda na kukamatwa na polisi

Nafuatilia hapa Citizen TV yaani Ruto kama Magufuli kabisa na huyu Raila ndiye Mwamba Mbowe

Kwa kifupi ni Shujaa vs Mwamba!
Peleka jukwaa husika hapa sio mahali pake
 
Back
Top Bottom