Kinachoendelea Moshi, Hakuna Hali Ngumu

Kinachoendelea Moshi, Hakuna Hali Ngumu

Tuache utani. Most us should be inspired. Kiukweli wachagga wengi wenye uwezo wamewekeza kwao. Wamejenga nyumba nzuri na hata elimu wamezingatia. Kwa hilo nawapongeza. Nadhani swala la kuwekeza nyumbani si la kubeza. Linasaidia hata vizazi na vizazi kujitambua.

Nina wengi nawafahamu, mjini wanasukuma Range na maghorofa makini mitaa ya Mikocheni/Mbezi beach Lakini kwenda kwao ni mpaka misiba na watafikia hotelini. Wengi tunajijua humu. Ndo maana usishangae kukuta mzee amestaafu na nafasi kubwa serikalini yuko Masaki Lakini kwao kijijini anapaona kama mahakamani! Mwisho wa siku unakuta mtu bila aibu anakwambia nataka nijenge "room mbili" za kufikia kijijini! Very primitive house!

Au unakuta mtu bila aibu anakupa stupid excuse eti kujenga nyumba kijijini ni hasara kwa sababu nyumba itakaa idle! Hiyo ni akili kichwani au ni vumbi???

Mimi si mchagga, Lakini nimejifunza na naendelea kujifunza. Wengi hatujui kwamba ukipajenga kijijini kwenu una-inspire hata wengine kujenga and in the process kijiji kinakua na huduma muhimu zinapatikana. Talk of multiplier effects. Na maendeleo ndo hayo!

Kuna mzee mmoja namfahamu amestaafu in one of the regional organizations hapo ARUSHA, amejenga nyumba Machame nadhani hata Oyserbay haipo hiyo nyumba! Very impressive.

Maisha ni kujifunza. It never ends!
Mkuu nimependa ulivyoandika reality..

Kuna mtu hapa amesema yale majumba ya kifahari yaliyo jengwa migombani hayana maana ni bora wangejenga viwanda.
 
Kwa kifupi ninavyo wajua mm wachaga hawapendi umasikin kwa dhati ya moyo wao.. Ukikaa na mchaga dakika mbili hajakupa wazo lakutafuta pesa mchunguze atakuwa siyo yule original.. Wengi wanapambana mpaka tone la mwisho kufikia watakacho, na mmoja akifail mwenye nacho ana mkopesha na kumpa mbinu za biashara.. Kuna mmoja alianza hapa mtaani kiajabu ajabu mwaka 2014 .. Leo anamiliki fuso za biashara anapeleka mizigo kenya... Na kongo.. Pia amejenga ghorofa uko mbezi beach.. Nilimfuatilia historia jama alikuwa mnywaji tu kila akipata mmnywaji naambiwa alienda kwako mwisho wamwaka waka mkalisha kikao waka mwambia akimaliza mwaka hajafanya maendeleo wana mtenga... Jamaa alipo rudi bongo alikuwa mbogo kwenye kutafuta unaambiwa mwaka huo huo akaa nunua na gari wakati alikuwa kapangisha chumba kimoja hapa sinza
 
nyie n sifa zimewazid hakuna cha majanga
mnakimbia kuwekeza kwenu mtarajie mtapata maendeleo? n aibu bukoba kutokuwa na Chuo Kikuu hata kimoja
stand ya mkoa n vumbi
Bahati nzr stendi mpya inajengwa tena kyakairabwa km 8 kutoka mjini .vyuo sasa vimeongeZeka mbona kuna vinne siku hizi.karuco,karumco,jocuco na open nk hivyo nini ? Halafu hata kama hakuna chuo cha maana elimu ya kagera hamuwezi kuifikia.jengeni tu vyuo sie tunakuja kusoma na kumaliza.kielimu kwa wahaya hamtoboi.bakini huko mnadanganywa kwamba bk haiendelei mara maskini hizo ni propaganda tu za kutoka kuendeleza mkoa wa kagera kimusingi kiuhalisia kagera sio maskini tazama vijiji vyake utaamini tu
 
una uhakika na maneno yako?
Mbona unatoka povu. Ujumbe umefika wengi wamekopa kwa wauzaji wa mkononi, ni shida sana, wachaga walikuwa dhamani sasa ivi biashara zinafanywa na watu wa kigoma na wakinga wa iringa
 
Acha umbea fanya kazi,mambo mengine ni matunda yatokanayo na kazi! Nani alikuambia magufuli anafanya kazi ya kuwabana watu wanatafuta kwa njia halali? Usitumie jina la rais kama rejea ya uzembe wako huko kwenu.
 
Wakuu, Amani iwe nanyi!!
Nimekuwepo Kilimanjaro kuanzia mwanzoni mwa Mwezi huu wa December.
Na bahati nzuri nimeyaona maisha ya kijamii kabisa ya wachagga...
Nchi yetu raia wanalalamika sana kuwa hali ni ngumu kila kona, lakini hawa jamaa wa huku sivyo kabisa, nilitegemea kuona mkwamo wa sherehe msimu huu

Lakini mambo yamekuwa tofauti kabisa, wachagga bado wanafanya masherehe makubwa kabisa, Harusi nyingi zinafanywa kwa sherehe kubwa kubwa kabisa, ubarikio na ubatizo bado vinafanyika kwa masherehe.

Hawa watu wao wanapata wapi pesa za kufanya yote haya tena kipindi hiki! Ambapo kila mtu analalamika pesa haionekani?

Tuseme ndiyo Magu kashindwa kuwabana vizuri hadi wanaendelea na matumizi ya aina hii?
Wahindi wa Nyerere. Mungu awajalie waendelee kuchapa kazi, wanatimiza kwa vitendo mbiu ya JPM, hapa kazi tu. Safi sana, I like that. Nasikia Nyerere alikuwa anapenda kusema "waacheni wahindi wangu wafanye kazi". Ni wachapa kazi kama Wahindi kwa kweli!
 
Bahati nzr stendi mpya inajengwa tena kyakairabwa km 8 kutoka mjini .vyuo sasa vimeongeZeka mbona kuna vinne siku hizi.karuco,karumco,jocuco na open nk hivyo nini ? Halafu hata kama hakuna chuo cha maana elimu ya kagera hamuwezi kuifikia.jengeni tu vyuo sie tunakuja kusoma na kumaliza.kielimu kwa wahaya hamtoboi.bakini huko mnadanganywa kwamba bk haiendelei mara maskini hizo ni propaganda tu za kutoka kuendeleza mkoa wa kagera kimusingi kiuhalisia kagera sio maskini tazama vijiji vyake utaamini tu
Hujaangalia takwimu vizuri. Kuna tofauti kubwa moja ile ya "kujipendekeza na kutojipedekeza" ndiyo maana upande mmoja huwaoni sana.
 
Back
Top Bottom