Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninao zaidi ya huo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe unao upendo kiasi hicho?[emoji28]
Unaelewa nini kuhusu kuboresha daftariMaswali ya interview huwa ni yapi kiongozi?
Sawa mzee.Unaelewa nini kuhusu kuboresha daftari
Nani anapaswa kuandikishwa
Taarifa zipi zinapaswa kuwepo
Umeomba nafasi ipi na je wayajuwa majukumu yako
Mtendaji wako anaitwa nani
Ukipata uvinza shareNaona kwa kigoma wameanza kuita watu kwenye usahili. Maswali ambao wanaweza kuuliza ni nini?
Daftari la kudumu la wapiga kura alitumiki kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji litaandikwa daftari lake tofauti kabisa ambalo alinaga voter id Wala picha ni la kilocal local TU bunda bunda mambo yaende kiufupi uchaguzi wa serikali za mitaa ni WA ajabuUchaguzi wa serikali za mitaa unafanyika mwaka huu sasa itakuwaje uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura lifanyike mwakani kwa baadhi ya mikoa wakati kuna watu hawana kadi ya mpiga kura na wanahitaji kadi ili wapige kura.
Upo mkoa gani??Mimi mtendaji kanambia niende kwenye usahili sasa sijajua kitakachofata ni nini huko.
KigomaUpo mkoa gani??
Sikuwahi kujua, hongera.Ninao zaidi ya huo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maana taifa hili Kwa kutoa ahadi tu wako vizuriMpaka kufika hiyo june mwakani kama kuna walioomba bado watakuwa wanawazia hilo zoezi basi wana roho ya chuma
Ni upuuzi mtupu mzee, interview unawaita watu 300 nafasi 80 sasa si ujinga uoKama kuna interview basi huko ni kusumbuana pro max na hakukua na haja ya kukusanya hizo docs ziende Idodomya.
Mbona 300 wachache sanaNi upuuzi mtupu mzee, interview unawaita watu 300 nafasi 80 sasa si ujinga uo
Hakuna basi haja ya kuomba, nilienda interview nimekuta mpaka wazee wa miaka 40 wakigombania hizo nafasi aisee, naomba Mungu nisifike huko.Mbona 300 wachache sana
Watu 1000 juzi wamefanya interview anahitajika mtu mmojaHakuna basi haja ya kuomba, nilienda interview nimekuta mpaka wazee wa miaka 40 wakigombania hizo nafasi aisee, naomba Mungu nisifike huko.
Kwan daftari la mpiga kura wameshaita watu?Hakuna basi haja ya kuomba, nilienda interview nimekuta mpaka wazee wa miaka 40 wakigombania hizo nafasi aisee, naomba Mungu nisifike huko.
Kwan daftari la mpiga kura wameshaita watuHakuna basi haja ya kuomba, nilienda interview nimekuta mpaka wazee wa miaka 40 wakigombania hizo nafasi aisee, naomba Mungu nisifike huko.
PesaHakuna basi haja ya kuomba, nilienda interview nimekuta mpaka wazee wa miaka 40 wakigombania hizo nafasi aisee, naomba Mungu nisifike huko.