Kinachoendelea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura 2024

Kinachoendelea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura 2024

Watendaji kata na wenyeviti wa Vijiji wameketi Leo kujadili majina ya waombaji, kigezo kikubwa ni kuwa wanachama wa CCM ndio wanaopewa kipaumbele zaidi, kama siyo mwanachama basi omba Sana Mungu kuweza kuvuka hicho kinyang'anyiro.
Hii comment unaweza jua jamaa anatania lakini huu ndo ukweli 100% japo mchungu. Kubali kataa ndoi imeenda hiyooooo
 
Nikweli lakin wanachama pekee hawawezi kuandikisha wananchi wote Mana Kila eneo Lina wanachama wa ccm lakin hawawezi kuzimaliza izo ajira zote wachukue wao
Sasa unakuta kata Ina vituo 15 kila kituo watu wawili wanaitajika jumla watu 30 hapo hapo watendaji wa mitaa nao wameomba hizo kazi Kuna makada ndio walengwa wa kazi zao wewe mwenzangu na Mimi utapenyea wapi?
 
20240601_183806.jpg
 
Wakati uzinduzi wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ukitarajiwa kufanyika Mkoani Kigoma, Julai Mosi, 2024 imeelezwa uboreshaji utaanza siku hiyohiyo na kuendelea katika Mikoa ya Katavi na Tabora, ikifuatiwa na Kagera na Geita

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhani Kailima, amesema zoezi litaendeshwa kwa Siku saba kwenye kila kituo cha kuandikisha Wapiga Kura na wanatarajia Awamu ya Kwanza itakamilika Machi 2025 kisha Awamu ya pili itafanyika Aprili hadi Juni 2025

Ameeleza mchakato huo una lengo la kutekeleza jukumu hilo kwa ufanisi na kuwa uboreshaji wa Awamu ya Kwanza utafanyika kwenye mizunguko 13

Soma Tanzania inatarajiwa kuwa na Wapiga Kura 34,746,638 watakaoandikishwa katika Daftari la Wapiga Kura

#Democracy #Kuelekea2025 #Governance #JamiiForums
 
Wakati uzinduzi wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ukitarajiwa kufanyika Mkoani Kigoma, Julai Mosi, 2024 imeelezwa uboreshaji utaanza siku hiyohiyo na kuendelea katika Mikoa ya Katavi na Tabora, ikifuatiwa na Kagera na Geita

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhani Kailima, amesema zoezi litaendeshwa kwa Siku saba kwenye kila kituo cha kuandikisha Wapiga Kura na wanatarajia Awamu ya Kwanza itakamilika Machi 2025 kisha Awamu ya pili itafanyika Aprili hadi Juni 2025

Ameeleza mchakato huo una lengo la kutekeleza jukumu hilo kwa ufanisi na kuwa uboreshaji wa Awamu ya Kwanza utafanyika kwenye mizunguko 13

Soma Tanzania inatarajiwa kuwa na Wapiga Kura 34,746,638 watakaoandikishwa katika Daftari la Wapiga Kura

#Democracy #Kuelekea2025 #Governance #JamiiForums
Dar Es salaam bila shaka ipo kwenye awamu ya mwisho ambayo ni June 2025
 
Wakati uzinduzi wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ukitarajiwa kufanyika Mkoani Kigoma, Julai Mosi, 2024 imeelezwa uboreshaji utaanza siku hiyohiyo na kuendelea katika Mikoa ya Katavi na Tabora, ikifuatiwa na Kagera na Geita

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhani Kailima, amesema zoezi litaendeshwa kwa Siku saba kwenye kila kituo cha kuandikisha Wapiga Kura na wanatarajia Awamu ya Kwanza itakamilika Machi 2025 kisha Awamu ya pili itafanyika Aprili hadi Juni 2025

Ameeleza mchakato huo una lengo la kutekeleza jukumu hilo kwa ufanisi na kuwa uboreshaji wa Awamu ya Kwanza utafanyika kwenye mizunguko 13

Soma Tanzania inatarajiwa kuwa na Wapiga Kura 34,746,638 watakaoandikishwa katika Daftari la Wapiga Kura

#Democracy #Kuelekea2025 #Governance #JamiiForums
Tukutane mwakani😅😅
 
Wakati uzinduzi wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ukitarajiwa kufanyika Mkoani Kigoma, Julai Mosi, 2024 imeelezwa uboreshaji utaanza siku hiyohiyo na kuendelea katika Mikoa ya Katavi na Tabora, ikifuatiwa na Kagera na Geita

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhani Kailima, amesema zoezi litaendeshwa kwa Siku saba kwenye kila kituo cha kuandikisha Wapiga Kura na wanatarajia Awamu ya Kwanza itakamilika Machi 2025 kisha Awamu ya pili itafanyika Aprili hadi Juni 2025

Ameeleza mchakato huo una lengo la kutekeleza jukumu hilo kwa ufanisi na kuwa uboreshaji wa Awamu ya Kwanza utafanyika kwenye mizunguko 13

Soma Tanzania inatarajiwa kuwa na Wapiga Kura 34,746,638 watakaoandikishwa katika Daftari la Wapiga Kura

#Democracy #Kuelekea2025 #Governance #JamiiForums
Kwahyo haifanyiki yote kwa pamoja nchi nzima?
 
Back
Top Bottom