Teknotee
Member
- May 9, 2024
- 36
- 44
Sijafaham kw undani, karibu kumtembelea website ya tume ya uchaguzi huko wameelezea Kila kitukwanini wanafanya hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijafaham kw undani, karibu kumtembelea website ya tume ya uchaguzi huko wameelezea Kila kitukwanini wanafanya hivyo?
Ok mkuuSijafaham kw undani, karibu kumtembelea website ya tume ya uchaguzi huko wameelezea Kila kitu
Resource sharingkwanini wanafanya hivyo?
60 × 7 = 420
Tajiri hadi wewe!😅60 × 7 = 420
Kwahiyo ndo inakua 420k. Malipo!!
Kama ni hivyo sawaResource sharing
Uchaguzi wa serikali za mitaa unafanyika mwaka huu sasa itakuwaje uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura lifanyike mwakani kwa baadhi ya mikoa wakati kuna watu hawana kadi ya mpiga kura na wanahitaji kadi ili wapige kura.Dar Es salaam bila shaka ipo kwenye awamu ya mwisho ambayo ni June 2025
Ndivyo walivyoandika kwenye post yaoUchaguzi wa serikali za mitaa unafanyika mwaka huu sasa itakuwaje uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura lifanyike mwakani kwa baadhi ya mikoa wakati kuna watu hawana kadi ya mpiga kura na wanahitaji kadi ili wapige kura.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie hapanaaa, nimewapigia hesabu makarani watarajiwa. WoiiiihTajiri hadi wewe![emoji28]
Kumbe unao upendo kiasi hicho?😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie hapanaaa, nimewapigia hesabu makarani watarajiwa. Woiiiih
1. Uchaguzi wa Serikali za Mtaa (SM) hausimamiwi na Tume Huru ya Uchaguzi hivyo uandikishaji huu hauwahusu.Jamani aliyeelewa anieleweshe,, kazi zimeombwa wakati mmoja Tz yote Why ufanyajinkazi uwe kwa awamu ilhali mwaka huu Nchini kote Kuna uchanguzi wa serikali za mitaa..?
Yes nandomana Zoezi la uandikishaji linafika mpaka mwakani mwezi wa sita1. Uchaguzi wa Serikali za Mtaa (SM) hausimamiwi na Tume Huru ya Uchaguzi hivyo uandikishaji huu hauwahusu.
2. TAMISEMI watasimamia uchaguzi wa SM, wataandikisha kivyao muda ukifika.
3. Mashine za kuandikishia (BVR) za Tume ni chache, zinahamishwa mkoa kwa mkoa ndio maana wanafanya kwa awamu.
Mbona naskia hakuna usaili majina yatatoka tu directly??Naona kwa kigoma wameanza kuita watu kwenye usahili. Maswali ambao wanaweza kuuliza ni nini?
Mimi mtendaji kanambia niende kwenye usahili sasa sijajua kitakachofata ni nini huko.Mbona naskia hakuna usaili majina yatatoka tu directly??
Maswali ya interview huwa ni yapi kiongozi?Watu wa KIGOMA PDF👇 ya kuitwa kwenye interview