Kinachofanyika kwenye kutekwa, kupotezwa au kuuawa bila kujulikana kwa watu popote ulimwenguni

Kinachofanyika kwenye kutekwa, kupotezwa au kuuawa bila kujulikana kwa watu popote ulimwenguni

Habarini wanajamvi!
Najua baadhi yenu mmewahi kutamani kuingia Jeshini (JWTZ) au Usalama wa Taifa (TISS)

Sasa kuna Operation zipo mbili ambazo nafikiri zikifanyika au zinafanyika bila umakini zinaustua uma ambazo ni:-
1. Clandestine na
2. Infiltration - Nitazieleza kama ifuatavyo

Clandestine operation - means " Done in secret, behind the scenes, Covert, Furtive, Sneak or Stealthy e.t.c
Hii ni operation inayotumiwa sana na vikundi vya usalama vilivyotajwa hapo juu lakini operation hizo ziki fail inakuwa kama ilivyowahi kutokea hapa

1. Kutekwa kwa Dr. Ulimboka ( wakajua ameshakufa kumbe kawadanganya kwa kuzimia, wakamtelekeza mabwepande baadae akakutwa na kuokolewa
- Adhabu iliyostahili kupewa wahusika kwenye taasisi yao ilikuwa ni kuuwawa maana ni fedheha kushindwa kazi wakati umewezeshwa kila kitu ikiwemo fedha.

2. Kumwagiwa Tindikali Said Kubenea na wenzake "walimwaga kwa woga yaani hawakujiandaa"
- Adhabu iliyostahili kupewa wahusika kwenye taasisi yao ilikuwa ni kuuwawa maana ni fedheha kushindwa kazi wakati umewezeshwa kila kitu ikiwemo fedha.

3. Kupigwa Risasi kwa Ho. Tundu Lissu
- Adhabu iliyostahili kupewa wahusika kwenye taasisi yao ilikuwa ni kuuwawa maana ni fedheha kushindwa kazi wakati umewezeshwa kila kitu ikiwemo fedha.

Fikiria na matukio yafuatayo inawezekana operation hiyo ilifanikiwa " good execution"
1. Ben Saanane
2. Prof Jwani Mwaikusa
3. Chacha Wangwe
4. Jems Kombe
5. Mwandishi Azory

Na zingine nyingi

Hizi operation zinapangwa kwa umaridadi mkubwa sana na zinafanyiwa rehearsal ya kutosha lakini waki fail kwenye execution adhabu ni kama nilivyotaja hapo juu.
N:B
- Kiujumla hii ni operation ya haraka ili kuokoa jambo baya endapo muhusika ataachwa alitekeleze
- Na ili litekelezwe kunakuwa na reconnaissance ya kutosha imefanyika.

2. Infiltration operation
Maana yake ni - The action of entering or gaining access to an organization or place surreptitiously, especially in order to acquire secret information or cause damage
Au ni The process of secretly becoming part of a group in order to get information or to influence the way that a group thinks or behaves.

" JWTZ huwa wanajenga fence ili ku stop militant infiltration"

Kama difn zinavyojieleza hapo juu
Infiltration ni operation ya mda mrefu ambayo inahitaji professional husika e.g
- kama ni idara ya Afya basi anayetumwa anatakiwa awe member wa fani za afya.
- Kama ni migodi ya madini anatakiwa kwenda huko awe mtaalamu pia.
- Kama ni jeshi pia anapandikizwa mwanajeshi ili awe uniform na wao

sasa utawa influence vip?
Ni lazima awe na akili nyingi na mwenye uwezo wa kupambanua mambo
- Hawa ni wabaya maana mara nyingine anaweza kuwa double agents

Nataka ni justify

Sidhani kama waliotekwa au kupotea wanaweza kupatikana kama walikuwa na malengo mabaya kwenye maeneo waliyokuwa wanayafanyia kazi.

Maana yake ni hivi

Infiltrator anakuwa counted na covert (clandestine) operations

Infiltration ni mbaya sana msipokuwa macho kama nchi jamii nzima au nchi husika inaweza kuuzwa.

Mind you try to think critically. We need a critical thinkers

kama sijaeleweka karibuni kwa maswali, au kukosolewa ijapokuwa najua wengi wenu "you know no nothing about this issues"

Mods kama inakiuka maadili ya jamii forum mnaweza kuiondoa"

Ahsante sana

cc Yeriko Nyerere.
Daah naona kama umetuambia tutandike turubali tufanye hitima vile
 
Sijaelewa kuuwawa,kutekwa na kupigwa risasi kwa uliowataja kuna mahusiano gani na JWTZ na TISS kama ulivyotaja hapo juu
 
Hapo hakuna usalama. Labda Informer tena ambaye amewekwa na mtu binafsi kwaajili ya malengo binafsi. Lakini sio informer wa serikali. Labda ma CID wa police hao wapo wengi au mgambo ambao wanafanya kazi kwenye vituo vya police ili waweze kuibua vijiwe vya bange au gongo.
Yaani acha tu
 
kumenoga mkuu! *** kwako kama heshma lakini mkuu unamuweka mo katika kundi gani kwamba naye ni Slipper agent? Nauliza tu tena kwa hofu kubwa
Tuendelee kufuatilia darsa hapa.Tutajifunza mengi mkuu
 
Habarini wanajamvi!
Najua baadhi yenu mmewahi kutamani kuingia Jeshini (JWTZ) au Usalama wa Taifa (TISS)

Sasa kuna Operation zipo mbili ambazo nafikiri zikifanyika au zinafanyika bila umakini zinaustua uma ambazo ni:-
1. Clandestine na
2. Infiltration - Nitazieleza kama ifuatavyo

Clandestine operation - means " Done in secret, behind the scenes, Covert, Furtive, Sneak or Stealthy e.t.c
Hii ni operation inayotumiwa sana na vikundi vya usalama vilivyotajwa hapo juu lakini operation hizo ziki fail inakuwa kama ilivyowahi kutokea hapa

1. Kutekwa kwa Dr. Ulimboka ( wakajua ameshakufa kumbe kawadanganya kwa kuzimia, wakamtelekeza mabwepande baadae akakutwa na kuokolewa
- Adhabu iliyostahili kupewa wahusika kwenye taasisi yao ilikuwa ni kuuwawa maana ni fedheha kushindwa kazi wakati umewezeshwa kila kitu ikiwemo fedha.

2. Kumwagiwa Tindikali Said Kubenea na wenzake "walimwaga kwa woga yaani hawakujiandaa"
- Adhabu iliyostahili kupewa wahusika kwenye taasisi yao ilikuwa ni kuuwawa maana ni fedheha kushindwa kazi wakati umewezeshwa kila kitu ikiwemo fedha.

3. Kupigwa Risasi kwa Ho. Tundu Lissu
- Adhabu iliyostahili kupewa wahusika kwenye taasisi yao ilikuwa ni kuuwawa maana ni fedheha kushindwa kazi wakati umewezeshwa kila kitu ikiwemo fedha.

Fikiria na matukio yafuatayo inawezekana operation hiyo ilifanikiwa " good execution"
1. Ben Saanane
2. Prof Jwani Mwaikusa
3. Chacha Wangwe
4. Jems Kombe
5. Mwandishi Azory

Na zingine nyingi

Hizi operation zinapangwa kwa umaridadi mkubwa sana na zinafanyiwa rehearsal ya kutosha lakini waki fail kwenye execution adhabu ni kama nilivyotaja hapo juu.
N:B
- Kiujumla hii ni operation ya haraka ili kuokoa jambo baya endapo muhusika ataachwa alitekeleze
- Na ili litekelezwe kunakuwa na reconnaissance ya kutosha imefanyika.

2. Infiltration operation
Maana yake ni - The action of entering or gaining access to an organization or place surreptitiously, especially in order to acquire secret information or cause damage
Au ni The process of secretly becoming part of a group in order to get information or to influence the way that a group thinks or behaves.

" JWTZ huwa wanajenga fence ili ku stop militant infiltration"

Kama difn zinavyojieleza hapo juu
Infiltration ni operation ya mda mrefu ambayo inahitaji professional husika e.g
- kama ni idara ya Afya basi anayetumwa anatakiwa awe member wa fani za afya.
- Kama ni migodi ya madini anatakiwa kwenda huko awe mtaalamu pia.
- Kama ni jeshi pia anapandikizwa mwanajeshi ili awe uniform na wao

sasa utawa influence vip?
Ni lazima awe na akili nyingi na mwenye uwezo wa kupambanua mambo
- Hawa ni wabaya maana mara nyingine anaweza kuwa double agents

Nataka ni justify

Sidhani kama waliotekwa au kupotea wanaweza kupatikana kama walikuwa na malengo mabaya kwenye maeneo waliyokuwa wanayafanyia kazi.

Maana yake ni hivi

Infiltrator anakuwa counted na covert (clandestine) operations

Infiltration ni mbaya sana msipokuwa macho kama nchi jamii nzima au nchi husika inaweza kuuzwa.

Mind you try to think critically. We need a critical thinkers

kama sijaeleweka karibuni kwa maswali, au kukosolewa ijapokuwa najua wengi wenu "you know no nothing about this issues"

Mods kama inakiuka maadili ya jamii forum mnaweza kuiondoa"

Ahsante sana

cc Yeriko Nyerere.
Kuna kitu umechanganya kidogo. JWTZ ni army, hawako involved with direct action kama tiss.
Ila ndani ya JWTZ kuna kikosi cha military intelligence na hawa wanatumika sana sana kwenye ku spy adui nje ya mipaka au nyakati za vita.

Na place my bet in TISS. Ndani ya tiss kuna vikosi vya direct action. A.k.a direct action units.
Hawa wako responsible na utekaji, uuaji, sabotage. Na zile mission za hatari. members wanakuwa wamepitia mafunzo ya kikomando na wengi huchukuliwa kutokea jwtz.

My bet ni tiss.. Not MI
 
Sasa na hii operation ya khashoghi imekaaje au wao (Saudia) hawaguswi na mtu maana jamaa kaingia ubalozini wamemuuwa na kumkatakata vipande.

Saa yake hiyo iliyotoa siri zote maana yake ni mission fail
Kwa hiyo nao Mohammed Bin Suleiman atawamaliza? Kama ndio aliewatuma?
Khashogi sio mission. Ila walikiwa wakimtafuta kwa muda mrefu. Na vile wamemuua ndani ya ubalozi na taarifa zime leak means saudia lazima wapate shida, ndio maana western countries. Wafaransa, america britain wote wanataka ukweli usemwe na wachukuliwe hatua.
 
Hapo pa infiltration mbona hatari sana, hafu umeandika hyo.kazi inahtaji someone smart, lakini kuna wanaojitapa mbona wako normal tu au ndo exagration kuhusu hawa watu.
Kama umenote. Amechanganya jwtz na tiss.
Jwtz hawako involved with direct action. Lakin tiss ndani wana kikosi cha direct action, kazi yao utekaji, kuua, sabotage.
 
Aliyoeleza mentor tafuta series inaitwa scandal imebeba uhalisia juu ya uongozi unaofanya mambo chini ya mwamvuli, ambayo ndio yanatokea leo duniani mtajifunza mengi...
 
Sasa kama alikuwa mshauri wao had akaenda nje kuwakashifu it means he was double agent kwa hyo royal family. Hafu kwanini alianza kuwaponda maana huko nchi ya nje alitoa siri nyingi ndo maana adhabu hyo ikampata, yani uandike tu kitu then wakumalize kina kitu nyuma ya pazia
Sidhani kama ni double agent. Nadhani alikuwa anapersona issues na familia ya kifalme na sio nchi kama nchi.

Ingekuwa ni siri za nchi hapo sawa, lakin attacks was pointed to royal family. sijui ugomvi wao ulikuwaje lakin sidhan kama ni double agent.

Double agent hawadakwi kizembe. They are professionals.
 
Ni kweli mkuu tutafakali sisi sote, tueleweshane. Inawezekana tunachonganishwa na watu wa nje. Badala ya kukaa kitu kimoja tunaanza kulaumu serikali mara vyama, inakuwa ni upuuzi.

We have to think critically the we can resolve the issues

Kumbuka ya Mkuranga - Kibiti----- Tukaanza kufanyia siasa mambo muhimu.
Yeah kuna possibility kubwa kuwa kuna vita inaendelea kwa siri na vile tiss na operative wake wanahangaika ku contain hii ishu japo kuwa ni kimya kimya.
Tatizo la watz wana demand answers hata kwa taasisi kama Tiss ambayo hawajui ufanyaji kazi wake.
 
Sijaelewa kuuwawa,kutekwa na kupigwa risasi kwa uliowataja kuna mahusiano gani na JWTZ na TISS kama ulivyotaja hapo juu
Kwangu mm sioni uhusiano. Sababu jwtz sio direct action element. Isipokuwa tiss wana direct action unit. Kazi ya kuua , utekaji, na sabotage.
Membersbwa hii unit wengi wametokea jwtz
 
Kama umenote. Amechanganya jwtz na tiss.
Jwtz hawako involved with direct action. Lakin tiss ndani wana kikosi cha direct action, kazi yao utekaji, kuua, sabotage.
Hao wakuteka na kuua mbona ni hatari sana hamna adhabu nyingine za kumpa mtu Mpaka umuue. Dunia ina mambo aisee
 
Sidhani kama ni double agent. Nadhani alikuwa anapersona issues na familia ya kifalme na sio nchi kama nchi.

Ingekuwa ni siri za nchi hapo sawa, lakin attacks was pointed to royal family. sijui ugomvi wao ulikuwaje lakin sidhan kama ni double agent.

Double agent hawadakwi kizembe. They are professionals.
Atakuwa hivo mana alikimbia ka msaliti unafikiri kwa nini hyo punishment ikawa kubwa hvo. Kuwa karibu na royal family was like insider hizi kazi huwa ni hatari sana, hata ukiwa mjanja siku wakikuotea ndo basi tena. Though wamemuua kwa mateso makubwa marehemu hakomolewi hivo
 
Yeah kuna possibility kubwa kuwa kuna vita inaendelea kwa siri na vile tiss na operative wake wanahangaika ku contain hii ishu japo kuwa ni kimya kimya.
Tatizo la watz wana demand answers hata kwa taasisi kama Tiss ambayo hawajui ufanyaji kazi wake.
Ni haki raia kuwa na wasiwasi na mambo yanayoendelea hasa linapoingiliwa na wanasiasa mfano issue ya clouds kuvamiwa na wale wajeda, so wana nchi hisia zetu zinatupelekea kujua serikali ingawa waweza pia kuwa wahalifu
 
Khashogi sio mission. Ila walikiwa wakimtafuta kwa muda mrefu. Na vile wamemuua ndani ya ubalozi na taarifa zime leak means saudia lazima wapate shida, ndio maana western countries. Wafaransa, america britain wote wanataka ukweli usemwe na wachukuliwe hatua.
Makampuni makubwa mengi yanaweza kuvunja uhusiano na Saudia
Kwa mfano dili la Richard Branson ameahirisha na Uber na wengi watafanya hivyo.

Lakini hayo ni makampuni tu kwa misimamo yao na kupinga udhalimu unaoendelea.

Lakini kama tunavyojua mataifa ya magharibi wana maslahi mapana na Saudia kwa hiyo hizi ni bla bla tu hawawezi kumfanya kitu

Angalia wanavyouwa Yemen lakini hawamfanyi kitu.

Haya yatapita na hakuna watakachomfanya believe me

Mda si mrefu kuna Canadians walikamatwa Saudia na Canada wakakasirika lakini saudia walichofanya walituma ndege na kurudisha wanafunzi wote waliokuwa wanasoma Canada na kufunga biashara na Canada

Europeans na USA hawawezi kumfanya kitu kwa kumuwekea vigezo vyovyote.

Huyu kijana crown Prince ni muuwaji na amefanya makusudi kutuma watu wammalize ubalozini
Pompei ameenda kunywa chai Saudia
Unafikiri atawafanya nini? Tusubiri tuone
 
Back
Top Bottom