Kinachofanywa na Mchungaji Msigwa hakina tofauti na kinachofanywa na CHADEMA, nadhani kuna haja ya kubadilika

Magufuli alikuwa na mazuri yake na mabaya pia kama binadamu.
Kwa hiyo, tunatakiwa kumuenzi kwa kuiga na kusimamia yale mazuri na kuacha au kurekebisha yale mabaya.
Ni busara na haki kuendeleza yale mazuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…