Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Matapeli na wezi aliwakomesha sana ndio maana mnamchukia🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mtaji wa lile jitu lao ilikuwa ni kwa hao 90%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matapeli na wezi aliwakomesha sana ndio maana mnamchukia🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mtaji wa lile jitu lao ilikuwa ni kwa hao 90%
Huo ni ulofa jamaa yenu alikua lofa,sina sababu ya kutumia multiple IDsAcheni ujinga watu wawili watatu mnatumia multiple IDs kuonekana wengi
🧐Huo ni ulofa jamaa yenu alikua lofa,sina sababu ya kutumia multiple IDs
Halafu eti ndio ukute wewe ni kiongozi ndani ya chama.Wewe una kamasi kichwani huna akili hata moja.
Kati ya jitu lilojifia kifo cha aibu na sisi tunaoendelea kula mema ya nchi yetu nani kakomeshwa!!Matapeli na wezi aliwakomesha sana ndio maana mnamchukia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Km vipi mkazikwe pembeni yake Chato
Mimi sio kilaza kama weweKm vipi mkazikwe pembeni yake Chato
Na wewe huna tofauti na NapeWewe ni kilaza
Usitupangie wa kumchukia. Kama unampenda wewe nenda kachimbiwe kaburi Chato tukuzike.Matapeli na wezi aliwakomesha sana na kuwafirisi ndio maana mnamchukia 🤣🤣🤣🤣
Akataka na kumfunga jela boss wetu Maxence Melo , lakini Mungu akatunusuruPropaganda zake zilidunda humu JF ndio akataka kuifungia.
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Sasa hiyo 2025 unasubiri matokea gani kwenye hizo chaguzi za kishenzi? Inshort hakuna anayetishika na uchaguzi ambao tayari unafahamika ni wa matokeo ya kupangwa.Mkuu hawa watu hawawezi kukuelewa ila majibu watayapata 2025, watarudi kusema wameibiwa kura wakati kosa lao ni kutokukubali ukweli kuwa JPM anawafuasi wengi ambao wangepaswa kuwapata.
Angeheshimu uchaguzi ungeweza kuja na kipimo halisi cha kukubalika kwake. Hatukatai alikuwa na watu wanaomkubali sana, sasa angekaa kwa kutulia aheshimu uchaguzi ili apate kura halisi za kukubalika kwake, ila sio kwa uhayawani ule wa 2020.Acha utoto hili liko wazi ,tatizo mkikaa kwenye ka ofisi kenu wawili watatu mna hisi mnawakilisha mawazo ya watanzania wote
Nakuunga mkono Mia Kwa Mia.Kiuhalisia ukitoa sehemu ndogo ya watu ambayo ni watumishi wa Serikali na wanasiasa Asilimia kubwa ya wananchi wanaamini katika Hayati Magufuli na wanampenda .
Ukiingia humu jukwaani ,ukiwa ofisini na ukiwa kwenye kundi la wanasiasa utaona mnaongea lugha moja kuhusu JPM ambayo ni kama 80% siyo uhalisia wa mtaani . Mtaani hawaambii kitu kibaya kuhusu JPM wakakukubali hata ukiwa na ushahidi.
CHADEMA wanakwenda mikutano wanadai sera baada ya muda anasimama kiongozi anaanza mzungumzia vibaya hayati Magufuli kitu ambacho hapo alipo zaidi ya 80% wanaamini katika utendaji wake ,Unategemea nini ?
Vivyo hivyo kwa Msigwa Kiuhalisia ukitoa wanufaika wa mfumo wa CCM watu wanaamini katika Upinzani hususani CHADEMA mbali na mapungufu yake , kwa hiyo anaposimama na kuisema vibaya watu hawamuelewi hata wana CCM mule ndani baadhi hawamuelewi .
Hivyo CDM na msigwa kuna haja ya kubadilika mnafanya makosa yale yale ,someni .
Kama CHADEMA akisimama akinadi sera zake na kusimama na Mazuri ya JPM ambayo raia wanayaoona huko mitaani wataeleweka Sana .
Jiheshimu basiNa wewe huna tofauti na Nape
Hivi wewe jama uchaguzi wa 2020 walikukosea nini ?Angeheshimu uchaguzi ungeweza kuja na kipimo halisi cha kukubalika kwake. Hatukatai alikuwa na watu wanaomkubali sana, sasa angekaa kwa kutulia aheshimu uchaguzi ili apate kura halisi za kukubalika kwake, ila sio kwa uhayawani ule wa 2020.
Kwanini umeuliza hivi mkuu?Hivi wewe jama uchaguzi wa 2020 walikukosea nini ?
Mara nyingi comments zako kuhusu uchaguzi wa 2020 huwa negative sanaKwanini umeuliza hivi mkuu?